Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ndugu yangu unaonyesha wazi kuwa kitabu cha Historia ya TANU kilichoandikwa na chuo cha Kivukoni hujakisoma kabisa, na zaidi kitabu cha ngano za Mohamed Said nacho hujakisoma,

Hakuna katika Kitabu cha Kivukoni kinapoeleza kuwa Mwalimu Julius Nyerere ni MUASISI wa TAA,


Hata hotuba yake hapo juu inajieleza wazu kuwa TAA aliikuta ikiwa chini ya Katibu mkuu wake Abdul Sykes,


Soma tena vitabu husika ndugu yangu.
Wengi hatujamwelewa Mzee wetu Mohamed Said. Anaposema TANU haikuasisiwa na Mwalimu ana maana kuwa wazo na jina la chama hiki limekuwepo tangu akina Abdu wakiwa Burma. Hata wale waliomchagua Mwalimu kuwa RAIS wa KWANZA wa TANU badala ya Abdu walifanya kosa kubwa la kihistoria ambalo mzee wetu huyu makini sana anajaribu kulirekebisha.
 
Wengi hatujamwelewa Mzee wetu Mohamed Said. Anaposema TANU haikuasisiwa na Mwalimu ana maana kuwa wazo na jina la chama hiki limekuwepo tangu akina Abdu wakiwa Burma. Hata wale waliomchagua Mwalimu kuwa RAIS wa KWANZA wa TANU badala ya Abdu walifanya kosa kubwa la kihistoria ambalo mzee wetu huyu makini sana anajaribu kulirekebisha.

There is a point WC,

Ila wengi wana jicho la boriti la udini linawasumbua ah mie nimeacha kujadili maana watu mapovu yanawatoka.
 
kiuhalisia sifahamu mkuu kama hutojali waweza nijulisha walikuwa wangapi?

Kuna mtu mmoja kaleta bandiko la Mushi akielezea historia ya Tanganyika kuwa kabla ya uhuru Wakirsto walikuwa wanashindana kupeleka watoto wao shule na watu wa mwambao walikuwa hawataki shule.

Baada ya uhuru Nyerere anakuwa rais Tanzania nzima kulikuwa na watu 11 tu wenye diploma.

Tanzania kulikuwa hakuna chuo kikuu sijui hao wasomi walikuwa wanashindana kusoma walisoma wapi.
 
Kuna mtu mmoja kaleta bandiko la Mushi akielezea historia ya Tanganyika kuwa kabla ya uhuru Wakirsto walikuwa wanashindana kupeleka watoto wao shule na watu wa mwambao walikuwa hawataki shule.

Baada ya uhuru Nyerere anakuwa rais Tanzania nzima kulikuwa na watu 11 tu wenye diploma.

Tanzania kulikuwa hakuna chuo kikuu sijui hao wasomi walikuwa wanashindana kusoma walisoma wapi.

Kwani Nyerere alisoma wapi kabla ya uhuru?
 
Kuna mtu mmoja kaleta bandiko la Mushi akielezea historia ya Tanganyika kuwa kabla ya uhuru Wakirsto walikuwa wanashindana kupeleka watoto wao shule na watu wa mwambao walikuwa hawataki shule.

Baada ya uhuru Nyerere anakuwa rais Tanzania nzima kulikuwa na watu 11 tu wenye diploma.

Tanzania kulikuwa hakuna chuo kikuu sijui hao wasomi walikuwa wanashindana kusoma walisoma wapi.

Nashukuru kwa taarifa yako mkuu but kule kwenye hoja ilyohusu Mushi, tatizo langu ni kuwa wewe hukujibu hoja but uli "attack" mazingira ambayo Mushi anatokea na kuhitimisha kuwa kile alichozungumza si sahihi kutokana tu na mazingira so kwa fikra zangu mimi naamini hatuendi hivyo bali hoja inajibiwa kwa hoja ka ambavyo umeelezea hapo juu na si kwa kuangalia mazingira aliyotokea mtoa hoja tukifanya hivyo tutakuwa tunaendeleza kitu kinachoitwa "fallacy".
 
Nashukuru kwa taarifa yako mkuu but kule kwenye hoja ilyohusu Mushi, tatizo langu ni kuwa wewe hukujibu hoja but uli "attack" mazingira ambayo Mushi anatokea na kuhitimisha kuwa kile alichozungumza si sahihi kutokana tu na mazingira so kwa fikra zangu mimi naamini hatuendi hivyo bali hoja inajibiwa kwa hoja ka ambavyo umeelezea hapo juu na si kwa kuangalia mazingira aliyotokea mtoa hoja tukifanya hivyo tutakuwa tunaendeleza kitu kinachoitwa "fallacy".

Historia ya mgogoro wa waislamu kutokushiriki zoezi la sensa 2012
Mgogoro uliopo baina ya serikali na waislamu kuhusu kuwekwa kipengelel cha dini haukuanza ghafla tu. Waislamu wameshiriki sensa zisizo na kipenghelel cha dini pasina malalamiko yoyote tangu ile 1978, 1988 na 2002. Hatukuw ana sababu yoyote kudai kiwekwe kipengele cha dini katika sense pamoja na kutambua kwamba takwimu za mwaka 1967 zilichakachuliwa na pia kuna takwimu feki juu ya idadi ya waislamu na wakristo zipo katika machapisho mbalimbali na mitandao mbalimbali.

Mtazamo wetu ulianza kubadilika tulipoanza kuona kalenda zenye nembo na bendera ya taifa zikiwemo zilizotiolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu, Takwimu za Bodi ya Utalii, shajara (diary) ya mwaka 2010 iliyotolewa na Wizara ya mambo ya Ndani n.k. zikionesha kwamba idadi ya wakristo nchini ni kubwa kuliko ya waislamu. Takwimu hizi zilimaanisha jambo moja tu- kwamba takwimu hizi zinatambulika kiserikali.

Mgongano wa kwanza kati ya waislamu kwa upande mmoja na serikali na Makanisa kwa upande mwingine kuhusu suala hili la sensa ya mwaka huu ni uliotokea katika mkutano ulioitishwa na idara ya takwimu White Sands Hotel Dar es Salaam ambapo viongozi wa Kikristo na Kiislamu walikutana kujadili maandalizi juu ya sensa.

Waislamu waliitaka idara ya ya takwimu kuthibitisha kama takwimu zilizotolewa na TBC1 siku ya tarehe
26 Aprili, 2012 kwamba wakristo ni wengi kuliko waislamu ambapo wakristo 52% na waislamu 32% na wapagani 16% ni sahihi au la. Mkurugenzi wa Idara ya Takwimu akasema takwimu hizo si sahihi kwa sababu serikali tangu 1967 haijaweka kipengele cha dini katika sensa yoyote ile baada ya hiyo.

Viongozi wa Kiislamu wakaonesha takwimu mbali mbali zilizopo katika maandiko na tovuti mbalimbali na kuitaka idara ya takwimu kwa kuwa inaonekana takwimu hizi za idadi ya wakristo na waislamu zinahitajika nchini na kimataifa, basi katika dodoso la sensa mwaka huu kipengele hicho kiwekwe.

Mkurugenzi wa Idara ya takwimu akasema serikali ilikiondoa kipengele hicho mwaka 1967 kwa ajili ya kuleta umoja wa kitaifa kwa hiyo haiwezi kukiweka. Waislamu walipinga hoja hiyo kwa kusema hakuna ushahidi wowote kwamba umoja wa kitaifa utatoweka kwa kuweka kipengele cha dini na kuna nchi nyingi tu duniani zinatoa takwimu za sensa kwa mujibu wa dini na wala amani haijatoweka.

Mfano Uingereza, India, Kenya, Ethiopia, Uganda, Malawi n.k. Kinachohatarisha amani si kuweka kipengele cha dini katika dodoso la sensa bali hizi takwimu za uongo kwamba watu fulani ni wengi kuliko wengine wakati hakuna sensa iliyofanyika kuhusu suala hili.

Katika mkutano huo wa White Sands, viongozi wa Kikristo wote waliunga mkono kutokuwekwa kipengele cha dini katika sensa. Waislamu walipohoji kama kuna hatari ya kuvunjika umoja wa kitaifa, mbona dodoso la sensa lina kipengele cha makanisa na misikiti? Kama kujua majumba hayo ya ibada hakuvunji umoja wa kitaifa, iweje kujua wafanya ibada au wenye kujinasibisha na majaumba hayo ya ibada kuvunje umoja wa kitaifa? Hakukuwa na majibu bali idara ya takwimu ikashikilia msimamo wake.

Mkutano wa Viongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Dar es Salaam.
Baada ya mkutano wa viongozi wa dini na idara ya takwimu White Sands Hotel, na baada ya kuona msimamo wa serikali ni kutokuweka kipengele che dini, viongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu wakakutana jijini Dar es Salaam tarehe 29 Juni, 2012 kujadili suala hili. Katika mkutano huo, umauzi ulifikiwa kuiandikia idar aya takwimu ombi rasmi la kuitaka iweke kipengele cha dini katika dodoso la sensa la sivyo waislamu hawatoshiriki. Jumuiya na Taasisi ziliandika barua hiyo tarehe 4 Juni, 2012 iliyosainiwa na viongozi wa Mumuiya na Taasisi za Kiislamu isipokuwa Bakwata na zilitoa hadi tarehe 20 Juni, 2012 idara hiyo iwe imefanya hivyo laa sivyo waislamu watasusia zoezi la sensa mwaka huu.

Mkutano wa Dodoma tarehe 11 Juni, 2012
Wakati tukisubiri majibu ya barua yetu kwenda idara ya takwimu, tukapata mwaliko wa idara hiyo tarehe 8 Juni, 2012 kwenda Dodoma kuhudhuria semina ya siku moja ya viongozi wa dini juu ya masuala ya sensa .

Katika semina hiyo, waislamu wakalileta tena suala hili mbele ya idara ya takwimu na likajadiliwa na pande tatu – wakristo, waislamu na serikali. Msimamo wa viongozi wa kikristo na serikali ukawa kama siku ya mkutano wa White Sands Hotel kwamba serikali haitoweka kipengele cha dini. Baada ya waislamu kutoa hoja zisizojibika, TBC1 ikalazimika kukanusha tena takwimu walizozitoa kama moja ya juhudi za kuwafanya waislamu waache msimamo wao.

Hatimaye viongozi wa idara ya takwimu wakakubali kuchukua maoni ya waislamu na kuahidi kuyafanyia kazi. Lakini wakati akifunga semina hiyo, Waziri Ofisi ya Rais Sera na Uhusiano Mhe.Stephen Wasira, alitoa msimamo wa serikali kwamba “serikali haiwezi kuweka kipengele cha dini kwa sababu haipangi maendeleo kwa kipengele cha dini!!!Huku waislamu wakijua kuwepo kwa MoU kati ya Makanisa na Serikali, serikali kupanga mipango ya maeneo ya ibada, makaburi n.k. kwa dini mbali mbali” Waislamu walipotaka kuhoji, waziri alikataa na kuwaambia “kama ninyi hamkuelewa somo wenzenu (wakristo) wameelewa”, kauli ya kejeli kwa masheikh na viongozi wa Kiislamu waliohudhuria pale.

Viongozi wa Kiisalamu waliohudhuria semina hiyo jioni ya siku hiyo wakakaa na kuandika barua ya pamoja kwa idara ya takwimu kupinga msimamo huo wa serikali na kauli za kejeli za Mhe. Wasira kwa viongozi wa Kiislamu. Barua hiyo ikasainiwa na viongozi wote wa wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu waliohudhuria semina hiyo ambao wanafikia 31 wakiwemo Bakwata.

Mkutano wa pili wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Dar es Salaam 13 Juni, 2012
Baada kurejea Dar es Salaam, masheikh na viongozi wa Jumuiya na Taasisi mbali mbali za Kiislamu walipokea taarifa ya wajumbe waliokwenda Dodoma na kuijadili ambapo paliamuliwa itolewe Press Release kwa vyomboo vya habari kusisitiza msimamo wa kutokushiriki sensa kwa kuwa serikali imepuuza madai ya waislamu pasina hoja za msingi.

Press Conference ikafanyika Makao makuu ya Bakwata Kinondoni na likatoka tamko rasmi la waislamu
kwamba hawatoshiriki sensa ya mwaka 2012 hadi yafuatayo yafanyike;-
1. Kipengelel cha dini kiwekwe katika dodoso la sensa.
2. Kuwepo na uangalizi wa pamoja kati ya waislamu na wakristo kwa kuwa tayari kila upande
unadai wao ni wengi kuliko upende mwingine..

Takriban miezi 7 tangu sensa ya watu ifanyike. kwa mujibu wa bbc jana jioni, mkurugenzi wa redio imaan alipohojiwa alisema kuwa redio yake ilikua ikiripoti maoni ya watu kuhusu kipengele cha dini kuwekwa kwenye dodosa za sensa. alisema kuwa japo kila mtu ana uhuru wa kuisikiliza redio imaan lkn imewalenga sana waislamu. waislamu ndiyo wenye redio na michango yao ndiyo inaifanya redio iwepo. alisema kuwa waislamu walijenga hoja kuwa wanabaguliwa katika mambo mengi hasa ajira serikalini kwa madai kuwa ni wachache. wao wanaamini ni wengi. walitaka kwenye dodosa kiwekwe kipengele cha dini ili ukweli ujulikane kama zifanyavyo nchi nyingine. alisema kuwa mada ilianzishwa na watu wakawa wanapiga simu kuchangia mada hiyo...
"fallacy".
 
Huu utaisha tena kwakushinda vita kati ya wema na ubaya,

Na kwa halihalisi uzi husika tu hapo juu tayari tumeshawashinda hawa wachochezi
Wewe mwenyewe mwanzilishi wa uzi na jinsi ulivyo mchoyo umeikuza bandiko lako la mwanzo kwa zaidi ya nusu page ili watu waweze changia wachache.kabla hujatabili ushindi wako nafikiri ulikuwa ni wakti wako muafaka kuthibitisha tuhumu zako kwa umsafisha ndugu yako JKN na sio mistari miwili mitatu kwenye JF.Kumbuka kuwa mwenzako MS amefanya utafiti na kuandika kitabu. sasa na weweunatakiwa uandike kitabu kupingana na MS.kwani utafiti unapingwa kwa utafiti na sio vingine
 
Mkuu Remote umemsahau Ngongo Pasco Mkuu hii thread imemdhalilisha Mohamed Said kwa kiwango cha kutisha.Ameshindwa kutetea hoja za msingi.Wapo mashabiki wake kama Ritz Barubaru THE BIG SHOW Boko haram zomba wamejitahidi sana kumtetea babu wa watu asizidi kudhalilika lakini wamejikuta wakishindwa kujibu hoja nzito nzito toka kila upande.

Namshauri Sheikh Mohamed ajikite kwenye mihadhara misikitini JF ni maji marefu kina chake kinahitaji mwogeleaji hodari na mwenye pumzi kubwa.Misikitini hakuna maswali waumini wanakubali kulishwa kila kitu bila kukifanyia uchambuzi wa kina.
naomba uwe msomi kidogo na kuilimika kwa kisomo chako kabla kutoa maamuzi. Toka lini tafiti ambayo ipo kwa zaidi ya 15 yrs na kupata review kutoka vyuo vikuu mbalimbali ikapingwa kwa mistari 2 au 5 ya JF.Kumbuka tafiti inapigwa kwa tafiti sasa ni wakti wenu nanyi mtope kitabu chenu kupingana na hichi cha mohamed Said na sio kuleta bla bla
 
naomba uwe msomi kidogo na kuilimika kwa kisomo chako kabla kutoa maamuzi. Toka lini tafiti ambayo ipo kwa zaidi ya 15 yrs na kupata review kutoka vyuo vikuu mbalimbali ikapingwa kwa mistari 2 au 5 ya JF.Kumbuka tafiti inapigwa kwa tafiti sasa ni wakti wenu nanyi mtope kitabu chenu kupingana na hichi cha mohamed Said na sio kuleta bla bla
Barubaru, ni vizuri umekumbuka shuka...bahati mbaya kumekucha tayari! Incidentally, kujenga kunaweza kuchukua siku nyingi lakini kubomoa ni sekunde chache tu! Ni kweli giza lilitanda muda mrefu lakini sasa mwanga umeingia...giza hilooo, linafungasha lipende lisipende!

Mohamed Said's house was built on nothing but a foundation of lies...it could only stand until the day the truth set in and that day is here with us in JF and its effect is spreading like wildfire! Dont ever try to stand on its way, you may not last long enough to even fathom the gravity of it!

Muulize Mohamed Said na kama unawasiliana naye muombe arudi, tafiti zinaendelea na sasa itakuwa dhoruba tu kwani waliokuwa wakoloni walisifika na wanasifika kwa kitu kimoja, kutunza kumbukumbu. Dunia ya sasa waongo na wachochezi kama mwalimu wako hawana chao...you can take that to the bank!

Barubaru, heri wewe uliyeikimbia na kuikana nchi yako, hongera sana ingawa...!
 
Wewe mwenyewe mwanzilishi wa uzi na jinsi ulivyo mchoyo umeikuza bandiko lako la mwanzo kwa zaidi ya nusu page ili watu waweze changia wachache.kabla hujatabili ushindi wako nafikiri ulikuwa ni wakti wako muafaka kuthibitisha tuhumu zako kwa umsafisha ndugu yako JKN na sio mistari miwili mitatu kwenye JF.Kumbuka kuwa mwenzako MS amefanya utafiti na kuandika kitabu. sasa na weweunatakiwa uandike kitabu kupingana na MS.kwani utafiti unapingwa kwa utafiti na sio vingine
Kwanini nisubiri kuandika kitabu ilihali naweza kumzima Mohamed kupitia jf tu?

Watanzania wameujua ukweli na hila ya Mohamed Said, sasa watamuonya kwa namna yao.
 
Barubaru, ni vizuri umekumbuka shuka...bahati mbaya kumekucha tayari! Incidentally, kujenga kunaweza kuchukua siku nyingi lakini kubomoa ni sekunde chache tu! Ni kweli giza lilitanda muda mrefu lakini sasa mwanga umeingia...giza hilooo, linafungasha lipende lisipende!

Mohamed Said's house was built on nothing but a foundation of lies...it could only stand until the day the truth set in and that day is here with us in JF and its effect is spreading like wildfire! Dont ever try to stand on its way, you may not last long enough to even fathom the gravity of it!

Muulize Mohamed Said na kama unawasiliana naye muombe arudi, tafiti zinaendelea na sasa itakuwa dhoruba tu kwani waliokuwa wakoloni walisifika na wanasifika kwa kitu kimoja, kutunza kumbukumbu. Dunia ya sasa waongo na wachochezi kama mwalimu wako hawana chao...you can take that to the bank!

Barubaru, heri wewe uliyeikimbia na kuikana nchi yako, hongera sana ingawa...!

Mag3,

Nina kawaida moja.
Mtu akinitaja simwachi.

Siko mbali na mjadala nasoma siku zote.
Vitisho unanitisha mie katika uandishi?

Hunijui?

Nilidhani unakuja na kitabu kumbe maneno
matupu?

Nakisubiri kitabu chenu kwa hamu na huo ndiyo
ulikuwa ushauri wangu kwenu siku zote.

Zingatia ushauri wa Baru.
 
Mag3,

Nina kawaida moja.
Mtu akinitaja simwachi.

Siko mbali na mjadala nasoma siku zote.
Vitisho unanitisha mie katika uandishi?

Hunijui?

Nilidhani unakuja na kitabu kumbe maneno
matupu?

Nakisubiri kitabu chenu kwa hamu na huo ndiyo
ulikuwa ushauri wangu kwenu siku zote.

Zingatia ushauri wa Baru.
Kabla ya sisi kuja na kitabu, bila shaka utakifanyia marekebusho kitabu chako kwenye toleo lijalo, hii ni kutokana na ukweli tuliokupa katika uzi huu ambapo umekuwa muungwana kwakukubali kuwa mengi juu ya uhuru ulikuwa huyajua hasa usharika wa Shehe Issa bin Amir na kasisi Alestide Maranta, vivyo hivyo jitahidi uondoe hisia za udini katika Historia ya nchi hii, kwakuwa kupitia uzi huu tumebaini ukweli kuwa wazee wetu walipinga kwa nguvu zote uhuru wetu usinasibishwe na dini.
 
Kwanini nisubiri kuandika kitabu ilihali naweza kumzima Mohamed kupitia jf tu?

Watanzania wameujua ukweli na hila ya Mohamed Said, sasa watamuonya kwa namna yao.

Yericko Nyerere kumzimisha Mohamed Said ni sawa sawa kuzipambanisha timu mbili.

Fc Barcelona V/S JKT Ruvu hata refa atoke Ruvu mshindi anajulikana.

Wewe Yericko endelea kujiliwaza na kujifariji.
 
Yericko Nyerere kumzimisha Mohamed Said ni sawa sawa kuzipambanisha timu mbili.

Fc Barcelona V/S JKT Ruvu hata refa atoke Ruvu mshindi anajulikana.

Wewe Yericko endelea kujiliwaza na kujifariji.
Watanzania zaidi ya lakimoja ndio waamuzi w vita hii ya wema na ubaya, bila kupepesa macho WEMA umeshinda, hilo shahidi mkuu ni Mohaned Said,


Hila yake kwa taifa tumeizima, na watanzania zaidi ya lakimoja tu wametuunga mkono na wanatushukuru.
 
Watanzania zaidi ya lakimoja ndio waamuzi w vita hii ya wema na ubaya, bila kupepesa macho WEMA umeshinda, hilo shahidi mkuu ni Mohaned Said,


Hila yake kwa taifa tumeizima, na watanzania zaidi ya lakimoja tu wametuunga mkono na wanatushukuru.

Umepata wapi mamlaka ya kuwasemea Watanzania.

Ndiyo maana nakuambia endelea kujiliwaza na kujifariji.

Vipi ile hotuba pale TBC utaileta lini.
 
Kabla ya sisi kuja na kitabu, bila shaka utakifanyia marekebusho kitabu chako kwenye toleo lijalo, hii ni kutokana na ukweli tuliokupa katika uzi huu ambapo umekuwa muungwana kwakukubali kuwa mengi juu ya uhuru ulikuwa huyajua hasa usharika wa Shehe Issa bin Amir na kasisi Alestide Maranta, vivyo hivyo jitahidi uondoe hisia za udini katika Historia ya nchi hii, kwakuwa kupitia uzi huu tumebaini ukweli kuwa wazee wetu walipinga kwa nguvu zote uhuru wetu usinasibishwe na dini.

Yericko,

Katika historia ya masheikh wa Dar es Salaam katika siasa
hapajakuwa na jina la Shehe Issa bin Amir.

Edgar Maranta nikimfahamu na wewe ulikosea jina lake ukamwita
Maranda ni mimi niliyekusahihisha.

Haya mambo nayajua kukushinda ndiyo maana unaona sijibu post
zako.
 
Wewe mwenyewe mwanzilishi wa uzi na jinsi ulivyo mchoyo umeikuza bandiko lako la mwanzo kwa zaidi ya nusu page ili watu waweze changia wachache.kabla hujatabili ushindi wako nafikiri ulikuwa ni wakti wako muafaka kuthibitisha tuhumu zako kwa umsafisha ndugu yako JKN na sio mistari miwili mitatu kwenye JF.Kumbuka kuwa mwenzako MS amefanya utafiti na kuandika kitabu. sasa na weweunatakiwa uandike kitabu kupingana na MS.kwani utafiti unapingwa kwa utafiti na sio vingine
Utapingaje utaifiti usio utafiti?
Barubaru kuna utafiti mtu asioweza kuutetea!
 
Back
Top Bottom