Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Naomba niulize swali dogo tu. Kama Bakwata ni chombo cha serikali, na waislamu wengi hawakitambui, inakuwaje waislamu hao hao wanataka serikali hiyo hiyo iwaanzishie mahakama ya kadhi? Ni swali dogo tu.

Jasusi,

Waislamu wanataka mahakama ya kadhi lakini hawaitaki Bakwata. Sasa hapo ni kipi kinachokuchanganya ndugu yangu?
 
Naomba niulize swali dogo tu. Kama Bakwata ni chombo cha serikali, na waislamu wengi hawakitambui, inakuwaje waislamu hao hao wanataka serikali hiyo hiyo iwaanzishie mahakama ya kadhi? Ni swali dogo tu.


Madai yetu sisi si kuitaka serikali ituanzishie mahakama ya Kadhi,mahakama ya kadhi na vitu vingine vingi tunaweza kuvianzisha sisi wenyewe na kuvisimamia,tunachopinga ni wao serikali tena mambo haya aliyapandikiza nyerere,hatutaki kutupangia mambo yetu kwa kupitia chombo chenu cha bakwata,kama vile wasivyowaingilia nyinyi kwenye mambo yenu basi nasisi wasituingilie hivyo hivyo...
 
Hakika elmu niliopata madras ni kubwa sana na imenisaidia sana kutambua hawa wasomi wa kigal******tia wanavyo shindwa ktkt mnakasha huu

Mungu awajaalie wajue njia ya haki

Hargeisa,

Salaam. Wallahi,nafurahi kufahamiana na kutambuana hapa jamvini.

Hilo jina utumialo lanikumbusha safari yangu miaka michache ilopita pale Hargeisa.

Napenda bayana zako ni kiduchu mno,lakini nasaha zako ni mwanana na hunikurubishia vicheko kila nikusomapo.

Ahsanta.
 
Ndio tatizo la kuoga dimbwini na watoto, mwishowe inakuwa vigumu kuwatenganisha kwa nasaba. Mtu akikusimulia jambo la kipuuzi lisilo na chembe ya ukweli na wewe ukalimeza fasta fasta, maana yake ni kwamba unapoteza uwezo wa kupima siyo kwa yake unayoyasikia tu bali yake unayoyanena pia.

Kwa sasa ni vigumu kumtofautisha Mohamed Said na Ritz, gombesugu na Kadogoo, zomba na Zali la Mentali au Barubaru na THE BIG SHOW! Wote wamejitupa dimbwini wakiamini wanaoga na kwamba watatoka humo wametakata! Kipi cha kushangaza hapa...humo hakuna tena cha mzee na mtoto!

zali la Mentali darsa limemkolea kisawasawa kama ilivyowakolea Sheikh Ilunga na Sheikh Ponda, umbea na uchochezi wa mwalimu wao Mohamed Said umewaingia kweli kweli, atasita vipi naye kuzua la kwake? Kwa nini mtoto asione fahari kuchafuka kama humo dimbwini wazee hawabanduki?

Mag3,

Nilishawahi kukupa tahadhari hapo awali ya kutumia lugha inayoshabihiana na umri wako. Lakini naona husikii asilan.
Kwanini usikae kitako na kubwia tumbaku huku ukimalizia pension yako kama wafanyavyo watu wazima wenzio wa kikwenu!?

Huyo alotumbukia dimbwini ni nani!? Wewe unajua nini maana ya dimbwi!? Na ukiliona dimbwi talijua!?

Nyinyi hamuwezi asilan kuona tafauti baina yetu na nilishawahi kutamka hapo awali. Kwa sababu kwa akili zako chechefu na psychology yako dhaifu, ni vigumu kuona tafauti yetu sisi. Sababu ila,dasturi na matendo yetu kwa machoni mwako tumeshabihi kama vile uwatazamapo ma-Chinese!?

Sisi ni walamba boots za Sheikh Mohammed Said,hatujui kusoma wala kuandika,tunashinda vibarazani Kariakoo kufanza majungu na mipasho,chakula chetu kikuu ni kashata na kahawa chungu,akili zetu ni za Madrassa...sasa yanini tukushughulishe wewe Mkristo mtiifu,msomi na muungwana!? Pilipili ishamba,wewe yakuwashiani!?

Taadabu nafsi yako isojua ila wala fadhila. Acha au jaribu kupunguza chuki zako binafsi kwa Sheikh Mohammed.

Wewe kama ni mtu mzima wa kikweli,yatakiwa urekebishe kashfa,fedhuli,tashtit,nakma,zilzala,kizazaa na rabsha nyinginezo nyingi hapa jamvini lakini sio ndo uwe kinara wa makhanatha.

Halafu ndo wewe ati unajinasibu umetoka kwenye family zenye maadili,na kwamba ati unatafuta amani na suluhu baina ya wa-Tanzania!? Nakuona saana kila uwekapo zile "LIKE" zako kila mara watukanapwo na kudharauliwa Waislam na Uislam.

Usinifanze nikaacha shughuli zangu,kulumbana nawe.

Natumai utajaribu kujihishimu.

Ahsanta.
 
Wewe skia,tuondolee upumbavu wako hapa sawa??na hatusemi Salaam aleika waislam na wale wenye kuijua lugha hiyo..!
Tuondolee upuuz wako kbs,huu mjadala si wa Moh Said,hivi unasoma lakin kinachozungumzwa hapa au umerukwa na akili??
Mambo yanayozungmuzwa hapa si mageni,na hakuna uchochezi hapa,mambo yanazungumzwa hapa yalishaandikwa na kwa sasa yana miaka mingi sana kwenye jamii hii yanasomwa,kama kitabu hiki kingekua na uchochez mbona serikali hakijakifungia??
Muanzilishi wa mjadala huu si Moh Said kwa taarifa yako,Muanzilish Wa mjadala huu ni Yericko na anafahamika,we hujui hili??muombe yericko aufunge mjadala huu na si Moh Said sawa??
Wewe kama umekosa la kuongea kaa pembeni,watu wamejifunza mengi kwenye mjadala huu waislam,wasio waislam na wapagani wamejifunza mengi na bado wanaendelea kujifunza mengi sana,
Waislam sio watu dhalili,wanajua wanachokifanya,we nani uje kuwazungumzia waislam??hapa inazungumzwa historia ya nchi hii katika uhalisia wake,wewe unapokuja na kusema ya kwamba haitawasaidia watu una maana gani??
hujui maana ya historia kwa jamii??ukitaka watu wakae kimya wasizungumze uhalisia wa historia ya nchi hii??

Ati unakuja na kusema ya kwamba huko makanisani watu wanachangishana na kujenga vitu mbali mbaliu vya maendeleo,so what??sisi yanatuhusu nin mambo hayo??sadaka wanazotoa waislam kwenye jumuiya zao na jamii zao kama unaziona ni kiduchu na hazina tija yyte kwa jamii yao wewe Mutlaq zinakuhus nini??

Ndoa za mitara na mambo mengine mengi ya kipuuzi unayoshadadia yanahusu nini kwenye mjadala huu??

Sikiliza bwana mdogo,wewe hata kama umeamua kuja kwa style nyingine ili tusikubaini lakin kaa ukitambua tushakujua kuwa ni kanjanja na umejidhalilisha sana,hakuna atakaekaa na kuskiliza upuuz wako na maneno ya kitoto yasiyo na mbele wala nyuma,huu mjadala si size yako,na mambo yanayozungumzwa hapa wewe huwez jua yakini yake,,

Na kama Rai yako unataka mjadala huu ufungwe usimwambie Moh Said,mwambie Yericko Nyerere aufunge mjadala huu kwani yeye ndie mwanzilishaji na Moh Said na sisi wengine tumekuja kutokana na kile alichokisema yeye..

Mufilisi mkubwa wee..!!1

The Big Show,

Salaam Al Akhiy. Niwie radhi,sikujua yakuwa nawewe ndo ulikua njiani pia kumnyooshea maneno huyo "Muislam".

Ahsanta.
 
DAIMA udini huendekezwa na watu wenye mawazo ya kimaskini, watu hawataki kwenda shule, tazama matokeo ya form 2 shule za kiislam zilivyofeli mawka huu, sasa hawa ndo wakija kukua wanaanza kusema nyerere mchawi kawaonea, hivi mmeona shule za wakatoliki wameshika kumi bora kwa 50% pia mmeona na majina ya watoto hao kumi bora ni ya KIKRISTU. Hii inaakisi kwamba hata form 4, 6 na elimu ya juu, itakuwa hivyohivyo, mtalaumu nyerer weeee na umaskini wa MALI na maazo vitawatafuna mpaka KABURINI

Kwanza ondoa ile PAROKIA pamoja na safu ya nzima ya wakristo ambao wamewekwa pale NECTA kwa lengo moja tu kuhakikisha wanawafelisha vijana wa kiislam, ukifanya hivyo ndo utajua weledi wa watoto wa kiislam
 
Mag3,

Nilishawahi kukupa tahadhari hapo awali ya kutumia lugha inayoshabihiana na umri wako. Lakini naona husikii asilan.
Kwanini usikae kitako na kubwia tumbaku huku ukimalizia pension yako kama wafanyavyo watu wazima wenzio wa kikwenu!?

Huyo alotumbukia dimbwini ni nani!? Wewe unajua nini maana ya dimbwi!? Na ukiliona dimbwi talijua!?

Sisi hamuwezi asilan kuona tafauti baina yetu na nilishawahi kutamka hapo awali. Kwa sababu kwa akili zako chechefu na psychology yako dhaifu, ni vigumu kuona tafauti yetu sisi. Sababu ila,dasturi na matendo yetu kwa machoni mwako tumeshabihi kama vile uwatazamapo ma-Chinese!?

Sisi ni walamba boots za Sheikh Mohammed Said,hatujui kusoma wala kuandika,tunashinda vibarazani Kariakoo kufanza majungu na mipasho,chakula chetu kikuu ni kashata na kahawa chungu,akili zetu ni za Madrassa...sasa yanini tukushughulishe wewe Mkristo mtiifu,msomi na muungwana!? Pilipili ishamba,wewe yakuwashiani!?

Taadabu nafsi yako isojua ila wala fadhila. Acha au jaribu kupunguza chuki zako binafsi kwa Sheikh Mohammed.

Wewe kama ni mtu mzima wa kikweli,yatakiwa urekebishe kashfa,fedhuli,tashtit,nakma,zilzala,kizazaa na rabsha nyinginezo nyingi hapa jamvini lakini sio ndo uwe kinara wa makhanatha.

Halafu ndo wewe ati unajinasibu umetoka kwenye family zenye maadili,na kwamba ati unatafuta amani na suluhu baina ya wa-Tanzania!? Nakuona saana kila uwekapo zile "LIKE" zako kila mara watukanapwo na kudharauliwa Waislam na Uislam.

Usinifanze nikaacha shughuli zangu,kulumbana nawe.

Natumai utajaribu kujihishimu.

Ahsanta.


Huyo ni mpuuzi tuh,kama inawezekana nawewe mwingize kwenye list yako...
Asitupotezee muda wetu hapa...
 
The Big Show,

Salaam Al Akhiy. Niwie radhi,sikujua yakuwa nawewe ndo ulikua njiani pia kumnyooshea maneno huyo "Muislam".

Ahsanta.


Naam,
Waleykhum salaam,huyo kanjanja sijui katokea wapi,na anajinasibu na uislam huku akishindwa kujua changamoto kuu zinazowakabili waislam ndann ya nchi hii,wa ajabu sana,kweli tutashuhudia mengi kwenye mjadala huu...
Me naona Yericko angeufunga tuh kwani sasa naona joto ya jiwe imekuwa kubwa hadi anakuja kushutumiwa kuwa mwanzilishi wa mjadala huu ni Moh Said,hana analoliongea la maana,haeleweki hoja yake ipo wapi,yeye anasimama hapa na kudhani sisi tupo hapa kujenga na kushabikia chuki na farki baina yetu na ndugu zetu wa upande wa pili,kwa maana hiyo basi hata hao kina Invisible walioamua kuupa heshima mjadala huu yeye anawaona wapuuzi hivi nadhani,ni mtu wa sampuli ya ajabu sana,,tena sana...
 
Last edited by a moderator:
Naomba niulize swali dogo tu. Kama Bakwata ni chombo cha serikali, na waislamu wengi hawakitambui, inakuwaje waislamu hao hao wanataka serikali hiyo hiyo iwaanzishie mahakama ya kadhi? Ni swali dogo tu.

waarabu wana usemi the right question is usual better than the right answer for a wrong question.

labda na mimi nikuulize kutokana na ufahamu wako. Je mahakama ya Kadhi inahusiana nini na suala la Bakwata?

 
Naam,
Waleykhum salaam,huyo kanjanja sijui katokea wapi,na anajinasibu na uislam huku akishindwa kujua changamoto kuu zinazowakabili waislam ndann ya nchi hii,wa ajabu sana,kweli tutashuhudia mengi kwenye mjadala huu...
Me naona Yericko angeufunga tuh kwani sasa naona joto ya jiwe imekuwa kubwa hadi anakuja kushutumiwa kuwa mwanzilishi wa mjadala huu ni Moh Said,hana analoliongea la maana,haeleweki hoja yake ipo wapi,yeye anasimama hapa na kudhani sisi tupo hapa kujenga na kushabikia chuki na farki baina yetu na ndugu zetu wa upande wa pili,kwa maana hiyo basi hata hao kina Invisible walioamua kuupa heshima mjadala huu yeye anawaona wapuuzi hivi nadhani,ni mtu wa sampuli ya ajabu sana,,tena sana...

The Big Show,

Haya yote yaliwezekana kwa kuwa wazee wetu walipogeukiwa na kusalitiwa walikaa kimya
na mmoja mmoja wakafa na wakaingia kaburini na historia zao.

Sisi tumethubutu kufungua vinywa vetu na kusema ukweli.
Ndiyo haya unayoyaona hapa JF hivi sasa.

Kila tulisemalo kwao ni kitu cha ajabu.

Kuna kioja na ajabu kama kuandika historia ya TANU ukamuacha Mshume Kiyate?
Wanataka waandike historia ya TANU kwa kuwaruka wana TANU.

Itawezekana wapi?
Twendenao taratibu In Sha Allah.
 
GS, mbona hoja yako dhaifu sana Mkuu! Hapa unataka kutuaminisha kuwa kutiwa ndani kwa huyo Sheikh ni kwa sababu ya dini yake? Mbona wengi tu walitiwa ndani nyakati hizo? Mbona hata baadhi ya Mabaniani walikimbilia Canada kuepuka Kampeni ya Uhujumu uchumi enzi zile? Waama kwako wewe ni hadi Ladwa angekamatwa ndio ungeona ile Kampeni haikuwa 'kumkomoa' Sheikh Muislamu? Mbina wapo wengi tu ambao sio Waislamu ambao pia waliwekwa ndani na baada ya kuachiwa tu walifariki? Mbona hata leo wapo waliokwapua pesa za EPA na wakakiri na Rais akawatangazia msamaha ikiwa watalipa hizo pesa?
Gombesugu, kwa kweli sikutarajia kama unaweza kuleta hoja dhaifu kama hii; tukisema kuwa wengine wenu mnaongozwa na imani zenu za kidini na chuki ya kidini kwa Mwalimu Nyerere ktk mnakasha huumnabisha.
Nasikitika leo nimerudi kwenye huu mnakasha ba nikakutana na comment dhaifu kama hii, tena kutoka kwa mtu ambaye angalau ameelimika.

Wimana,

Nashukuru ndugu yangu kwa bayana yako hii na hishma ulonipa. Najua Shariff Ritz,alishakupa jibu japo kiduchu(lakini lazim niseme ukweli lile jibu la Ritz kwako,limenivunja mbavu mno!).

Inanilazim nikueleze kiduchu kwa hishma unipayo mara kadhaa hapa jamvini,na kama fikra zangu zipo sahihi naamini hujawahi kunitusi katika majadiliano yetu kiduchu tulowahi kufanza mimi nawe.

Pole pia kwa masikitiko na hiyo huruma ilokupata dhidi ya hoja yangu dhaifu. Haina neno ndo kilimwengu kila mwana-Adam ana udhaifu wake wala hakuna alokamilika baina yetu.

Hiyo kwangu haikua hoja asilan,ilikua ni marembesho ya khadithi zetu za vibarazani baina yangu na Sheikh Mohammed. Kama umeshabaini,mara nyingi kuna Wazee wetu ndo huwa tunakumbushana. Labda ndo kwa bakhti mbaya nikatia ile issue ilokusibu.

Hizo habari za "Uhujumu wa Uchumi",nami pia nazijua kwa kina na vitimbi/vituko vyake takriban vyoote. Na yule baniani J.W.Ladwa nae namjua vizuri mno na mpaka kwake nikifika. Kama uliangalia ile post yangu kwa makini, kuhusu J.W.Ladwa;hapana sikumlaumu Nyerere tu peke yake. Nilitaja yakuwa huyo jamaa vitimbi na vurugu zake bado zipo na zinaendelea mpaka kesho. Hapo nilimaanisha yakuwa awamu zoote za "Viongozi" hazijamshughulikia kwa kina!?

Natumai majibu yangu japo kiduchu yatakuridhisha ndugu yangu. Nachelea tusiweke malumbano yaso tija hapa jamvini.

Ahsanta kwa kunisikiza na kunikubalia huo uchechefu wangu.
 
Amesema Mtume salalahu alayhi wasallam:
Mnusuru ndugu yako (Muislamu) aliyedhulumiwa au anayedhulumu, mtu mmoja aliyekuwepo akauliza:ninaelewa kumnusuru ndugu yangu aliyedhulumiwa lakini anayedhulumu (sielewi)?
Mtume salalahu alayhi wasallam akamwambia: Unaweza kumzuia asifanye (asiendeleze) dhulma, huo utakuwa ni msaada wako kwake (umemuondolea mzigo wa adhabu za Kiama)".mwisho wa hadith- (imepokelewa kwenye sahiihayn, Bukhari na Muslim)*kwenye mabano ni tafsiri yangu jinsi nilivyoelewa mimi.
Swadakta bw. Sideeq!
Sasa kama hayo maneno ndivyo yalivyo kwanini Wickama na Rweye1 wanapomzuia Mohamed asidhulum waonekane kuwa waovu?

Nadhani unajua jinsi gani Mohamed anadhulumu vijana na watu waliokuwa hawafahamu baadhi ya mambo.
Miaka 15 andhulum watu huoni hilo ni tatizo na ni wakati sasa waislam wamsaidie ndugu asidhulum zaidi
Amedhulum upotoshaji,amedhulumu Kusengenya, kusema uongo na hata kusafiri nchi za mbali akiwa amekumbatia mikoba.
Hataki kuacha dhulma Abdan.

Sasa watu wakimzuia asitende hayo yeye anawakashf ikiwa tena ni dhulma nyingine.
Hebu isadie jamii yako kwa kusimama na maneno haya na ukweli maana Mohamed undugu anaosema ni ule wa kukubali hii tamthlia ambayo imepoindwa pondwa na sasa imebaki kuwa simulizi tamu baina ya isha na Maghribi.

Wickama na Rweye1, msijisikie wanyonge wala kupata fadhaa, kumbe kazi mnayofanya ya kuzuia dhulma ipo katika Sahhih al Bukhar.
Basi mtayakuta mafungu yenu mema mbele kwa kusema na kuzuia dhulma.

Leo nimekumbuka wali wa nazi na tui zito kwenye mharagwe.
Bonde kwema karibuni muoe.
 
Nguruvi3,

Ndugu yangu hayo maneno yako ulikuwa unamlenga nani kama siyo Mohamed Said.

Hakuna tatizo kama unayakana maneno yako.

Tuendelee na mnakasha tusemezane...

Ritz,

Salaam Al Akhiy.

Wallahi nina shauku na hamu iso kifani yakuona Muheshimiwa Nguruvi3,hapo atakuja kujibu kivipi au kutoa excuse ipi!? Maana yeye ni "Vunja Mifupa" bingwa wa PR!ahaha!!

Najua lolote atakalosema kujibu "mpini" huu ulomnasa nao,basi Wallahi nitavunjika mbavu kwa kucheka...maana siku hizi naanza kumjua taratibu!ahaha!!

Navuta sabra kiduchu maana itakua kazongwa na mishughuliko labda!?

Ahsanta.
 
Swadakta bw. Sideeq!
Sasa kama hayo maneno ndivyo yalivyo kwanini Wickama na Rweye1 wanapomzuia Mohamed asidhulum waonekane kuwa waovu?

Nadhani unajua jinsi gani Mohamed anadhulumu vijana na watu waliokuwa hawafahamu baadhi ya mambo.
Miaka 15 andhulum watu huoni hilo ni tatizo na ni wakati sasa waislam wamsaidie ndugu asidhulum zaidi
Amedhulum upotoshaji,amedhulumu Kusengenya, kusema uongo na hata kusafiri nchi za mbali akiwa amekumbatia mikoba.
Hataki kuacha dhulma Abdan.

Sasa watu wakimzuia asitende hayo yeye anawakashf ikiwa tena ni dhulma nyingine.
Hebu isadie jamii yako kwa kusimama na maneno haya na ukweli maana Mohamed undugu anaosema ni ule wa kukubali hii tamthlia ambayo imepoindwa pondwa na sasa imebaki kuwa simulizi tamu baina ya isha na Maghribi.

Wickama na Rweye1, msijisikie wanyonge wala kupata fadhaa, kumbe kazi mnayofanya ya kuzuia dhulma ipo katika Sahhih al Bukhar.
Basi mtayakuta mafungu yenu mema mbele kwa kusema na kuzuia dhulma.

Leo nimekumbuka wali wa nazi na tui zito kwenye mharagwe.
Bonde kwema karibuni muoe.

Muheshimiwa Nguruvi3,

Mimi suali langu kwako ni kiduchu na wala sitagusia asilan hiyo "Fatwa" yako ulotoa.

Hivi ni kwanini wanapoingia watu wapya hapa jamvini,na wakiyakinisha kuwa hawakubaliani na hoja za Sheikh Mohammed Said na wanampinga vikali na khasa pale wasemapo yakuwa ati wao pia ni "Waislamu"; mbona nyinyi nyoote huwa hamleti zile shutuma na tashtit ya kumshuku huyo mtu/mwanajamvi mpya kwa multiple IDs!?

Hayo mambo mlinifanzia mimi takriban wiki nzima wakti najiunga hapa jamvini/JF,na hata Zali la Mentali nae pia yalimsibu!?

Niwie radhi kwa huo uchechefu wangu.

Ahsanta.
 
Ritz, gombesugu, Mohamed Said, Zali la Mentali,....

Hakuna tatizo la ELIMU kwenye mila, desturi na tamaduni za Kiislam? Nimeona juzi kwenye Tv kule Tunduru wazee wengi wa Kiislam( kama majina ni utambulisho tosha) wamefikishwa mahakamani kwa kuwatoa watoto shule hasa za sekondari.
 
Last edited by a moderator:
waarabu wana usemi the right question is usual better than the right answer for a wrong question.

labda na mimi nikuulize kutokana na ufahamu wako. Je mahakama ya Kadhi inahusiana nini na suala la Bakwata?

Barubaru,
Baada ya kumsoma Zitto inaonekana kuna consesus miongoni mwa waislamu kuwa serikali ilifanya makosa kuanzisha Bakwata kama kweli Bakwata ilianzishwa na serikali. That being the case, kitu rahisi ni kuvunjwa kwa Bakwata na kuwaachia waislamu wajiendeshee mambo yao wenyewe bila kuingiliwa na serikali ikiwa pamoja na mahakama ya kadhi. Au kuna kitu ninachokikosa hapa?
 
Naam,
Waleykhum salaam,huyo kanjanja sijui katokea wapi,na anajinasibu na uislam huku akishindwa kujua changamoto kuu zinazowakabili waislam ndann ya nchi hii,wa ajabu sana,kweli tutashuhudia mengi kwenye mjadala huu...
Me naona Yericko angeufunga tuh kwani sasa naona joto ya jiwe imekuwa kubwa hadi anakuja kushutumiwa kuwa mwanzilishi wa mjadala huu ni Moh Said,hana analoliongea la maana,haeleweki hoja yake ipo wapi,yeye anasimama hapa na kudhani sisi tupo hapa kujenga na kushabikia chuki na farki baina yetu na ndugu zetu wa upande wa pili,kwa maana hiyo basi hata hao kina Invisible walioamua kuupa heshima mjadala huu yeye anawaona wapuuzi hivi nadhani,ni mtu wa sampuli ya ajabu sana,,tena sana...

The Big Show,

Haya yote yaliwezekana kwa kuwa wazee wetu walipogeukiwa na kusalitiwa walikaa kimya
na mmoja mmoja wakafa na wakaingia kaburini na historia zao.

Sisi tumethubutu kufungua vinywa vetu na kusema ukweli.
Ndiyo haya unayoyaona hapa JF hivi sasa.

Kila tulisemalo kwao ni kitu cha ajabu.

Kuna kioja na ajabu kama kuandika historia ya TANU ukamuacha Mshume Kiyate?
Wanataka waandike historia ya TANU kwa kuwaruka wana TANU.

Itawezekana wapi?
Twendenao taratibu In Sha Allah.
 
Ritz, gombesugu, Mohamed Said, Zali la Mentali,....

Hakuna tatizo la ELIMU kwenye mila, desturi na tamaduni za Kiislam? Nimeona juzi kwenye Tv kule Tunduru wazee wengi wa Kiislam( kama majina ni utambulisho tosha) wamefikishwa mahakamani kwa kuwatoa watoto shule hasa za sekondari.

Wild Card,
Hilo linaelezeka bila hofu yoyote.

Hukusikia wanasema hawana fedha za kulipa ada?

Iweje hali iwe hivyo?
Hujajiuliza hilo?
 
Barubaru,
Baada ya kumsoma Zitto inaonekana kuna consesus miongoni mwa waislamu kuwa serikali ilifanya makosa kuanzisha Bakwata kama kweli Bakwata ilianzishwa na serikali. That being the case, kitu rahisi ni kuvunjwa kwa Bakwata na kuwaachia waislamu wajiendeshee mambo yao wenyewe bila kuingiliwa na serikali ikiwa pamoja na mahakama ya kadhi. Au kuna kitu ninachokikosa hapa?
Kaka Jasusi

Taasisi na asasi zote NCHI hii zinaanzishwa kwa idhini na baraka za serikali. Ndivyo ilivyoanza BAKWATA enzi hizo wakati kulikuwa shughuli pevu na ngumu sana kuliweka TAIFA pamoja. Hata kama akina Mzee Mohamed watataka EAMWS irudi, itabidi serikali iridhie. Wanashindwa nini hadi sasa mimi sielewi.

Wala akina Mzee Mohamed wasije wakadhani wanaweza kuanzisha chombo kimoja kikawaunganisha WAISLAM wote. Tunawafahamu ndugu zetu hawa. Wasitudanganye ndugu zetu hawa. Hili tu la kutaka kuiondoa BAKWATA ni shughuli nzito.
 
Wild Card,
Hilo linaelezeka bila hofu yoyote.

Hukusikia wanasema hawana fedha za kulipa ada?

Iweje hali iwe hivyo?
Hujajiuliza hilo?

Mzee Mohamed,
Wazee haohao walipigwa faini ya laki moja au kwenda jela miezi sita wakalipa faini ile! Faini ile ni kubwa kuliko karo ya shule za kutwa kwa mwaka. Lipo tatizo Mzee Mohamed. Tatizo hili lipo pia kwa baadhi ya makabila nchi hii.
 
Back
Top Bottom