Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Zohari kubwa na fazaa imewakumba.Mpaka imebidi wabadili sura na mavazi yao.
Yerico ameachana na ile sura ya mtoto wa Nyerere.Mag3 amebadili mavazi mara mbili na sasa amevua koti lake la ccm na kubaki tumbo wazi.
Mjadala umekwisha!.Hauna jipya wala hakuna uchochezi.

Ami,
Mnakasha upo katika hali nzuri.

Kuna mtu hakika mie najua hasad ndiyo inayomuhangaisha.
Simjibu.

Nimehama kwake nazungumza na wasikilizaji 150,000+

Tuangalie nani anesomwa ni mie mwenye habari mpya katika
JF au yeye?

Anashindwa kuamini kuwa nikicheza na miziki ya Victor Sylvester
and His Orchestra nyumbani kwetu.

Anaitafuta picha yake ya utoto Magila ni tofauti na hii anayoisoma
hapa.

Je nikimwambia Mzee Shebe aliyekuwa mpiga picha wa kwanza wa
Nyerere 1950s ndiye aliyenipiga mimi picha yangu ya kwanza 1953
sijui atasema nini.

Hii yote ni mipango na rehema za Allah.
Sikuomba kuzaliwa na wazee wale wala katika wakati ule wala mahali
pale.

Roho itamuuma sana.

Sijui nikiweka na list ya paper nilizotoa kwenye vyuo vikuu itakuwaje...
na vitabu nilivyoandika...

Nampa pole najua roho inaungua kwa chuki.

Wanajamvi,
Kama ilivyo ada mambo mapya kila wakati Insha Allah.
 
Plato,

Mimi huwezi asilan kuona mantiki za hoja yangu yoyote kwa sababu umeamua kujivalisha miwani ya mbao. Halafu tangia lini watu wa Madrasa wakaweza kukushindeni nyinyi. Hata Kithungu hatujui. Jingine ni kuwa lugha nitumiayo mimi wewe itakulazim ukatafute Kamusi ya Kiswahili Sanifu(niliyokusaidieni kutunga hapo Tz) ili tuelewane.

Kwa ufupi mimi nipo hapa jamvini kumsikiza Sheikh Mohammed. Wewe unapoteza nguvu zako kutaka kunijibu mimi badala ya kukemea matusi...vipi yakhe!?

Tafadhali usinitukane na wala usinitumie bayana nyingine yoyote.

Nakushukuru.
gombe sugu, wakati mwingine uwe unafikiri kabla ya kuandika hapa jamvini. Ninani mjinga amabaye anaweza kuamini hayo majungu uliyosimuliwa na wapuuzi wanao mchukia marehemu Nyrerere bila hata ushahidi? ninani aliyekuambia JF nikijiwe cha majungu? halafu unakuja na kejeli za kitoto ati kamusi ya kiswahili uliyoitunga wewe! Unachekesha sana unapo kuja na umbumbumbu wako na kujidai wewe ni mtu mwenye maadili! unaweza vipi kukemea matusi wakati wewe ndie nyakanga wa mitusi! au kwa ujinga wako ukiandia mitusi kwa lugha ya kiarabu basi yanakua matusi matamu ya kiislam? Jaribu kurudia kusoma bandiko lako hili ili uone kama una "moral authority" ya kukemea matusi hapa jamvini!
Ritz,

Salaam. Nakufahamu na nakusikiza kwa yakin. Mimi najua mengi mno wala sitie shaka. Andrew Nyerere,ni rafiki mkubwa wa Mzazi wangu,nafikiri niliwahi kusema hapo awali.

Huyo jamaa ni psychological fragile,angalia tu ile mada yake halafu ameweka Sheikh Issa Bin Ameir badala ya Sheikh Hassan Bin Ameir...kama kwenye legal technicalities basi Barrister mahiri anakwambia Case dismiss!

Hapa kilichobaki kwa ufupi ni kurembeana fedhuli na kibri kingi tu,labda zaidi wanatumia udhalimu wao wa kumuuliza makhanatha Sheikh Mohammed ili wamuumize kichwa.

Takriban yoote alozungumzia Zali la Mentali a.k.a Mchimba Chumvi,ndo yale yale alokua anadarsisha Sheikh Mohammed takriban miezi minne. Tafauti yeye Zali la Mentali kawaendesha kindava na kimchakamchaka wa nguvu,ndo maana unaona kijasho chembamba kinawabubujika.

Yule kunguni wa hoja a.k.a Abu Jahal,mimi pia nilimtoa maanani kitambo pale alipoleta ule uTarime/Ukabila wake,na ati kujaribu kumtetea Nyerere tena kwa kutumia Khadith na Qur'aan tukufu. Yule Kunguni Wallahi ni Khabith Al maar.

Nyerere aliwahi kufanza mema kiduchu,lakini dhahma wa min'karadas,dhuluma na madhila aloleta ni mengi mno pita kiasi na yanawasulubu watu wengi mno hapo Tanzania mpaka kesho.

Inastaajabisha na ni viroja pasi mfano,hao mashangingi wa shughuli kutukataza kumjadili huyo Nyerere kama vile sisi hakuwa Rais wetu!? Hawa watu maluuni saana.

Tena kama wana maarifa wampe shukran saana Sheikh Mohammed,maana najua anayo mengi lakini kahifadhi moyoni tu. Na haiingii akilini hata chembe ati watu tusimjadili Nyerere,mtu aloleta nakma na zilzala ziso mipaka hapo Tanzania na kwingineko.

Embu waambie wachungulie japo kiduchu,Biography ya JFK by Pro. Micheal O'Brien. Halafu waone huyu jamaa alivyomnyambua JFK,kuanzia Mababu na Mabibi zake woote tokea Ireland,mpaka kutaja makuwadi wake tangia Sec. School mpaka Hollywood. Kaoredhesha mpaka rangi za vichupi/bikinis walizokua wanavaa vimada wake!

Labda tafauti inakuja pale yakuwa; tamaduni za wenzetu na sisi pana khitilafa kubwa mno. Lakini tukifika hapa,itakua tunajibana soote hasa pale tunapotoa mifano mara kwa mara,na jamaa kuanza kulinganisha hapo Tanzania na nchi nyingine za ughaibuni na hasa watu na mataifa ya Magharibi. Na bila ya kufanza hivi,tutawezaje kuzungumzia History!?

Kwa kifupi,Sheikh Mohammed hakumtusi Nyerere ati kwa kusema alikua akisaidiwa kitoweo na nduguye Bwana Mshume Kiyate,hasha!

Halafu wanakuja hawa viwavi wa hoja,ati mara tunachanganya mada,mara tushawahi kujibu tuhuma za Nyerere,mara kafungueni thread nyingine. Hawaoni huyu kinyonga mwenzao anapoleta makhanatha ya hadthi za ugaidi na kutuumiza vichwa kwa kiswahili chake cha kujifunzia Secondary School. Mimi binafsi niliwahi kunena na kutahadharisha mambo kadhaa hapo awali,lakini nikaonekana mtoto wa Madrasa,halafu kajiunga only couple of weeks ago,atatwambia nini sisi mashangingi wa shughuli hii!!

Habari za Nyerere ni nyingi mno wala hazishi kwa hapa Jf hata siku moja.

Kama Jasusi ataamua kusema ukweli hapa jamvini,basi alete kisa cha Nyakyoma,Mohammed Enterprises. Hii kesi naijua kiundani na kiunagaubaga. Mzee wangu alishughulika nayo. Na kama patamwagwa vitu hapa,nami nitamwaga vitu halafu nitakupeni watu mkawaulize.

Nyerere alimshangaza saana Zacharia Maftah(former Director of Anti Corruption Squad),alipoamua ghafla kuhamisha file ya Nyakyoma ipelekwe kwa Abdallah Nungu(alikua Mwenyekiti wa Tume Ya Kudumu ya Uchunguzi Wa Viongozi). Alifanya kusudi kumuokoa nduguye Nyakyoma kwani alijua yakuwa Maftah ilikua anamfunga miaka mingi saana. Wakati Maftah anaifata ile file kwa Abdallah Nungu,ati anaambiwa file imeitwa State House na iko mikononi kwa Mwalimu. File inatoka kwa Nyerere tayari imenyofolewa makaratasi ushahidi takriban woote haumo. Huyo ndiye Nyerere. Matokeo yake akamzidshia utajiri uso kifani Mohammed Enterprises na kufa kwa Gapex maskini mpaka kesho!

Kwa wale wajuvi msokubali hoja za watu wa Madrasa,tafadhali kawaulizeni Joyce Shundi(Kamanda wa Takukuru Dar),Zacharia Maftah, Mzee Butiku au Timothy Apiyo na wengineo wengi walio sehemu nyeti za Serikali. Hawa woote nawajua na nawaheshimu vizuri mno ni Wakristo watiifu tu.

Nyerere alikua analazimisha kwa kibri na kuchukua meli ya kiraia ya Serikali Ya Mapinduzi Zanzibar,ili akamsaidie rafiki yake Samora dhidi ya Renamo pale Mozambique. Ile meli ilikua inabebeshwa silaha nyingi na za hatari,Wanajeshi na ndani yake kulikua na wafanyakazi wa kiraia wa kawaida kabisaa. Hawa wafanyakazi woote mpaka Captain walikua tu wanapewa taarifa masaa machache kabla ya safari na bila ya kufahamishwa destination mpaka wafike Dar port ndio wanashtukizwa. Hapa kama kuna wataalamu wa Maritime Insurances,pia mtashangaa hiyo meli ilikua inachukua cover ipi na hao wafanyakazi wa kiraia ndani yake walikua wako-covered kivipi!? Hiyo meli imenusurika mara kadhaa na mizinga ya Renamo.

Nyerere,alimstaajabisha mpaka Mzena(Usalama wa Taifa enzi ya Mwalimu),pale alipoamrisha IGP wake Hamza Aziz awekwe chini ya surveillance bila ya ushahidi au sheria yoyote. Ndio maana ile siku Hamza Aziz alipopata accident,alipokwenda kumuona Nyerere huku anajitafunatafuna,ndipo Nyerere alipomwambia Hamza kabla hujasema lolote fungua hiyo bahasha hapo. Ndani ya ile bahasha palikua na photographic evidence,inamounyesha sura halisi ya Hamza Aziz,gari yake na mpaka plate numbers. Picha ile ilipigwa na Mzungu mmoja ati alikua akifanya kazi pale BP - Kurasini!?

Kwa masuala haya muulizeni Mzena mwenyewe kama yuhai. Mkitaka zaidi nitakupeni majina ya watu makhusus tena Wakristo wenzenu mkaulize.

Kuna jamaa mmoja hapa,nae alikuja na hoja yake mbuzi kutaka kuonyesha ati "vitimbi" vya Sheikh Yahya Hussein. Kuna mengi saana pita kiasi...lakini chukua hii tu kiduchu.

Sheikh Yahya Hussein,alishughulika saana kumsaidia Nyerere kuzima lile jaribio la mapinduzi la 1982. Sheikh Yahya Hussein alitumia saana influence na connections zake kwa Sheikh Abdallah Saleh Al Farsy, Kenyatta,Moi,Njonjo,Usalama wa Taifa wa Kenya na wengineo wengi mno pale Kenya ili kuleta habari huku na kule na pia kuwakamata na kuwarejesha nchini baadhi ya watuhumiwa. Na kuna vitu vingi mno in between vilikua vinafanyika. Ukitaka zaidi nitakufungulia kwa undani,halafu nitakuonyesha udhaifu,Ukabila na roho mbaya ya Nyerere uko wapi.

Halafu,anakuja yule Mrema, mtu mgeni kabisa wa politics za Mzizima na Kariakoo kumkamata Sheikh Yahya Hussein bila ya jambo lolote la maana. Mpaka Lawrence Gama(former DG Usalama wa Taifa na nyadhifa nyingine nyingi tu hapo Tz,pia Jasusi ataeleza alimuoa nani ndani ya family ya Nyerere),alisikitika saana upumbavu wa Mrema kuingilia vitu alivyokua havijui. Kumbe Mrema alikua hajui maskini yakuwa anamfanyia Kitwana Kondo kazi yake,ambae wakati huo ndio alikua Rais wa nchi kuliko huyo Mwinyi mwenyewe. Kitwana Kondo alinyang'wanya mke na Sheikh Yahya Hussein during 60's.

Hizi habari kwa undani muulizeni Dominick Gama au Sinde Warioba. Maana nasikia Mzee Gama Lawrence amefariki. Na kwa wale wa Chadema,kamuulizeni Mabere Marando na atakufahamisheni yeye wakati huo alikua nani!? Au Shahidi X...Mzee Maige!

Kwa hiyo msione watu tumekaa kimya,ati mkafikiri tumevamia tu hili jamvi au hatujui mambo au huyo Nyerere wenu hatumjui au mambo nyeti takriban yoote, ati kwa sababu tu ni watoto wa Mdarasa. Tunafanya staha tu kiduchu. Kwa sababu wengi hawa ni Wazee wetu kama anavyosema Sheikh Mohammed Said. Hiyo nchi sisi wengine ni haki yetu na tuna uchungu nayo kupita hivyo mnavyohisi.




Ahsanta.

Cc: The Big Show
 
gombesugu,

Ndugu yangu hiyo mipini uliyoweka mbona unataka kutupa mshutuko sisi wengine wagonjwa.

Ritz,

Kheri yako wewe kijana unaweza kuhimili vishindo vya Gombesugu.
Nihurumie mimi kizee cha Mungu.

Ile siyo mipini.
Yale ni majembe ya kuvutwa na ng'ombe.

Na si ng'ombe.
Bali mijigombe.
 
Wewe ndiyo unasema ni mdau wa NECTA kweli watoto watapona na DIV 0.

"Linakushughurisha"

"Unajidharirisha"

Shule za kati ndiyo matunda yake haya.
Ritz, kuwa mdau wa NECTA sio kukijua kiswahili fasaha! lakini hoja hujajibu, nikukumbushe kama umesahau, Mbona unalikomalia sana swala la Yericko Nyerere kana kwamba Nyerere kuwa baba mzazi wa Yericko ni lamhimu sana! wewe mwenyewe unajuaje huyo unayemuita ndio baba yako mpaka kutumia jina lake ni "biological father" wako kweli? Kwanini unapenda kujadili wazazi wa Yericko badala ya kujadili hoja za Yericko? au ndio kufirisika kwenyewe?
 
Wa TZ tuache kuvutia upande wetu kwenye masuala ya imani, tuwe wakweli penye ukweli, siyo kwa kuwa watu unaofikiri ni wa imani yako basi wawe kila kitu wawe juu, mnatupeleka pabaya! moto huwa unaanza na moshi, take care!
 
Ritz, kuwa mdau wa NECTA sio kukijua kiswahili fasaha! lakini hoja hujajibu, nikukumbushe kama umesahau, Mbona unalikomalia sana swala la Yericko Nyerere kana kwamba Nyerere kuwa baba mzazi wa Yericko ni lamhimu sana! wewe mwenyewe unajuaje huyo unayemuita ndio baba yako mpaka kutumia jina lake ni "biological father" wako kweli? Kwanini unapenda kujadili wazazi wa Yericko badala ya kujadili hoja za Yericko? au ndio kufirisika kwenyewe?

Wewe Baba yako mzazi unamjua hebu kamuulize mama yako kisha rudi jamvini utufahamishe.

Julius Kambarage Nyerere wakati wa msiba wake tulitangaziwa kuwa kaacha watoto 7 tu. Yericko Nyerere hayumo.

Labda na wewe ni mtoto wa Nyerere tuambie.
 
Wewe Baba yako mzazi unamjua hebu kamuulize mama yako kisha rudi jamvini utufahamishe.

Julius Kambarage Nyerere wakati wa msiba wake tulitangaziwa kuwa kaacha watoto 7 tu. Yericko Nyerere hayumo.

Labda na wewe ni mtoto wa Nyerere tuambie.
Hivi ukiitwa mpumbavu kwanini unachukia? kwanini hujadili hoja za Yericko badala yake unang'ang'ania nasaba ya Yericko? jitu zima hovyoo!
 
Ami,
Mnakasha upo katika hali nzuri.

Kuna mtu hakika mie najua hasad ndiyo inayomuhangaisha.
Simjibu.

Nimehama kwake nazungumza na wasikilizaji 150,000+

Tuangalie nani anesomwa ni mie mwenye habari mpya katika
JF au yeye?

Anashindwa kuamini kuwa nikicheza na miziki ya Victor Sylvester
and His Orchestra nyumbani kwetu.

Anaitafuta picha yake ya utoto Magila ni tofauti na hii anayoisoma
hapa.

Je nikimwambia Mzee Shebe aliyekuwa mpiga picha wa kwanza wa
Nyerere 1950s ndiye aliyenipiga mimi picha yangu ya kwanza 1953
sijui atasema nini.

Hii yote ni mipango na rehema za Allah.
Sikuomba kuzaliwa na wazee wale wala katika wakati ule wala mahali
pale.

Roho itamuuma sana.

Sijui nikiweka na list ya paper nilizotoa kwenye vyuo vikuu itakuwaje...
na vitabu nilivyoandika...

Nampa pole najua roho inaungua kwa chuki.

Wanajamvi,
Kama ilivyo ada mambo mapya kila wakati Insha Allah.
150,000 wanataharuki kuwa miaka 15 wamefungwa kamba, hawakuona jinsi walivyolaghaiwa. Wengine tunaonyesha 150K wapi chuki, husuda, inda, farki na fitna ilipoanzia hadi watu kuchinjana bila sababu. Tunaonyesha kama ni kusoma wasome kama Mario Puzzo siyo kwa academy maana academy ina uadilifu wake.

Katika paper zako usisahau ile ya Ibadan uwaombe radhi.
 
Mwaka 1950 ulikuwa hujazaliwa, sijui ulicheza santuri ukiwa wapi maana nina uhakika hata tumboni ulikuwa hupo. Mimi nakula sahani moja na wewe si kadogoo. Kadogoo atakupigia makofi ukisema Balozi amehutubia bunge au warioba aliokotwa machungani. Nimekuweka mahali ambapo umekiri kuwa umedanganya jamvi hapa hadi Lagos.
Unaishi 5 stars na kusafiri kwa first class kumbe uneapeleka uongo! Ndio maana nimesema Liar! big liar na hukuthubutu kusema kitu.

Siyo mara moja au mbili ni kila ulichoandika ninaona uzushi ambao haulingani na maudhui, hekima, taratibu na busara kama zinavyofundishwa katika uislam. Leo wewe si yule wa kuja na kutamba kuhusu Cambridge n.k.
Leo si wewe wa kutupa data za kindergarten, na leo wewe si yule unayeweka vipande hovyo isipokuwa vya bi kidude.

Mohamed, as long as you're here nitakula sahani moja na wewe. Unajua hilo lakini ufanyeje?

Umenikumbusha mkuzi kwa sheikh Abdallah.
Pale Magila kuna sehemu inaitwa mikwamba ndipo familia ya kihampa inatoka.Miongoni mwa wasomi wa mwanzo.
Hapa Mikwamba kuna historia nzuri bahti mbaya watu wamekimbia na kijiji sasa chafa.
Wengi sana wameelimika wakti wa mission Magila ilipokuwepo.

Vipi wapajua kicheba?
Gombesugu alipomtaja sheikh Hemed Bin Jumaa alinikumbusha nyakati hizo akina sheikh Mwinyiatani wakiuunguruma pale muheza mjini. Jamani udongo unakula vitu!

Dunia hii ukiizunguka na kuishi utaona mengi. Gombesugu kanikumbusha pia kule Tarime alikosema ni kwetu.
Kule nawakumbuka akina Kembo Migire wa Shirati Hospital. Hapo zama hizo ndipo watoto waliokuwa na Burkitt's Lymphoma wakitibiwa ukiacha ocean road nchi nzima.(Mohamed hayo ni maradhi usije sema nimekutukana)

Wajulie hali hapo nyumbani
Nguruvi3,
Kumbe dunia ndogo! Sikujua unamfahamu Kembo Migire. Huyu baba yake akifanya kazi pamoja na baba yangu. Mdogo wake marhemu John Migire aliponunua pikipiki yake ya kwanza pale Musoma wakati huo nikiwa mdogo, alipenda kunipa ride na kunizungusha pale mjini. It is a small world. Hivi sasa niko kwenye bodi ya Friends of Shirati Hospital. Kazi tunayofanya si ndogo. Ukifika pale ukiona solar panels kuhakisha chumba cha operesheni hakiishiwi umeme, ni kazi yetu.
 
Gombesugu,
Ndugu yangu umenipeleka mbali sana.
Egyptian ndiyo walipiga katika harusi yangu.

Khasa ndiye Islam Barakat the first African Labour Inspector.
Hapo hapo kulikuwa na nyumba ya Mzee Zaggar.

Kaka wewe mkali.

Duuh,keshakuwa mkali sababu ya kutaja majina-anyway Wastara bus alikuwa mlango kwa mlango na mzee Barakati,Mzee Zaggar ndiye alikuwa nyumba ya tatu-mfaume rd
 
[h=2]Racial and religious tolerance in Nyerere’s political thought and practice[/h] [h=4]Salma Maoulidi[/h] [h=4]2009-10-13, Issue 452[/h] [h=4]http://pambazuka.org/en/category/features/59503[/h]
cc M A U
Salma Maoulidi unpacks Nyerere's legacy in the realm of racial and religious tolerance. “As Nyerere became more exposed to politics and other races,” she observes, “he attained the sophistication of tolerating mutual coexistence where acknowledging the humanity of others in lieu of settling scores informed a more encompassing political strategy.” However, despite all his efforts and those of the liberation struggles, prevailing racial and religious tensions continue to find expression in post-independence Tanzania. Salma concludes that “Tanzania’s inability to overcome the vestiges of racial and religious exclusion exposes the government’s and the ruling party’s inability (or unwillingness) to address racial and religious discrimination that continues to dominate Tanzania’s political culture in a forthright and objective manner.”
What does racial and religious tolerance signify to a nation like Tanzania? Is it solely the absence of violent conflicts i.e. kisiwa cha amani (‘island/pocket of peace’) as described by the current ‘political speak’; or is it the absence of grievances explained as peaceful coexistence? Specifically, what is the legacy of Mwalimu Nyerere with regards to the question of racial and religious tolerance in the larger political culture of Tanzania?

The literature revieed for this piece suggests strongly that the question of racial and religious tolerance has been glossed over. The fuzziness with which the matter has been dealt with by successive governments can be summed up as a procrastinator’s escapism promising a sure recipe for latent divisions and sowing politics of hatred. Part of the myopia lies in the narrow scope within which the questions of race and religion are tackled by different writers. Equally problematic is the timidity with which commentators have taken up Mwalimu’s response to religious and racial challenges.

Building on Nyerere’s performance in this realm I investigate the legacy left by Mwalimu Nyerere to a young nation with respect to confronting racial and religious challenges. How did Mwalimu’s personal values and beliefs influence his political agenda and trajectory? How far did his preoccupation with a racial or religious agenda contribute to fostering national unity and promoting a national agenda?

RACE, RACIALISM AND REPRESENTATION

Nyerere is credited for the level of racial tolerance reigning in Tanzania not witnessed in other countries in the region (Malambugi; Ssekitooleko; MacDonald; USAID). His politics of moderation and racial harmony ensured that the African majority lived in relative peace and harmony with minorities in the territory. A disposition of racial harmony is, however, deeply rooted in the history/herstory of the vanguard of the independence struggle, the Tanganyika African National Union (TANU). Her rallying motto was 'Uhuru na Umoja' (‘Freedom and Unity’). Rather than encourage racialism, TANU promoted nationalism seeing people foremost as Tanganyikans.

Yet, at the heart of the liberation struggle in both Tanganyika and Zanzibar was the question of race. Therefore, the integrationist racial politics in TANU did not always find wide support among adherents leading to fissures among the leadership and membership. Zuberi Mtemvu, formerly the TANU Secretary in the Eastern province, for example, did not approve of TANU’s racial politics. On this account he broke away and the formed African National Congress (ANC), a party constituted on a racial platform. Her rallying slogan was ‘Africa for Africans.’ Another prominent party at the time, the United Tanganyika Party (UTP) – dubbed the governor’s party – advocated for a representative system based on multiracialism.

TANU membership was open to all ethnicities and races and as a party of moderate racial politics, the TANU 1954 constitution stressed peace, equality, and racial harmony, while opposing tribalism, isolationism, and discrimination. TANU members were urged to fight the racialist habits of thought – a colonial heritage. During the 1958 elections TANU presented European as well as Asian candidates in different constituencies: Lady Chesham, a European, represented the Wahehe in the southern constituency of Iringa while Ms. Sophia Mustafa, an Asian, ran for the northern constituency in Arusha.

This was later followed by Ms. Celia Paes, a Goan from Dar es Salaam, formerly the president of the Tanganyika Council of Women and Barbro Johansson, a European who stood for a seat in Mwanza. Together with three African women, these women formed the cream of Tanganyika’s elected and nominated representative at independence. Their achievements are eclipsed by prominent non African figures in the first cabinet some of whom became close friends of Nyerere like Amir Jamal, Al-Noor Kassam and Derek Bryceson.

INDOCTRINATING RACIAL EQUALITY

To Nyerere, a self proclaimed African socialist, Socialism and Racialism are incompatible. The basis of socialism is a belief in human equality. Socialism is not for the benefit of black men, nor brown men, nor white men, nor yellow men. The purpose of socialism is the service of man (read humankind), regardless of color, size, shape, skill, ability or anything else.

The Arusha Declaration of 1967, the then blue print for African socialism (‘Ujamaa’) in Tanzania, does not talk about racial groups or nationalities. It defines as friends those who stand for the interests of the workers and peasants, anywhere in the world. It urges against putting people in pre-arranged categories of race or national origin. Rather, it wants each individual judged according to her or his character and ability similar to Martin Luther King Jr.’s plea for people to be judged by the content of their character.

Of course, there is an evolution in arriving at this point in both the TANU party and in the mind of its leaders. In his formative political career, Nyerere felt bitter about the favours which the Europeans enjoyed. He wanted to fight against discrimination, for African rights, for equal work and equal salaries. He later described these demands as the 'politics of sheer complaint', politics limited by his worldview at the time (Africa News Online, 1999). As he became more exposed to politics and other races he attained the sophistication of tolerating mutual coexistence where acknowledging the humanity of others in lieu of settling scores informed a more encompassing political strategy.

Examples cited where Nyerere’s demonstrated the politics of racial moderation include the April 1959 meeting of the Pan-African Freedom Movement of Eastern and Central Africa (PAFMECA) held in Zanzibar where he was instrumental in bringing the Arab and African parties closer together as they struggled with ideological and racial divisions at the height of the independence struggle. Also, during a PAFMECA meeting in Nairobi, Kenya in September 1959, Nyerere diffused racial tensions by declaring that Europeans and Asians were welcome to remain in Africa as equal citizens after independence was achieved.

Anti-racial politics were prominent not only in the party’s local agenda but also in its international agenda. On 26 June 1959 Julius Nyerere, along with Father Trevor Huddleston, at a meeting in London, launched the Boycott South Africa Movement re-named in 1960 as the Anti-Apartheid Movement. Also, during the Commonwealth Prime Minister’s Conference in London in March 1961 Nyerere joined other African leaders in denouncing the racist policies of the Union of South Africa. He threatened to boycott the body if South Africa remained in the Commonwealth, a threat that persuaded South Africa to withdraw its membership from the body. His anti-apartheid stance would go on to inform the creation of the Frontline States in which Tanzania played a prominent part, an initiative conceived to defeat racism and apartheid by containing it and confronting it both at home and abroad.

UNLOCKING RACIALIZED POLITICAL DISCOURSES

But despite all these efforts, prevailing racial tensions found expression immediately after independence. In Dar es Salaam, rioting, looting, rapings and racial killings ensued as the mutineers took over the capital in 1964. British officers and Non Commissioned Officers (NCOs) were rounded up and expelled. The consequences in Zanzibar during the 1964 Revolution were more dire as ten of thousands of women, men and children were murdered, raped, imprisoned and tortured simply for being ‘the wrong’ race, ethnicity or political adherent.

It has been easy in Tanzania to turn legitimate and not so legitimate political grievances into racial recriminations. Zanzibar represents a prime example where this has been done and more so in respect to the overthrow of a legitimately elected government by so termed ‘revolutionaries’ in 1964. Nyerere, his government, his party and his peers sought to explain a complex political terrain pertaining in Zanzibar in simplistic racial terms i.e. the overthrow of the minority Arab population by the majority African population aggrieved by the former’s continued political domination. However the problem lay in the electoral system in place which made it hard for a single party to have a clear majority. Consequently, before independence three successive elections saw the African majority in the isles unable to accede to political power because of the electoral system in place which was based not on the popular vote but on seats won similar to the Al Gore and Bush in the 2000 General Elections.

Particularly, significant is the categorization of races in pre-independence Tanganyika where the key racial groups are presented as African, European and Asian. This would continue after independence where Nyerere too confined racial issues to Africans, Asians and Whites and less so to Arabs and other monitory groups. Such classification is interesting in view of the large Arab population on the Mainland relative to the other two minority groups and is perhaps indicative of the group’s perceived political and economic insignificance compared to the situation pertaining in Zanzibar where they were a visible minority. Mwalimu’s critics like Amani Thani Fairoz and Khatib M. Rajab al-Zinjibari, however, interpret this as his aversion towards Islam personified in the Arab. I will explore this in greater detail in the next part but at this juncture it suffices to point out that Nyerere’s inability to check or condemn the killings that followed the Zanzibar Revolution is perceived as a major failure in upholding his non racial political agenda.

Racial politics persist in Tanzania and are largely informed by ethnicities and the question of resources and the control and ownership thereof. On the Mainland, in particular, racial politics are primarily directed at the Asian population, the economic moguls. During the nationalization campaign in the late sixties they were the primary targets of state take over of private enterprises and homes: it is estimated that more than 75% of the country's retail trade was controlled by Asians. Some owned factories, department stores and small shops; while others comprised the artisan class of carpenters, plumbers or tradesmen. Few become millionaires from large plantations and financial transaction.

Asian Tanzanians have not been able to shake off the image of the scrupulous money lender or economic opportunists in the present multi-party dispensation. If anything, Asians today are accused of using their economic clout to exert political influence. The media has perpetrated this image of the un-patriotic Asian during general elections by creating an impression of mass exodus of Asian bodies and capital. Such images are in sharp contrast to the role played by notable Asians in early political life like Rattansy, Karimjee and Mustafa who were revered for their dedication and sacrifice. Thus the present war on corruption is disproportionately blamed on Asians, heightening their vulnerability as a racial group.

NYERERE, RELIGIOUS VALUES AND VICES

If corruption and greed did not taint Nyerere’s political image, religious matters did. This is in spite of the fact that Nyerere, a Catholic, did not shy from wearing the Swahili skull cap to show his level of comfort with Islam. USAID avers that Nyerere adopted polices designed to minimize ethnic, religious and regional tensions and to foster an overarching sense of national unity. Accordingly, Nyerere was strict on the separation of church and state (See Deo Ssekitooleko). His socialist legacy promoted common secular values of unity, togetherness and social welfare geared at building a unified and uniform nation.

Ssekitooleko and Malambugi claim that Nyerere did not allow his religious beliefs to influence national policy, something that allowed Tanzania to experienced stability, outlive all forms of sectarianism and become a secular country where religion and ethnicity are private issues. This is a view that is not shared by all Nyerere critics. In fact a growing number of literature paint a conflicting picture of Nyerere’s rhetoric and practice with respect to religious belief, observance and practice as will be appreciated below. It is useful at this juncture to put Nyerere’s association with religion into perspective lest we fall into similar trappings as those who would not fault Nyerere elevating him to super human status.

One writer reminds us that Nyerere’s sawed-off front teeth indicated his pagan tribal background. His first encounter with major world religions was when he enrolled in school at twelve years old. He would be baptized on December 23, 1943 at the age of twenty, by Father Mathias Koenen in the Roman Catholic Church just before he went off to Makerere. At Makerere he became one of the leaders of the Catholic students, organizing retreats and pilgrimages to the shrines of the Uganda Martyrs. This interest in his faith would grow when he went to Edinburgh University.

Upon his return from Makerere, Nyerere taught at Saint Mary's School, owned by the Roman Catholic Church in Tabora. Similarly, upon his return from Scotland he would again teach at St. Francis Secondary School, Pugu. This was the first territorial secondary school set up by the Roman Catholic hierarchy for Tanganyika. It was the elite Catholic Secondary School that got the selection of all the best students when they completed middle school.

Perhaps, and in view of his humble background, Nyerere felt indebted to the Church: After all, it was his friends, in some cases his mentors at the Church, who had raised the money for his scholarship to Makerere and later to Scotland. At a certain point in his life Nyerere considered becoming a priest but was dissuaded by Father Walsh who advised him to continue pursuing his interest in politics. The church and particular the Fabian movement would continue to have a deep impact and role in his political life.

Even as a politician, Nyerere practiced his Christian faith openly, attending early mass, whenever he could. His passion and interest in Christianity is evident in his scholarship where he is credited with translating some books of the Bible into Kizanaki as well as in Kiswahili. Only MacDonald suggests that Nyerere was paid for translating this work but the account of Father Wille tends to suggest that the nominal sum he got was to compensate him for his job loss at Pugu. Nyerere also translated two catechisms, two explanations of the catechism that the White Fathers had made up in Kikwaya, all the prayers for Mass and all the Scripture Readings for Mass. In 1996 he wrote poetry and spiritual songs inspired by the Gospels of Matthew, Mark, Luke, John, and the Acts of the Apostles in the Bible.

It is, therefore, not far fetched to assume that Nyerere’s faith was central to who he is and his politics. Earlier on he is reported to have told Father Wille "I am not a Communist. I believe in God", when accused of belonging to the left. Nor was he fond of members of his cabinet who espoused communism like Abdul-Rahman Babu, Kassim Hanga and their sympathizers. Essentially, his religious values informs his strong stance against discrimination which he likens ‘to eating the flesh of another human being’, a biblical expression.

In due course, he may have compromised on socialism as a middle way between his religious beliefs and political convictions. An African brand of Socialism expressed in a terminology of creed believes in the equality of men and their right to dignity and respect- that all humans, regardless of their differences, are the purpose and justification for the existence of society, and all human activity in any given society. This philosophy demands that communities everywhere should enjoy and develop themselves within the context of freedom and democracy based upon good governance and social justice, policies that are not in opposition to church doctrine.

It is significant that Nyerere’s religious allegiances and actions remain hotly contested. Two trends are discernible: literature condemning his actions and practices and defenses against those accusations. In my view, these trends are unhelpful in that they fail to acknowledge the struggle, personal or public, that Nyerere as a political actor went through to reconcile his beliefs with his political convictions. Moreover, they fail to provide an insight on how a public figure who is a member of a certain congregation works from that realization to infuse a more positive engagement with national issues.

Perhaps part of the dilemma before Nyerere was his perceived support of a religious institution previously associated with maintaining the status quo considering that the churches in Tanganyika, according to al-Zinjibari, rejected TANU, twice in 1958 at Sumbawanga and in 1965 at Mbulu. Instead, they were scheming hand in glove with the British colonial government which groomed Nyerere to be the first president of Tanganyika. In fact just as Nyerere is seen not to distinguish the Arab from Islam, Muslim critics cannot separate his close ties to the Church to the sustained promotion of a Christian agenda in his political and socio-economic policies.

But Nyerere’s relationship with the Church is not as black and white as some critics would suggest. In fact, Nyerere grappled with the question of a new role for the church amidst a new era of political dispensation. He wanted the church to serve all people- Christians but also non-believers. Likewise, he wanted the church to serve the whole person, mentally, spiritually, and physically and therefore saw an expanded role for the church i.e. in running schools, hospitals, and income generating projects, not just proselytize.

Certainly, it could not be missed by Nyerere that at one point the Roman Catholic leadership in charge of St. Francis School at Pugu where he was teaching asked him to choose between teaching at their school and his work in politics. It is, therefore, no wonder that in his political life he would challenge the church to remember her responsibility to society calling for the church to recognize the need for a social revolution, and to play a leading role in it (Man and Development, p.98). In this vain Nyerere did not hesitate to nationalize mission schools in an attempt to secularize the institutions in order to expand educational opportunities to non- Christian students. Education would be a key strategy to realize his vision towards a unified nation.

IMPUTING THE RELIGIOUS TO NYERERE

If religion was off limits during President Nyerere's tenure, it is very much present in his life after his passing. A connection with a religious agenda is very palpable in the writings available on Nyerere by both Muslim and Christian writers. Christian (especially church-based) writers want to associate Nyerere’s Christian values with his particular brand of politics whereas Muslim writers point out to such influence as blinding his worldview and preventing a more rational form of political culture from emerging. Academic writers on the other hand tend to support a move towards closer scrutiny of Nyerere’s policies and deeds, possibly to better appreciate the complexity he represented as a political leader.

More interesting is the tendency to apply religious imagery or to converse in religious discourse of and about Nyerere. For instance it is telling that in one of the countless obituaries posted after his death Nyerere should be described in the following terms, “Julius Nyerere: Political messiah or false prophet?” This image of Nyerere as saviour produced a counter narrative that seeks to replace Nyerere with a Muslim Messiah in the form of Abdul Wahid Sykes emphasizing a male centric notion of leadership on the one hand and exposing entrenched yet silent religious misgivings on the other.

Throughout his life Nyerere was known to most Tanzanian’s as Mwalimu (The Teacher). Upon his retirement he was granted the title of Baba wa Taifa (Father of the Nation), a concept of fatherhood probably meant to capture his status as an elder in African society. Nevertheless, it is impossible to miss the connotation the term ‘Father’ has in the Church. Descriptions by veteran journalists like James Mpinga who describes a ritual of Nyerere ‘breaking bread’ with children in his hometown every morning evokes in the minds of non-Christians the preoccupation of the Church in making Nyerere not a national figure but a Christian figure defeating his own dream of creating a unified nation not overly consumed by religious figures or preoccupations. Of course, ongoing efforts to canonize Nyerere confirm the suspicions that Nyerere was not a disinterested party in religious matters.

Accordingly, numerous publications reviewed zealously credit Nyerere with achievements purportedly forming part of a grand divine plan. Muslims, on their part, oppose the image of Nyerere as the single handed liberator of Tanganyika and question the ambivalent role of missionary educated Tanganyikans in the liberation struggle. Other allegations are less conspicuous. For example, Malambugi alleges that for the sake of religious tolerance, Nyerere helped to formulate articles guaranteeing freedom of religion in Tanzanian constitution.

Of course the above account differs from that given by al-Zinjibari who observes that the Constitution drafted by the British colonialists, which was unilaterally used by the Tanganyikan Government as the Interim Constitution of Tanzania, did not contain freedom of religion as an independent clause to the detriment of the Islamic State of Zanzibar as pointed out Professor David Westerlund:

“In such a religiously divided country, the issue of religion was a sensitive one, and in 1965 the situation was no different from 1961 in this respect. In fact, it could be argued further that it was even more sensitive after the revolution in Zanzibar in 1964, when the Arab Sultan was overthrown and the Islamic State of Zanzibar ceased to exist...”(p. 90).

Church affiliated writers also advance the idea that Nyerere’s efforts to cultivate mutual relationships with and between Christians and Muslims religious leaders ensured religious tolerance in Tanzania since independence. However, authors like Fairoz, al-Zinjibari and Said Mohammed, see Nyerere as a serious bulwark against the flourishing of Islam in Tanzania. Foremost they take issue with close association between Islam and slavery in the persona of the Arab in the country’s political rhetoric and condemn the elevation of the role of the missionary and its institutions in Tanganyika’s liberation.

Additionally, they accuse Mwalimu for relenting to the churches wishes in decisions detrimental to Muslims in Tanzania. To back their claims they list various incidents where Muslim leaders and institutions have been singled out by Nyerere, seriously compromising Muslim progress in Tanzania. Chief among them is the expulsion of numerous Tanganyikan Muslims from the executive leadership of TANU. Also, the incarceration of Muslims political, religious and community figures at various times in Tanzania’s political history evidenced an uncomfortable relationship between Nyerere and Muslims.

Nyerere clamped hard on Muslim institutions beginning by banning the All Muslim National Union of Tanzania and later the Muslim Education Union on February 25, 1965, an institution founded to train Muslims who were not allowed into the government primary schools. In 1968 he banned the EAMWS. Whereas political dissent among Muslims was stifled during Nyerere’s reign, the right to free expression of the church – the Catholic Church in particular – was unhindered and constituted a formidable source of critique against government policy e.g. in publications like a Letter to my Superiors (See Sivalon; Mukandala et al.; Anderson)

Such singling out can, however, be contested as it was not just Muslims who were snubbed by Nyerere. Such a fate also befell some of his close friends like Oscar Kambona and Chief David Kidaha Makwaia, the latter a Roman Catholic. One of the most influential chiefs in East Africa, Chief Makwaia, facilitated the political rise of his long-time college friend Julius Nyerere by winning him British support as well as by securing the allegiance of Sukuma chiefs to TANU. Upon attaining uhuru Nyerere abolished the role of chiefs, and banished Chief Makwaia to the remote Tunduru District of the Southern Province for undisclosed reasons (Awam Amkpa, 2007). Kambona on his part was exile in Britain able to return to Tanzania after Nyerere resigned both the presidency and party headship.

Nevertheless, an anti-Islam agenda can still be imputed to Nyerere. He is, for instance, quoted in a book Development and Religion in Tanzania by J. P. van Bergen as saying that he established in TANU a department of political education in which he deliberately appointed a Christian minister, Reverend Mushendwa, to head it not because he was a strong politician but because of his Catholic Faith. Also, while Nyerere was well aware of disparities between Muslim and Christians in areas of education, executive appointments and social organizations he did very little to bring about structural transformation such that the disparities not only persist but 40 years after independence continued to be explained as part of the country’s historical legacy.

Alhaj Aboud Jumbe, among others, the second president of Zanzibar who fell out with Nyerere in 1984 similarly criticizes Nyerere’s religious policies. In his 1994 book The Partner-ship: Tanganyika-Zanzibar Union: 30 Turbulent Year, Jumbe asserts that “Muslim were deliberately under-represented in education” and provides statistics to back up his assertion. He indicates that this “could be a source of future conflict between Muslims and Christians” (p. 120). A United States Agency for International Development (USAID) sponsored Flash Points Study notes that an increasing number of Tanzanians are excluded from mainstream political and economic life, a section of (i.e. Muslims) which perceives its exclusion on the basis of its social and religious identity. Such concerns were also captured at the advent of multiparty politics in 1995 by one M.I. Marisi in a letter to the editor entitled Tusiwatete wanasiasa kwa misingi ya dini (‘Let religion not dictate our affiliation to political leaders’). Surely, the voicing of such concerns indicate continued vestiges of religious divisions even after over two decades of single party dominance propounding a people centered socialist ideology.

TOWARDS THE REDEFINITION OF RACIAL AND RELIGIOUS TOLERANCE

President Jakaya Mrisho Kikwete, in a speech delivered at Boston University on September 25, 2006 reiterates the dominant position with regards to Mwalimu’s legacy in managing religious diversity in a democratic environment. President Kikwete attributed to the remarkable foresight of Mwalimu Nyerere, specific actions taken to engender tolerance in matters of faith and manage potential cracks to Tanzania mainly through equitable policies, institutional innovations, political messages, and legal constitutional provisions. But sustained objections, raised by diverse voices, put such allegations to question. And as feelings of exclusion intensify and disparities between Muslims and Christians continue unabated, many questions are being asked about this bag puzzle (See al-Zinjibari).

It is inescapable that race and religion are inextricably linked in the minds of Tanzanians i.e. colonialism as being a Christian vestige and slavery an Islamic vestige; or Tanganyika being a missionary bastion while Zanzibar a Muslim bastion. Certainly, Tanzania’s inability to overcome vestiges of racial and religious exclusion exposes the government and the ruling party’s inability (or unwillingness) to address racial and religious discrimination that continues to dominate Tanzania’s political culture in a forthright and objective manner. Can such reluctance be understood as promoting tolerance? More importantly, the fixation with Muslim vs. Christian in a democratic society begs the question of the status of the other Tanzanians who are neither Muslim nor Christian in this equation. Don’t they also have legitimate grievances premised on their right of belief or non belief?

Nyerere’s policies may have been conceived to promote national unity but undue preoccupation with conflict suppression in order to compel cooperation across ethnic, religious and racial lines may have stifled genuine coexistence and the positive acknowledgement of difference in Tanzania’s multi racial and multi religious from evolving. Inherent racial and religious tensions became more pronounced since the early 1990s resulting in the sowing of seeds of discord among the people and communities given that, as argued by Chachage, it defends politics of exclusion and inclusion, privileges and denials whereby citizenship, rather than nationalism, patriotism and pan-Africanism became the real stuff.

Perhaps, then, Tanzania’s current political outlook stifles the possibility of a unified nation, one that accepts difference of race, religion as well as opinion as integral to its political legacy. The challenge for future inter and intra racial and religious relations rests on the nation’s ability to overcome racial and religious suspicion, as well as acknowledging residual institutional and individual biases impeding in the country’s quest to forge a collective future.


BROUGHT TO YOU BY PAMBAZUKA NEWS

* Salma Maoulidi is an activist and the executive director of the Sahiba Sisters Foundation in Dar es Salaam, Tanzania.
* This article will be a contributing chapter to a forthcoming Pambazuka Press book entitled 'Nyerere's Legacy', edited by Chambi Chachage and Annar Cassam.
* Please send comments to editor@pambazuka.org or comment online at Pambazuka News.
 
QUOTE=Gwalihenzi;6220251]Hivyo ndivyo udini ulivyochochewa na wanamtandao wa Kikwete kwa kuwatumia akina Mohamed Said, Ritz, Ponda, Illunga... mambo yamekuwa na kuwafanya wadini kuanza kuwachinja wachungaji na mapadri, Kikwete anashangaa![/QUOTE]

Unaruhusiwa kuongea hata kama una influence ya mihadharati. Kiongozi gani wa dini ya Kikristo aliyechinjwa mpaka sasa hivi aliyeuliwa na Waislamu?
 
Mwaka 1950 ulikuwa hujazaliwa, sijui ulicheza santuri ukiwa wapi maana nina uhakika hata tumboni ulikuwa hupo. Mimi nakula sahani moja na wewe si kadogoo. Kadogoo atakupigia makofi ukisema Balozi amehutubia bunge au warioba aliokotwa machungani. Nimekuweka mahali ambapo umekiri kuwa umedanganya jamvi hapa hadi Lagos.
Unaishi 5 stars na kusafiri kwa first class kumbe uneapeleka uongo! Ndio maana nimesema Liar! big liar na hukuthubutu kusema kitu.

Siyo mara moja au mbili ni kila ulichoandika ninaona uzushi ambao haulingani na maudhui, hekima, taratibu na busara kama zinavyofundishwa katika uislam. Leo wewe si yule wa kuja na kutamba kuhusu Cambridge n.k.
Leo si wewe wa kutupa data za kindergarten, na leo wewe si yule unayeweka vipande hovyo isipokuwa vya bi kidude.

Mohamed, as long as you're here nitakula sahani moja na wewe. Unajua hilo lakini ufanyeje?

Umenikumbusha mkuzi kwa sheikh Abdallah.
Pale Magila kuna sehemu inaitwa mikwamba ndipo familia ya kihampa inatoka.Miongoni mwa wasomi wa mwanzo.
Hapa Mikwamba kuna historia nzuri bahti mbaya watu wamekimbia na kijiji sasa chafa.
Wengi sana wameelimika wakti wa mission Magila ilipokuwepo.

Vipi wapajua kicheba?
Gombesugu alipomtaja sheikh Hemed Bin Jumaa alinikumbusha nyakati hizo akina sheikh Mwinyiatani wakiuunguruma pale muheza mjini. Jamani udongo unakula vitu!

Dunia hii ukiizunguka na kuishi utaona mengi. Gombesugu kanikumbusha pia kule Tarime alikosema ni kwetu.
Kule nawakumbuka akina Kembo Migire wa Shirati Hospital. Hapo zama hizo ndipo watoto waliokuwa na Burkitt's Lymphoma wakitibiwa ukiacha ocean road nchi nzima.(Mohamed hayo ni maradhi usije sema nimekutukana)

Wajulie hali hapo nyumbani

Ha ha haa Nguruvi3, wewe kweli kiboko! Ngoja nitulie kwanza kidogo...kazi ndiyo inaanza.
 
Watoto wa hasidi Mohamed Said wameamua kumuokoa mzee wao kwenye kibano. Walipoona kabanwa na ile longolongo ya balozi wa Marekani kuhutubia bunge, hawakuwa na jingine zaidi ya kuupotosha mjadala!

Kama kweli wewe una akili timamu nieleze waliohutubia bunge kuanzia la Tanganyika mpaka sasa hivi Tanzania wamelisaidia aje Taifa letu zaidi ya kuwa taifa masikini tu? Sasa Balozi wa Marekani kaongea na Wabunge na alikuwa na nguvu kwenye maongezi yake kuliko hao waliopata heshima ya kulihutubia bunge kwa sababu nia ya Wamerekani ya kutaka sheria ya ugaidi kutokana na tafsiri yao ilipitishwa na Bunge na ikapita!! Na ukitaka mjue kwamba waliyopitisha sheria ile na Wamarekani wenyewe hawajitambui waulize suali moja tu tafsiri ya Ugaidi ni nini?

Mnatakiwa kutumia mda wenu kuwashangaa wale tuliowapa rungu la kulihutubia Bunge kwa manufaa ya Taifa letu ambao kwa kipindi cha miaka zaidi ya 50 wameshindwa, mnaanzisha ubishano wa kijinga wa kudai kama fulani alihutubia bunge au la!!!!!!!!!!!!!!!!! Ukweli unabaki palepale kwamba Wamarekani walitumia nafasi ile kuongea na wabunge na kuweza kuwashawishi kupitisha sheria ile ya kijinga ambayo hata tafsiri ya ugaidi hatuna!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nguruvi3,
Kumbe dunia ndogo! Sikujua unamfahamu Kembo Migire. Huyu baba yake akifanya kazi pamoja na baba yangu. Mdogo wake marhemu John Migire aliponunua pikipiki yake ya kwanza pale Musoma wakati huo nikiwa mdogo, alipenda kunipa ride na kunizungusha pale mjini. It is a small world. Hivi sasa niko kwenye bodi ya Friends of Shirati Hospital. Kazi tunayofanya si ndogo. Ukifika pale ukiona solar panels kuhakisha chumba cha operesheni hakiishiwi umeme, ni kazi yetu.
Jasusi dunia ndogo hii ndugu yangu. Naijua vema Shirati ya Kembo. Sijui kama unamkumbuka mzee Mkangara huyu tukiishi jirani wakati fulani. Pale msoma unaposema mimi Alwatan(homeland).

Nadhani unamjua mzee Kerenge(marhum) huyu tukiishi Karume rd, mtaa huo kulikuwa na tajiri Dedan Karanja akimiliki mabasi.Mtaa unaofuta ni kwa balozi Ndobo akimiliki Embassy Hotel. Huwi mtoto wa mjini kama hukuwahi kupanga hapo, ''nani'' atakuthamini

Pale mjini kuna miskiti mkubwa na mitaa michache kwa nyuma kuna msikiti wa wageni au msikiti mdogo.
Hapo tukiwasikia akina marhum Mohamed Chamba wakitoa mawaidha.

Kuna nyakati mji ukitembelewa na Sheikh Kiumbe kutoka Kigoma huyu maarufu saba akiingia mji unazizima.
Nayakati hizo Sheikh mkuu akiwa mzee Magee, mzee Mtanashati sana akiishi Mkendo mwisho karibu na cremation ya wahindi kwenda ziwani.

Mwembeni primary ilikuwa ya Catholic, Iringo ilikuwa ya Hindu na Mkendo ilikuwa Agakhan.
Pale kwenye ofisi za chama palikuwa uwanja wa Musoma Muslim school.
Ndipo CCM wagawiwa eneo kidogo kujenga ofisi za chama.

Kamumnyonge kulikuwa na NHC zikiitwa biafra. Hapo ndipo mzee S.Kitwara akiishi na familia yake. Jirani akiishi mzee wa Kihaya msomi sana akiitwa Salum na pembeni kulikuwa na mzee mwingine Salim kimiliki mabasi ya Tumaini yakienda Majita.

Usafiri ukilimikiwa na Musoma Bus wakiwa kule mahali panapojulikana msomabasi kwasasa, bara bara ya kwenda Alliance ambayo sasa ni Musoma Sekondari.

Hapo musoma basi kukiwa na mashine ya unga ya Azizi Posho mill, kwa juu ni nyakato maarufu kwa kupika gongo
Mwingine akimiliki mabasi ni Chandram wa United bus.

Baada ya hapo ndipo ikaja Ngorome na Bukwaya. Nimekupa kisa hicho kwasababu wakati wa vita ya Kagera mabasi ya wamiliki hao yalichukua askari kuwapeleka mstari wa mbele. Hawa ndio wazalendo wanaojali nchi yao.

Pale Kamunyonge kukiwa na soko la Matumbi. Kwanza lilikuwa la nyasi. Hili la sasa likijengwa tunaona na tunachangishwa.
Opposite na soko kuna Matumbi Bar na mkabala na hapo kulikuwa na duka la mtu maarufu Hussein Sokoni.
Huyu na wenzake wakishirikiana kuhimiza ujenzi wa msikiti pale kutoka kule juu karibu na kambi ya jeshi.

Msikiti upo jirani na nyumbani kwa Jackson Mseti. Huyu akimiliki gereji za magari na maarufu mjini.
Askofu Anthony Mayalla (marehemu) akitawaza tuliona pale Catholic karibu na Mwembeni. Nyerere alikuwa likizo akaja kuhudhuria utawazo huo. Sisi tukimshangaa Aaskofu mdogo katika umri ule. Haikuwa kawaida.

Sasa hapo Shirati kwa Kembo ilikuwa kama referal hospital ya maeneo hayo. Mgonjwa akishindikana Shirati basi ni Bugando au Muhimbili. Lakini umaarufu ulikuwa ni matibabu ya Burkitt's Lymphoma wao wakiwa na wataalam.

Kwenda Tarime tukivuka kwa pantoni hapo mto Mara. Ndipo likajengwa daraja la Kirumi. Daraja lile limejengwa na Maulida and Ros ya Italy, ujenzi ukiendelee matete yakatoka mto Mara juu na kuvunja daraja. Waitaliano wakasahau mvinyo walikuwa wakilia kama watoto!! tumeona mengi jamani

Bado sijakupeleka Mkirira ukipitia Buhare, Nyakatende, Mgango jineri hadi Majita.

Tukiwakumbuka wazee wetu kidogo! yapo mageni tutaendelea inshallah

Tuendelee na mnakasha mkuu
 
Ritz, wacha uongo, Mohamed Said hashambuliwi kwa sababu ya dini yake, bali anakosolewa hapa jamvin kwa mambo makubwa mawili, moja ni kutumia uislam kupotosha historia ya Tanganyika, ya pili ni kuandika uwongo kwa malengo ya uchochezi. Yote mawili yameoneshwa waziwazi hapa. Kwamba balozi wa Marekani alihutubia bunge ni uongo! kwamba Nyerere alikuwa adui wa waislam huo ni uongo na uchochezi!

Hivi wewe unakataa kwamba Waislamu hawakuhusika kwa lolote kwenye mchakato wa kudai uhuru wa Tanganyika? Kama walidai historia hiyo iko wapi? Mbona tumewekewa hapa historia ya Kanisa kudai uhuru mpaka wakaongeza habari za Kanisa kuhamasisha watu kudai uhuru kwenye Biblia? Anayestahili kulaumiwa ni yule ambaye alitakiwa kuweka historia wazi ili mchango wa kila mmoja kwenye kudai uhuru ujulikane. Kwa nini Nyerere ambaye ndiye aliyekuwa na mamlaka ya mwisho hakuruhusu hilo litokee kwenye uhai wake? Sasa mchawi wa matatizo haya yote ni Nyerere kwa sababu alielewa wazi kwamba akiruhusu historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika basi jina lake la kupandikizwa kwenye mapigano hayo halitakuwemo. Kama mnadhani kuna sababu yoyote ya msingi ya yeye kuacha kuandika au kuruhusu watu waandike historia ya kudai uhuru wetu ambayo yeye anajivunia sana kwamba ame play big role kuuleta uhuru wetu basi tuelezeni maana yeye mpaka anakufa hakuwa tayari kuelezea hilo suala!!!!!!!!!!!!!
Sasa wanapotokea watu kuelezea historia ya Uhuru wetu ambayo taifa haikuwa tayari kuielezea msianze kuwalaumu na kuwaita wachochezi. Wanalazimika kufanya hivyo kwa sababu aliyekuwa na dhamana ya kufanya hivyo (Nyerere) hakuona umuhimu huo. Na alikuwa na sababu zake za kipumbavu za kuficha ukweli akidhani kwamba historia aliyoiweka yeye ya kimagumashi itaendelea kuaminiwa milele!!!!!!!!!!!! Hotuba yake tu aliyoitoa wakati wa kustaafu tumeichambua na kuonyesha ama alikuwa MNAFIKI au CHIZI wakati anaitoa hiyo hotuba na washabiki wake ambao alidhani wataendelea kutetea utumbo wake wameshindwa kufanya hivyo hapa, sembuse historia ya kudai uhuru?

Sasa hilo la Nyerere kuwa adui wa Uislamu mnapodai kuwa ni uongo wakati ukiacha wengine mlioanza nao tangu mwanzo bado mimi nimeweka hoja zangu hapa punde za kuonyesha si tu kwamba Nyerere alikuwa adui wa Uislam bali alipitiliza na kuwa kama HITLER katika uadui wake. Mbona mnashindwa kuzijibu? Mnapata wapi akili ya ubongo wa Panya wa kudhani kwamba kila ukimuona binadamu utaweza kumkimbia bila yeye kutafuta njia za kukudhibiti?

Hilo suala la kusema kwamba Balozi wa Marekani hakulihutubia Bunge ni suala la kitoto sana kiasi kwamba nashangaa watu wazima wenye familia zenu nyumbani mnalishupalia kama hamna akili nzuri. Hivi waliopata nafasi ya kulihutubia bunge tangu tupate uhuru wamefanya nini zaidi ya nchi yetu kuendelea kuwa maskini? Lakini Balozi wa Marekani alipata alichokitaka kwa kuongea na wabunge!!!!!!!!!!!! Sasa badala ya kuendeleza ligi ya kijinga ya kudai hakuliutubia Bunge au la, mnatakiwa kujua kwamba vyovyote vile alivyokwenda pale Bungeni lengo lake lilitimia au hapana? Na mimi ninaamini kwamba huu ndio ujumbe ambao Mzee Said alikusudia kuufikisha kwamba Wamarekani walifanikiwa kuwashawishi wabunge wetu wapitishe sheria ile.
 
Huu ni utetezi dhaifu sana katika nyanja za kisomi! "historical facts" zinabakia kuwa "fact" bila kujali zimesemwa au kuandikwa na nani, mzungu au mweusi. Kinachobadirika ni uchambuzi wa "facts" hizo. Kwamba Nyerere na watanganyika wenzake waliunda TANU na kudai uhuru ni "historical fact" iandikwe na Mohamed au Illife itabakia kuwa historical fact. Lakini kwamba katika mapambano hayo ya uhuru waislam ndio waliomsaidia zaidi Nyerere kuliko watu wengine na hivyo wanasitahili sifa na heshima kuliko watanganyika wengine, hiyo ni "Opinion" ambayo Mohamed na Illife watatofautiana. Na ni hapo ndipo Mohamed hatakubali kushindwa na Illife kwa sababu yeye ni muislam na Illife sio muislam!

Kweli inabakia fact kwamba Nyerere na Watanganyika wenzake walidai uhuru. Kwa nini yeye Nyerere asiache historia hiyo kwenu kwa kuelezea tangu alipoingia kwenye mapambano ya uhuru na ni kina nani aliwakuta kabla yeye hajaingia kwenye kinyang'anyiro hicho? Anapozungumza kwamba aliingia siasa katika chama ambacho hata viongozi wake waandamizi hawajui na kukubali kukitumikia chama hicho tangu kwenye ngazi ya shuleni alipokuwa Makerere mpaka anachaguliwa kuwa kiongozi wa Jimbo la Tabora hapo ndipo sifa ya yeye kuwa MNAFIKI au CHIZI inapomstahili.
 
Back
Top Bottom