Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
JokaKuu hicho ndicho Barubaru alichokuwa anakwepa. Sasa ukiangalia kwa undani utagundua kuwa hawa wenzetu wa znz ni wazuri sana wa kupiga mdomo.SHEIKH FARID, Nguruvi3,
..nimetembelea website ya Joint Finance Commission ya Tanzania.nimekutana na taarifa kwamba kwa mwaka 2010/11 makusanyo ya kodi ya mapato Tanzania nzima yalikuwa 1522.1 billion. Mchango wa Znz ktk makusanyo hayo ni 24.1 billion, wakati mchango wa Tanganyika ni 1498.0 billion.
..taarifa kama hizo ndizo zinazotufanya wengine tuamini kwamba Znz inainyonya Tanganyika. binafsi sijui uhalali wa Znz kuwa na 50% ya wajumbe ktk tume ya katiba , au kuwa na wabunge wengi kiasi kile ktk bunge la muungano, unatoka wapi. cc: gombesugu, Barubaru, Wickama
Gharama za hao wabunge zaidi ya 50 ambao hawana kazi yoyote zinalipiwa na Mtanganyika.
Hiyo tume kuwa na 50% ni upuuzi wa viongozi wa Tanganyika kutaka kuonekana wazuri.
Hizo Bilioni 24 na kidogo kuliko, narudia kuliko mchango wa makusanyo ya wilaya ya Ilala. Eti wanapewa 50%
Mchango katika muungano ni 24 bilioni halafu wanapewa bilioni 510 kufidia bajeti.
Hapo hujaweka gharama za ulinzi na usalama ambazo znz haiwezi kuendesha wizara ya ulinzi hata kwa siku 15.
Halafu wenzetu wanwekwa chini ya mwembe na kuhubiriwa kuwa Tanganyika inanyonya Zanzibar.
Huyo anayeshauri kuinyonya znz ni mwendawazimu kwasababu angeelekeza nguvu zake soko la Kariakoo angefaidika zaidi. Sasa ukweli umetamalaki siku hizi hatusikii tena fyongo au kelele. Wnasubiri hukumu kutoka kwa Mtanganyika.
Joka, Hujaweka elimu ya juu ambayo 95% ya viongozi wa wzn wamesoma bila mkopo kwa pesa za Mtanganyika.
Nasikia wanadai urasi wa kupokezana. Hivi wenzetu shule zao zinafundisha hesabau kweli.
Makusanyo ya billion 24 ni zaidi ya mara 70, halafu wanataka kuwa na rais! Huyo rasi aongoze nini kwasababu hana mchango. Je, tunahitaji rais kutoka znz kwasababu ya jina au!
Mkuu Jokakuu, hiyo rasimu ikitoka watu wataangalia. Kama kuna kuibeba znz mahali popote itatunguliwa tu.
Nampa ujumbe Jaji Warioba kuwa muda wa kulea wazanzibar wakicheza ngoma na matusi mgongoni sasa basi.
Pitia vizuri hiyo joint commission, Barubaru ameona haya anafanya reference kwa siri.
Sheikh Farid na Barubaru, znz ni kaeneo na kanchi kadogo sana kwa kila kitu mbele ya Tanganyika.
Ustawi wa ZNZ unategemea sana Tanganyika, huo ni ukweli! Tukiziba milango kwisha!
Wakati wowote waondoke tu maana hakuna atakayeshtuka kuwa znz haipo.
Ndugu yangu anasema wznz wakisoma watashangaa! lazima washangae maana mwenzako anaweka 97 wewe unaweka 3 halafu unasema tumechanga! please