Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ahsantum Al Akhiy Mohamed said.

Hapo nilipo Blue ni suala la msingi sana kuuliza ili kuweza kujiridhisha.

Tunaomba mjibu hapo yericho.


Barubaru,
Huyu mtoto huenda ana matatizo na nasema hili kwa huzuni kubwa sana.

Kaanza na kujinasibisha kuwa kazaliwa na....naogopa hata kutaja jina.

Sasa anasema kaalikwa Pentagon kama bingwa wa ugaidi na anataja majina
ya watu wa huko.

Anasema Balozi wa Marekani ndiye anasimamia kitabu chake.
Anaweka kitabu hapa jamvini nacho si kitabu si chochote.

Hapo mtu huna budi ila kwenda kwenye kichwa chake.
Huyu mtoto ni mzima?
 
Barubaru,
Huyu mtoto huenda ana matatizo na nasema hili kwa huzuni kubwa sana.

Kaanza na kujinasibisha kuwa kazaliwa na....naogopa hata kutaja jina.

Sasa anasema kaalikwa Pentagon kama bingwa wa ugaidi na anataja majina
ya watu wa huko.

Anasema Balozi wa Marekani ndiye anasimamia kitabu chake.
Anaweka kitabu hapa jamvini nacho si kitabu si chochote.

Hapo mtu huna budi ila kwenda kwenye kichwa chake.
Huyu mtoto ni mzima?



La hasha,mimi nishaanza kuingia was was na huyu bwana mdogo,na ndio kwa maana mimi huwa nasema kwamba julius alikuwa bright kias chake,na hawez kuacha offspring ya sampuli hiii,
Kawaangusha sana jamaa zake wengi waliokawa wanampa backup,ama kwa hakika yericko mnakasha huu kwa sasa anauona ni mchungu,

Kama ni jukwaani basi Muhammady Ally yupo kwenye round ya saba au ya mwsho anampiga piga opponent wake kwa madaha huku watazamaji wakiendelea kuburudika na uchovu wa opponent huku benchi lake la ufundi likiwa tayar lisharusha taulo kati kati ya jukwaa,,

Jaman ni nani wa kuja kumwokoa Yericko??jahazi lake linazama huku...

ha ha ha...
 
Last edited by a moderator:
Barubaru,
Huyu mtoto huenda ana matatizo na nasema hili kwa huzuni kubwa sana.

Kaanza na kujinasibisha kuwa kazaliwa na....naogopa hata kutaja jina.

Sasa anasema kaalikwa Pentagon kama bingwa wa ugaidi na anataja majina
ya watu wa huko.

Anasema Balozi wa Marekani ndiye anasimamia kitabu chake.
Anaweka kitabu hapa jamvini nacho si kitabu si chochote.

Hapo mtu huna budi ila kwenda kwenye kichwa chake.
Huyu mtoto ni mzima?

kijana haijui America na waamerica ni watu wa aina gani.

Nafikiri amepata bahati ya kualikwa kwa sababu maalum ambazo labda mwenyewe hazijui.

Tumpe pole huku tukimdarasisha tartiibu ataelewa tu.

 
Yericko,
Whats your view concerning Anti-muslims attacks which is going on now in MYANMAR,done by budhists??
Is that not TERRORISM??
As far as your book is concerned,hilo umeligusia??
Please give me the lists of your literature survey...
 
The Big Show hapo umeonyesha watoto wa madrasa hawabahatishi huyo ndio msomi wetu na watu wanampa likes nyingi halafu alienda "zero ground" ha ha haa... makubwa yakina Abu Jahal mzee Mohamed Said mungu akupe umri mrefu wanaumbuka taratibu.


Kabisa kabisa,,
Moh Said ni Habari kubwa,iache kama ilivyo,watu waliijia hii habari ya huyu jamaa kwa pupa sana,naona wanalia sasa na kusaga meno...
 
La hasha,mimi nishaanza kuingia was was na huyu bwana mdogo,na ndio kwa maana mimi huwa nasema kwamba julius alikuwa bright kias chake,na hawez kuacha offspring ya sampuli hiii,
Kawaangusha sana jamaa zake wengi waliokawa wanampa backup,ama kwa hakika yericko mnakasha huu kwa sasa anauona ni mchungu,

Kama ni jukwaani basi Muhammady Ally yupo kwenye round ya saba au ya mwsho anampiga piga opponent wake kwa madaha huku watazamaji wakiendelea kuburudika na uchovu wa opponent huku benchi lake la ufundi likiwa tayar lisharusha taulo kati kati ya jukwaa,,

Jaman ni nani wa kuja kumwokoa Yericko??jahazi lake linazama huku...

ha ha ha...

The Big Show,
Kuna post nilikweka hapa nikimtetea Yericko kuwa sie hatuna haki ya
kumsimbuliza kwa jinsi alivyozaliwa kwa kuwa hilo si kosa lake.

Nikasema hii dhulma alofanyiwa hapa duniani Allah atakuja mlipa kesho
akhera na nikasema kuwa sisi wajibu wetu ni kumfariji.

Basi angalau kama si kunishukuru angekaa kimya.
Badala yake kanitolea ufedhuli.

Hapo nikajua lipo tatizo kubwa.
 
The Big Show,
Kuna post nilikweka hapa nikimtetea Yericko kuwa sie hatuna haki ya
kumsimbuliza kwa jinsi alivyozaliwa kwa kuwa hilo si kosa lake.

Nikasema hii dhulma alofanyiwa hapa duniani Allah atakuja mlipa kesho
akhera na nikasema kuwa sisi wajibu wetu ni kumfariji.

Basi angalau kama si kunishukuru angekaa kimya.
Badala yake kanitolea ufedhuli.

Hapo nikajua lipo tatizo kubwa.


Kweli Moh Said Mkubwa wangu,
Tatizo lipo kwa huyo kijana,tena ni tatizo kubwa sana,lisilo na kifani,
Jamii Forum ni uwanja wa ajabu sana,yani unapewa haki yako kulingana na ulichonacho kichwani mwako,na si kulingana na umati wa watu walio upande wako,mwezi wa nne huu sasa twaelekea watano,yericko yeye alidhan kama atapewa nafas ya kupumuwa au kuendelea kubwabwaja,nani angekuja kujua kama huku mwishoni kumbe yericko pishi lake la ujinga ni jingi sana??yani kwa jins pishi la ujinga la yericko lilivyo jingi mtu unaweza ukawa unalila daku swaumu yote na bado usilimalize,uthibitisho ni kuhus hicho kitabu chake cha ugaidi. Yericko tumemwomba atupatie Literature Survey zake hadi sasa hajathubutu kutamka lolote,me nina mpa pole sana,
Uwanja huu ni wa kwake yeye,beki zake zimeshindwa kukaba,amekula 7 bila,kama zile Bayern Munich Alizomtandika nazo Barcelona hivi Majuzi..!
Si mchezo,shule yericko,nenda shule,status hujengwa kwa maarifa kwenye medula oblangata,status Yericko haipatikan kwa kudandia dandia nasaba za watu hata siku moja..!!
 
Last edited by a moderator:
Mwenzenu nipo namalizia vitabu vyote muhimu katika somo hili:

Baada ya kummaliza John Iliffe katika A Modern History of Tanganyika na Modern Tanzanians na pia Tanganyika Under German Rule namsoma Judith Listowell sasa hivi. Pamoja na hao nasoma Tanganyika Under International Mandate, Tanzania Education Since Uhuru, TANU Yajenga Nchi: Political Development in Rural Tanzania na vingine vingi. Naweza kusema kwa uhakika wa asilimia 100 Bw. Mohammed Said ameokoteza okoteza taarifa mbalimbali akazipamba kwa lugha na masimulizi ya wazee wake na kuziita historia na akaziuza na bahati mbaya sana zimeaminiwa na wengi.
 
Big Show,
Sijui msahihishaji anaanyaje anapokutana na kimbunga hiki cha Yericko!

Mohamed Said
Wanajamvi,
Sijaweza kumaliza kusahihisha yote ya Yericko maana kwa kweli ni kibarua tosha.

Hiki ''kitabu'' ndicho kilichomfanya Yericko aalikwe na serikali ya Marekani kuzuru Amerika!

Uamuzi mnayo nyie wanajamvi.
Ungeaanza kusahihisha na ya kwako hapo kwenye RED!
 
Mwenzenu nipo namalizia vitabu vyote muhimu katika somo hili:

Baada ya kummaliza John Iliffe katika A Modern History of Tanganyika na Modern Tanzanians na pia Tanganyika Under German Rule namsoma Judith Listowell sasa hivi. Pamoja na hao nasoma Tanganyika Under International Mandate, Tanzania Education Since Uhuru, TANU Yajenga Nchi: Political Development in Rural Tanzania na vingine vingi. Naweza kusema kwa uhakika wa asilimia 100 Bw. Mohammed Said ameokoteza okoteza taarifa mbalimbali akazipamba kwa lugha na masimulizi ya wazee wake na kuziita historia na akaziuza na bahati mbaya sana zimeaminiwa na wengi.


Mwanakijiji unazeeka vibaya sana ! hata nyeuPE kwako ni nyeusi??? Maandiko ya Mohamed Said Yanaumba sura halisi ya historia ya taifa hili...! '' katika hili naona umechagua kuwa MBISHI tuu .
 
Mwanakijiji unazeeka vibaya sana ! hata nyeuPE kwako ni nyeusi??? Maandiko ya Mohamed Said Yanaumba sura halisi ya historia ya taifa hili...! '' katika hili naona umechagua kuwa MBISHI tuu .

Ni rahisi kuuamini uongo kuliko kuutafuta ukweli!! Unajuaje kama anayosema Mohammed Said ni kweli?
 
Nimesema sana na kurudia; si Waislaam wote wanaoukubali uchochezi unaoendeshwa na watu kama Mohamed Said, Ponda na Ilunga. Hapa nanukuu maneno ya Muislaam kwa jina Ashura Rashid akimpa salaam Sheikh Ponda...

SALAMU KWA SHEIKH PONDA

Alaikum Asalam Waarahmatullahi Wabarakatuh, Kwanza kabisa kabla sijaeleza kile kilichoko moyon mwangu, Ninaomba kumsihi Allah afanye haya kwangu na wewe sheikh Ponda, indeed ayafanye haya kwa wa Tanzania wenzangu wote wenye nia njema na nchi yetu.

  1. Atupe kinga kwa kila hatari,
  2. Baraka kwa kila jambo,
  3. Jibu kwa kila maombi,
  4. Tabasam kwa kila chozi,
  5. Atujalie imani na subra katika maisha yetu,
Mweshimiwa Ponda ukae ukijua UZURI WA YUSUF A.S.
HAUKUMFANYA AJIVUNE

UTAJIRI WA SULEIMAN A.S.
HAKUMSAHAU MOLA WAKE

MARADHI YA AYOUB A.S.
HAYAKUMFANYA AMKUFURU MOLA WAKE

MIMI NA WEWE TUMEPEWA UHAI NA PUMZI BURE NA ALLAH,
JE TUNAFANYA NINI KUMRIDHISHA ALLAH? Je mola ametuagiza tufanye haya ambayo umekuwa uki hamasisha katika jamii iliyotulia na ku uenzi upendo wa mola wao?? Mweshimiwa Ponda unachochea vurugu katika jamii, huku ukisimamia hoja bandia ili kuhalalisha dhambi inayo kusukuma kufanya hivyo! Mimi binafsi sikufadhaishwa na ile hoja yako ya kudai mali zetu waislam zilizo uzwa pasipo sisi kushirikishwa. Lakin maelezo uliyo yatoa pale mtamban baada ya kuachiwa, yamenifanya kuto kukuamini tena, na kukuona kama mtu hatari sana kwa waislam kwani una ififisha tunu ya uislam na kuuaibisha mbele ya walimwengu, pili nimekuona kama mtu hatari unayeichukia amani na maendeleo ya watanzania wenzako.

Mheshimiwa Ponda, wakati ukidai kupambana mpaka mwisho, mimi kama muislam mwenzako ningekushauri kwanza upambane na ufaham wako ambao umepumbazwa na chuki, wivu, hasira dhidi ya wakristo. Ufaham huo umekupelekea kuto kuijua kweli katika maisha yako, hadi ukachukua hatua ya kujiundia uadui na watu wasio husika hata chembe. Kwahivo hautapata muafaka katika harakati hizo. Na wala hautakuwa huru daima, zaidi utakuwa mtumwa wa shetan, Ambaye yeye binafsi situ ni adui wa watanzania bali ni adui yako pia. Mapambano unayo hamasisha ni sawa na mgonjwa wa kipindu pindu anaye amua kutumia dose ya malaria, akiji sadikisha kwamba anaitibu kipindu pindu. Kitakacho fatia hapo ni mauti.

Muheshimiwa Ponda, chuki imeku jeuri nafsi yako hadi kupelekea kuto kupambanua mambo kwa kina hadi kuishia kuwa na hoja za kukurupuka, ambazo zina acha maswali kwa walio wengi, Ustaadhi Mukadam anamsifia Allah kwa kuwapa adhabu ya ugonjwa viongozi kazaa, hadi wengine kupata ajari, Kwake yeye Mukadam, ajari na magonjwa ni adhabu ya Mungu!! Je ajali mbali mbali ambazo zimekuwa zikitokea hapa nchini kwasababu ya uzembe wa viongozi, mfano meli zaidi ya moja zilizokuwa zikielekea visiwan hadi kuuwa wanachi wasio na hatia,

JE NAYO NI ADHABU YA MUNGU?? TUMEKUWA TUKISHUHUDIA VIFO MBALI MBALI KILA KONA YA NCHI, MAMIA YA MABASI YAMEPOTEZA MAELFU YA WATANZANIA, AJARI MBALI MBALI ZA MAJINI, JE WOTE WALIOKUFA KATIKA AJARI HIZI WALIUPINGA UISLAM?? AJARI HIZI TUMEKUWA TUKISHUHUDIA MPAKA WATOTO WACHANGA WASIO JUA KINACHO ENDELEA DUNIAN, JE NA WAO WANAUPINGA UISLAM??

Muheshimiwa Ponda unadai Serikali inawapendelea wakristo, ukidai serikali ilidai aliye kojolea quran alikuwa mtoto wakati wewe uko huko kifungon umewakuta watoto wa miaka 10, Je ni kweli wapo watoto wa miaka 10 kifungon, je hao watoto wa miaka 10 ni waislam , au ni wakristo?? Siungi mkono kabisa kitendo cha quran kukojolewa, na ningependa kabisa adhabu kali ichukuliwe kwa yeyote atakaye ihujumu quran, Lakini vile vile sipendi kabisa kitendo cha muheshimiwa Ponda kujumuisha kosa la watu fulan au kakundi fulan au mtu mmoja na ukristo kwa ujumla. Kwa mtizamo wake ponda unaosukumwa na chuki dhidi ya wakristo, unadhani yule mtoto alipewa baraka na kanisa kufanya udhalim ule! Kwahiyo ungetaka dhambi iliyotendeka mbagala isambae nchi nzima kuzaa dhambi nyingine zisizokuwa na lazima. Muheshimiwa ponda kwanini hatutaki kuiga busara za mtume katika kutatua matatizo mbali mbali yanayo tukabili? Pengine katizame kwenye hadithi za mtume, ujifunze kitu!

Muheshimiwa Ponda unadai NEKTA kuna udini, yaani waislam wanafelishwa?? Ukaongeza serikali inapendelewa na kuendeshwa na wakristo. Unayaongea haya katika kipindi hiki ambacho kila kitu kimekuwa kikiwekwa wazi kila wakati na tekinolojia. Nani anaweza kukuamini katika hili, wakati kila taasisi mbali mbali, ziwe za serikali, binafsi, tunapishana na watu wa imani tofauti? Sheikh ponda unataka kutusadikisha waislam kwamba wafanyakazi wote wa nchi hii ni wakristo, kwasababu wengi wanaofanya kazi ni wale walio elimika, unataka tuamini waislam wote nchini ni wamachinga, au wanauza nyanya na vitunguu sokoni?? Mheshimiwa Ponda ukiwa mahabusu, nchi yetu imeshuhudia kuporomoka kwa kiwango cha elimu hadi kupelekea 60% ya wanafunzi kufeli, je hiyo 60% ni waislam watupu?? Je waliofaulu ni wakristo watupu? Je huyo zitto unayemsifia alisomea wapi?? Au unataka tuamini kwamba alisomea LIBYA??

Tuna watu waliokamata sehem nyeti serikalini kama J.K Kikwete, Dr. Ghalib Bilal, Said Mwema, Mohamed Shein, Sharif Hamad, Said Othman, Je hawa viongozi wakubwa wanasali kanisa gani?? Au walibatizwa wapi?? Kwa mtizamo wako utakuwa unawaona kama wakristo?

Muheshimiwa ponda unajua kabisa necta wanasahihisha mitihan kwa mujibu wa mafundisho ya vitabu vya mitahala, karatasi yeyote itakayo toa majibu tofauti na kile kilichokusudiwa, haitakubaliwa, sasa sijui ponda unapendekeza nini?? Mfano swali likauliza ni mnyama gani mbugan mwenye shingo ndefu kuliko wote, marko akajibu ni twiga, bashiru akajibu ni sisimizi, ungetaka nectar imfaulishe bashiru kwakuwa ni muislam?? Si ndio ponda??? Je kwa mtizamo huo nchi itakuwa na vijana wenye ufanisi wa uhakika hadi kushindana kimaendeleo na mataifa mengine??

Muheshimiwa Ponda chuki binafsi imekuelemea hadi unashindwa kupanga vizuri mchoro wa dhambi yako, matokeo yake inakuumbua, eti serikali haijawahi kuwauwa wakristo?? Mara ngapi tunasikia kesi za polisi kuwauwa raia wasio na hatia, je wanao uwawa wote ni waislam? Au kwako Tanzania ni mwembechai na pemba tu?? Hivi pale anapo uwawa mkristo mbona upagusii, na wala hapa kuumi?? Inaonekana utakuwa unapinga tamko la bakwata kulaani tukio la bomu lililo lipuliwa arusha, Ila nina nshukuru mola, umeudhihirishia umma wa watanzania kwamba wewe ni mtu wa aina gani.

Ponda unalalamika kwanini wamekamatwa waarabu bali sio wazungu, unadai kamata ile ni kuwaonea waarabu na uislam? SHAMELESS SPEECH!! Inaonekana unawajua magaidi waliopanga shambulio lile! Kwahiyo unapendekeza serikali ikamate watu wasio husika, wale walio husika waachiwe huru ili hisije kuwafadhaisha waarabu na waislam! Mheshimiwa Ponda hayo unayo tusadikisha tuamini, unayaongea kwa kumaanisha au umejificha nyuma ya mgongo wa kitu fulan kwa maslahi binafsi??

HIVI MAELEZO HAYA ULIYOTOA YANAJENGA PICHA HIPI KWA WAISLAM! KAMA SIYO KUUCHAFUA UISLAM NA KUFANYA UONEKANE HAUNA THAMAN MBELE YA WATANZANIA! TUNGETARAJIA KIONGOZI KAMA WEWE UTOE MAWAZO YATAKAYO IFANYA IMANI YETU IVUTIE MBELE YA WAISLAM WENYEWE NA HATA WALE WASIO WAISLAM, NA HIVO KUTUWEKA PAMOJA KAMA WATANZANIA. ZAIDI YA KUHAMASISHA UADUI HUSIYO KUWEPO NA HIVO KULETA MIVURUGANO KATIKA JAMII.

Muheshimiwa Ponda Hakuna kitu kizuri duniani kama kuitosheleza NAFSI iwe yenye KURIDHIKA na KUSHUKURU! Lakini kuna jambo jingine zuri mpaka MTUME (SAW) aliwahi kumuusia swahaba mmoja zaidi ya mara moja, USIKASIRIKE, USIKASIRIKE, USIKASIRIKE ! Kila yule swahaba aliporudia kutaka usia kutoka kwa mtume,basi mtume alimjibu USIKASIRIKE. Kwani Hasira huzaa chuki na chuki huzaa maudhi na maudhi huzaa kisirani na kisirani huondosha nuru njema maishani, huondosha mapenzi, maelewano, utulivu, amani, n.k Azimia kutenda mema haya, na ALLAH atatia tawfiq INSHAALLAH.

Muheshimiwa ponda haujatenda jema lolote na wala hauna tawfiq za mola. Umechagua kupambana na Mola, hivo umejichovya katika mateso na hasara. Mungu hatakubali kuona una hatarisha amani ya watu wake kwa kisingizio cha kujifanya unatujali sana waislam kumbe ni hila za nyoka wa bustanin eden aliyejifanya kuwapenda sana adam na hawa hadi kuwaongopea wale tunda alilo likataza Mungu ili wafanane nae. Kumbe nia ya nyoka yule ikiwa ni kuwaangamiza milele na kuwatenga na utukufu wa Mungu.

Mheshimiwa Ponda ukumbuke alivyosema Mtume (Swalla Llahu ‘alayhi wasallam): [Anayependa kukunjuliwa riziki yake na kurefushiwa umri wake basi aunge jamaa zake]. Na kuunga jamaa kuna daraja kubwa katika Uislamu.

Enyi ndugu Waislamu! Je nyinyi mmesimama katika mipaka ya Mwenyezi Mungu? Je mmezifuata amri zake? Je makemeo yake na makatazo mmeyaepuka? Je mmewafanyia wema jamaa zenu na mnawatembelea?

Enyi mnaotaka kheri duniani na kesho akhera ungeni jamaa zenu na kaeni nao vizuri. Enyi waumini! Je munajua faida za kuwafanyia wema jamaa zenu? Jueni ya kwamba kuna khabari njema za duniani na kesho akhera kwa wenye kuunga jamaa zao. Miongoni mwa faida hizo ni:

Faida za Kuunga Jamaa


  1. Kuunga jamaa ni alama kubwa za ukamilifu wa imani.
  2. Kuunga jamaa ni sababu ya kukunjuliwa mtu katika riziki.
  3. Kuunga jamaa ni sababu ya kupata radhi za Mwenyezi Mungu.
Ponda jamaa zako ni watanzania wote walioko katika nchi yako. Sasa kama una wahujumu kwa ajili ya maslahi binafsi, unamkosea mola wako!!

GOD BLESS MY COUNTRY AND ITS PEOPLES!!! NAIPENDA SANA NCHI YANGU, NAWAPENDA SANA WATANZANIA WENZANGU!!
Sijaongezea wala kufuta neno.
 
Last edited by a moderator:
Ni rahisi kuuamini uongo kuliko kuutafuta ukweli!! Unajuaje kama anayosema Mohammed Said ni kweli?

mmmh kwani na wewe unapata wapi nguvu ya kuamini hivyo vitabu unavyoendelea kuvisoma? Na ukumbuke pia ni rahisi kuukana ukweli ili kuhalalisha uongo....! binafs nina uthibitisho wa anayoyasema Mohamed Said
 
Nguruvi3,Sasa suala langu ambalo nilikuuliza Waislam wa Tz bara wamewekewa Bakwata ikague na kuithinisha misaada yao kama ulivyo eleza. Suala langu nilikuuliza JE WAKRISTU ni nani anayethibiti misaada yao kutoka nje?
Si sahihi misahama hiyo kudhibitiwa na BAKWATA.Hilo ni jukumu la serikali husika. Ninachoelewa ni kuwa misaada hiyo lazima ipitie taasisi zinazojulikana na zilizosajiliwa na kama BAKWATA ndiyo inayojulikana, hilo si tatizo la serikali ni tatizo la waislam kwasababu wale BAKWATA ni waislam unless usimame hapa na kusema siyo.

Misamaha ya kodi inatumiwa vibaya na watu wa dini, narudia dini zote isipokuwa wapagani na wasioamini.
Nakaumbuka kama si Rais JK ni Mkapa aliwahi kuonyesha misaada hiyo inavyokuwa misused na taasisi.
Kwamba magari yanaingia kama ya taasisi za dini kumbe ni ya watu binafsi.

Siku zote huwa nasema misamaha ya kodi lazima iwe na udhibiti wa hali ya juu sana ili kuzuia kufujwa na baadhi ya watu. Nimekonyesha kuwa misamaha inayotolewa lets say kwa BAKWATA hutumika kwa waislam kwahiyo hakuna sababu ya kusema hilo ni jambo la uonevu.
Ndivyo ilivyo kwa imani zingine na ndio sababu nasema misamaha ni ukwepaji kodi isipokuwa ile inayodhibitiwa kikamilifu.

Umeongelea kwanini kuwe na udhibiti. Kuna jambo unalosahau hapa. Kauli na matendo ya watu vinatosha sana kuwa na shuku juu ya misaada. Nimekuuliza hivi ukisikia Maliki ametoa dollar milioni 1 kwa ajili ya maendeleo kupitia wanafunzi wake utakuwa na imani kweli. Wanafunzi hao ndio wanasema ''tafuta mtu fulani ua kwa siri'', ndio hao wanakuwa wazushi kila alfajiri hadi isha wakienda hadi China si kuitafuta elimu bali kueneza chuki na uongo.

Si kweli kuwa kuna udhibiti kwa waislam. Hivi karibuni kuna taasisi imejenga misikiti 700, visima na maji mbona hawakudhibitiwa? Kuna akina African Muslim agency na World muslim league mbona hawakuwahi kudhibitiwa.
Nenda ndani ya baadhi ya taasisi hizo uone uchafu unaofanyika halafu urudi na kuniambia hiyo ni sehemu ya Uislam.

Na mwisho huko nyuma uliongelea TAMPRO. Nadhani hii taasisi inapoteza maana yake kwa namna fulani.
Wao kama professionals wanapaswa waongoze waislam katika mambo mengi badala ya kukaa pembeni na kuwaachia wahuni wachache.

Haiwezekani siku ya Ijumaa igeuzwe siku ya fujo na maandamo bila sababu za maana wala za msingi.
Ni hawa ninaoita wahuni ndio wameshika usukani wa kupotosha watu.

TAMPRO inapaswa itumike kama msaada mzima wa kuchukua ajenda na kuziangalia, kuzitathmini na kuzifanyia kazi kiweledi bila tafrani.
Sijui hebu nieleweshe viongozi wa TAMPRO ni akina nani ili niweze kuielewa vema
Anyway ni maoni tu.

Ukisema BAKWATA ni tatizo nitakuuliza WML ilifanya nini na iliondokaje, maana mzee mzima hakujibu!
Sitetei BAKWATA ninachosema hapa ni kuwa tatizo linaonekana kama BAKWATA lakini ni zaidi ya hapo na ni kubwa sana
 
Mwenzenu nipo namalizia vitabu vyote muhimu katika somo hili:

Baada ya kummaliza John Iliffe katika A Modern History of Tanganyika na Modern Tanzanians na pia Tanganyika Under German Rule namsoma Judith Listowell sasa hivi. Pamoja na hao nasoma Tanganyika Under International Mandate, Tanzania Education Since Uhuru, TANU Yajenga Nchi: Political Development in Rural Tanzania na vingine vingi. Naweza kusema kwa uhakika wa asilimia 100 Bw. Mohammed Said ameokoteza okoteza taarifa mbalimbali akazipamba kwa lugha na masimulizi ya wazee wake na kuziita historia na akaziuza na bahati mbaya sana zimeaminiwa na wengi.

mkuu kuna wajuzi wa dhihaka humu wameenda mbali na kudai ni bora Yeriko afuate nyendo zako tu za utunzi wa "ngano" za mapenzi. Sijui ni kipi kawaza aliyenena hivi. Ila ninaomba kujua toka kwako unahisi Ndg. Yeriko yupo sahihi katika hili mpaka uandishi wake??
 
nimesema sana na kurudia; si waislaam wote wanaoukubali uchochezi unaoendeshwa na watu kama mohamed said, ponda na ilunga. Hapa nanukuu maneno ya muislaam kwa jina ashura rashid akimpa salaam sheikh ponda...


Sijaongezea wala kufuta neno.

ongeza na ya kwako...hayo hayatoshi....! Ili jua kitu kimoja hizi harakati hazijaanza leo wala jana..tatizo si mohamed said, ilunga wala ponda...tatizo la nchi hii ni mfumo kristo
 
Mwenzenu nipo namalizia vitabu vyote muhimu katika somo hili:

Baada ya kummaliza John Iliffe katika A Modern History of Tanganyika na Modern Tanzanians na pia Tanganyika Under German Rule namsoma Judith Listowell sasa hivi. Pamoja na hao nasoma Tanganyika Under International Mandate, Tanzania Education Since Uhuru, TANU Yajenga Nchi: Political Development in Rural Tanzania na vingine vingi. Naweza kusema kwa uhakika wa asilimia 100 Bw. Mohammed Said ameokoteza okoteza taarifa mbalimbali akazipamba kwa lugha na masimulizi ya wazee wake na kuziita historia na akaziuza na bahati mbaya sana zimeaminiwa na wengi.
Mzee Mwanakijiji, nilijua kimya chako kina mshindo lakini naona umeamua kufanya la maana kabisa...iko siku Mohamed Said alijaribu kupotosha ukweli katika maandishi ya John Iliffe ambayo tayari yako in black and white, ndipo nilipom"right off" kabisaa na toka siku hiyo kwangu ni mtu wa umbea na uchochezi tu, period. Hamna cha utafiti wala historia...tatizo lililomo humu ni kuwa kuna watu hawahangaiki kutafuta hivyo vitabu na kuvisoma!

Mtu unaambiwa kitabu cha Kivukoni hakijamtaja Abdulwahid Sykes na wewe kama vuvuzela vile unakurupuka na kuufanya wimbo! Kumbe kama ungefanya jitihada kidogo tu ukitafute kitabu ujisomee mwenyewe, hungekubali kudanganyika kirahisi hivyo...lakini wako watu humu, mmh! Yaani hata katika kunukuu yaliyoandikwa tayari mtu anaamua kuchakachua kwa malengo ya ajabu kabisa lakini the gullible gobble it all too hyperdeliciously without question!
 
Judith Listowell anaeleza vizuri tu kuhusu Sheikh Takadir -ambao kina Ritz wanaamini Mohammed Said ni wa kwanza kumtaja!!

Mzee Mwanakijiji. Nakumbuka suali langu la kwanza wakati naingia kwenye mnakasha huu lilielekezwa kwako. Mbona hukunijibu?
 
Back
Top Bottom