Rapherl
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 3,504
- 2,256
Mkuu Ngongo mkuu sweke 34 sijamuona kitambo kidogo kwenye huu mnakashaMkuu Rapheri utakuwa hauwatendei haki Mohamed Said Ritz Ami Boko haram THE BIG SHOW Kadogoo hawa ndugu zangu michango yao si haba najua wameshindwa kujenga na kutetea hoja lakini kama wasingeshiki usingeona umahiri wa hali ya juu na uliotukuka wa Nguruvi3 Jasusi Mzee Mwanakijiji Mag3 Pasco Yericko Nyerere WildCard Mwita Maranya sweke 34 na Ngongo nisije nikajisahau ha ha ha ha.
Last edited by a moderator: