Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ndio,wewe si unajifanya unazijua sana sheria za JF zaid ya watu wote humu?wewe si ndie kinara wa kukimbilia kwa mods na kuwareport watu wapigwe ban??

Haya sasa Kimbilia kwa Invisible kamwambie THE BIG SHOW kakutukana kakuita mpumbavu,na uombe nipwewe BAN then jibu atalpkupatia uje hapa utujulishe,,

Yericko,let me give you a piece of an advice,Dont Try to be A Hero...!!,we ni mweupe sana,na wala huna unalolijua na usipatwe na kiburi ukadhani watu wapo hapa kukusoma wewe,

Labda kuhusu hilo la kuacha hoja na kukujadili ni wewe mwenyewe umekaribisha kujadiliwa,

1.Uchochez wa Moh Said haujauonesha,zaid ya upumbavu tu ulioweka pale,,

2.Kuikimbila nasaba isiyo yako na kuja nayo hapa jukwaani bila haya,bila aibu,tukakuhoji uhalali huo umeutoa wapi??

Ukaja na majibu yako ya kichefu chefu eti ya kwamba hawa wote ni wazee wako,ya kwamba Nyerere,kingunge,warioba,butiku.Ally sykes n,k n,k,hawa wote ni wazee wako,,,


Tukakuuliza tena,sasa kama hao wote ni wazee wako ikawaje sasa ukachukua jina la mzee mmoja tuh Nyerere kuja nae jukwani kujiverify nae kwamba ni nasaba yako??


Kwa maana hata wanafamilia wa nyerere wanakanusha kukufaham,tukakuhoji sasa wewe ni yericko bin nani??


Yericko bin BUTIKU??,,kimyaaa,,


Yericko bin Ally sykes??,Kimyaaa,,


Yericko bin Kingunge ngombale mwiru??,,kimyaa,,

Umeng'ang'na yericko nyerere,yericko nyerere na haitoshi upo hapa 24/7 kumtetea kwa hoja zisizo na mashiko,,,

Yericko status haiwez patikana kwa style hiyo hata siku moja,

Kaa ukijua ya kwamba umejidhalilisha sana,na umeushusha sana utu wako,

Sisi tunakupa pole sana....

Huyo alivyoanzisha uzi uzi huu alidhani anauwasha moto kumbe katengeza njia swaafi ya watu kutoa ilmu na kuuonyesha ukweli.

Nakumbuka huko nyuma Mohamed Said alishawahi kaunzisha nyuzi za mambo hayahaya ikafungiwa, akaweka tena ikafungiwa, akaweka tena ikafungiwa, lakini Mwenyeezi Mungu ana shani zake, kamleta mbumbumbu mmoja ambae kwa hata nasaba hana lakini akajipachika na ndio hiyo hiyo leo hii inatufungulia milango.

Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar.
Yericko Nyerere ni kipenzi cha Maalim wetu Mohamed Said, na sababu ni njema tu.
 
Last edited by a moderator:
Yericko,
Unisubiri kwa lipi ndugu yangu?

Kwani tuko katika ugomvi?
Kama sitaki kukujibu si basi.

Kuna ulazima wa kushambuliana?

haha ..umeamua kuplay victim eh? Naona unataka jifanya wewe ni mhanga,na Yericko ni Mkandamizaji ili ashindwe kuendelea.Kweli kuna raha kuwa illogical,hujilazimishi kuwa responsible kwa maneno na matendo.Bado hujamtuhumu kuichukia dini yako tuu..ila wahuni wajae ktk vita.


teh teh ..mbona mapema sana umeshakuwa crippled....hembu jaribu kukiri unaposhindwa ili muendelee mbele na usirudierudie ktk cyclic ways.Kuwa mkeli jibu maswali ya wenzio.Ili nao wakujibu mengi,kwani hadi sasa watachoka kujibu wakati yao ambayo yangekusaidia huyajibu wala kukiri km yamekushinda.

Naogopa tuu mmekuwa too naivy kuandika vitabu bila tafiti na nia njema.Sijui mtarecall vitabu vyenu?
 
Jokakuu,
Umetuwekea kitu aziz kabisa nakushukuru kwa hilo na kwa kuwa wametajwa mabwana wstukufu sina budi na mie nitabaruk kwa makala ambayo niliyoandika kuhusu maulid ya Lamu miaka michache iliyopita na ikachwapwa na The East African.

120 years of Lamu Maulid
By Mohamed Said
The Maulid, that is, celebration of the birth of the Prophet Muhammad (Peace be Upon Him) takes place in all Muslim world in Mfungo Sita in the Muslim calendar. The most famous Maulid in East Africa is the Lamu Maulid founded by Maulana Habib Saleh at the Riadha Mosque more than a century ago will this year on 26[SUP]th[/SUP] March celebrates 120 of its founding.

The Lamu Maulid is celebrated on the last Thursday of Mfungo Sita. In the 120 years Lamu has never failed to hold the maulid. It has held the maulid as scheduled during the two world wars with all the restrictions in place. Maulid was held during the emergency in 1952. Nothing has been able to stand on the way of Lamu Maulid. While the whole of the East Africa the popular maulid recited is Barzanj which are poems written by Sayyidina Jaffar the Lamu Maulid recites a maulid which is known as Simt Durar (Pieces of Pearls) from a book of poems written by Maulana Muhammad Al-Habshy from Hadharmut, Yemen.

Preparation for the Maulid takes months to accomplish and demand precise logistics. Tons of food stuff like rice, wheat flour, cooking oil, soft drinks, bottled water, boxes of medicine and other essentials have to be transported from Mombasa to Lamu by lorries a journey of about eight hours. All these have to be unloaded at the harbour to be loaded into boats to their final destination – Riadha Mosque at Lamu Island.
There in Lamu Island at the harbour the cargo has to be transported by donkeys and carts through very narrow streets full of corners and turns to Riadha Mosque. It is a tedious job which demands stamina, patience and resilience.

There is only one main ‘road’ in Lamu and it leads from the residence of the District Commissioner to his office. This is the path taken by the official vehicle of the DC. Motor vehicles are practically non-existing in Lamu. The only means of transport are donkeys and this gives the island a picturesque view and peculiar atmosphere. The island’s main square called the Fort which is the centre of the town’s commercial activity is always full of people throughout the day. During maulid it a place where one should be. Standing there one is able to see people from different places in East Africa and beyond who have travelled to the island to take part in the mauled. It is like standing at Piccadilly Circus in London during summer.


People are never invited to the now well known Lamu Maulid at Riadha Mosque in Lamu. They come out of their own free will and they are welcomed with open arms. No one is turned away or asked where he comes from. Those who have made the journey to Lamu with the specific aim of attending the celebrations of the birth of the Prophet are provided with accommodation, food and in the last seven years medical care if need be throughout the Maulid week.

Once one steps into Lamu it is as if he is opening the front door of wonderland. Adjacent to the Fort is the island’s main market and this has not helped much in easing the influx of the people into the square and ‘donkey traffic.’ The Fort Square it is the only place where one can catch up with what is happening in other part of the world like latest scores of the European Club Champions and Premier League in England. People don’t care much for news and it is difficult to come across a newsstand. However the youth of the island love football and it is a favourite topic of discussion at the square as Manchester United, Liverpool and Arsenal fans argue loudly about past and coming matches of their clubs. The Fort houses one of the two cyber cafes in the island.

The second one is at the prestigious Palace Hotel. However the cyber café at the Fort is always down because of power failure. The only reliable internet café is the one at the Palace Hotel where there is a stand-by generator but the price is exorbitant. But that is the only outlet to the world. The generators at the power house in the island are now too old to cope with and support new development of building construction which has taken place in Lamu in recent years because of tourism. In addition to the Lamu Maulid the island has become world heritage sight and this has put Lamu on the world map.


The journey to Lamu Maulid begins in Mombasa at a place known as Bondeni. This is where buses to Lamu are boarded. As one boards the bus to Lamu at Bondeni Bus Stop one can feel the festive mood in the air as men dressed in kanzu and cap together with women in hijab (veil) some with toddlers push and shove to get into the buses. Inside the bus there is more shoving as they struggle for seats. When seating arrangement has been settled by the bus conductor the small talk inside the bus is about nothing but the Maulid at Lamu. The ride to Lamu takes about eight hours of gruelling sweat and dust.

The last stretch to Lamu the tarmac road from Mombasa gives way to dust stretch full of port holes. Apart from the bumpy road the journey in itself is always full of happenings.
After few hours of travel and excitement passengers settle down to the realities of their trip. Passengers are dog tired and doze off under the heat in the bus and outside the bus. The sun pounds the earth mercilessly and the heat intensifies. The sound of laughter has is soon replaced by that of snores. Dust covers everything on the way. Those who have over the years been through the trip to Lamu know what to expect from the journey. The conductor seems to be oblivious of the fact that there is space inside the bus can only accommodate a particular and predetermined number of passengers for comfort and safety.

The bus stops at every stand picking up passengers going to Lamu for the Maulid. Veiled women, men and children from nearby villages are overflowing in the bus and the bus stops at each and every bus stop along the way picking passengers. To bus owners this is a God-send opportunity which comes once each year and they have to make the most of it. The bus conductor will push people standing inside the bus shouting at them to make room for their fellow embarking passengers. It is very hot inside the bus. Children are crying because of fatigue, heat and for lack of fresh air. By the time the bus reaches Mpeketoni about six hours later which is last but one stand before Lamu the bus resembles a mad house but for a good cause.


The first day of the maulid which is Thursday soon after the Fajr (morning) prayers there is the raising of the flag ceremony first outside the mosque and thereafter inside the mosque. The ceremony is accompanied by melodious kasda (hymns) and the beating of matari (tambourine). After breakfast people gather inside the mosque for samai (recitation of kasda to the beats of matari and flutes). Between kasda there are very short sermons to highlight the messages in the lyrics of the kasda. In the afternoon after dhuhr (afternoon) prayers there is special lunch at the Twayyiba Hall which dignitaries and government officials are invited.

This hall is named after Bibi Twayyiba the second daughter of Sayyid Ahmed Badawy; the son of Habib Saleh (died in 1935 aged 85). It is believed that this is the first exclusive women madras (school) in East and Central Africa. Bibi Twayyiba was a student at Riadha and after completing her studies then as a young girl she became a teacher taking exclusive girls classes.
It is narrated that Sayyid Ahmed Badawy’s dream was to allow her daughters to acquire the same level of knowledge as his male children. It was through this vision of her father that Bibi. Twayyiba became a scholar of high repute just like her brothers. Bibi. Twayyiba taught Islamic Jurisprudence, Arabic and Science of the Holy Qur’an and many other disciplines. The place where was her class for girls now stands a modern function hall in her memory.

Bibi Twayyiba spent her whole life imparting knowledge to women who came from all walks of life and from all the countries in East Africa. She used to take small girls from disadvantaged families and raised them up and when there were old she would enrol them as her students. Bibi Twayyiba died at the age of 101 in 2005. She left behind a multitude of students among them daughters of the mothers she had herself taught. Her students are scattered throughout East Africa. In this way Riadha Mosque became more than a learning centre. Riadha Mosque to many former students who had gone through its system is now like a second home.

This makes the Lamu Maulid a reunion of alumni and a yearly retreat where old friends, former students and teachers meet each year to celebrate the birth of the Prophet together.
Riadha Mosque apart from its religious teachings has produced students who have excelled in secular education in various categories of professions. Some are holding various positions in the government and politics and some are in business in Kenya. Dr Ahmed Binsumeit a former student of Riadha Mosque is a lecturer in microbiology at Sultan Quaboos University in Oman. He is an active organiser of the Lamu Maulid and each year he flies in to Lamu from Mascut for the occasion. Binsumeit one of the many children of the late Shariff Khitamy of Mombasa is at the moment completing a biography of Habib Saleh.

Another student of Riadha Mosque is Sheikh Abubakar Badawy who was a Member of Parliament and Assistant Minister of Education in Moi’s government. He is also an active member of the organising of the Lamu Maulid Committee. Sheikh Abubakar is of the opnion that what makes the Lamu Maulid unique in East Africa is the fact that the maulid was institutionalised in Riadha which apart from being a mosque it is also a centre of learning. In this way the Maulid was not observed in abstract and from a spiritual aspect alone. The maulid to be meaningful had to be made to encompass needs and aspirations of the people of Lamu.


True to Sheikh Abubakar’s words this philosophy has crystallised in the initiation of the Medical Camp Program which began in the Lamu Maulid of 2005. This was in fulfilment of the vision of Habib Saleh - the founder of Riadha Mosque and the Lamu Maulid. Maulana Habib Saleh apart from being a spiritual leader was himself a tabib (traditional healer) and was known throughout Lamu and beyond for his skills to cure many ailments. In his time during maulid he used to attend to his patients who had travelled from far to attend the maulid as well as to be cured of an ailment. (Habib Saleh’s house near the mosque has been turned into a museum and his medicine cabinet is on display along with bottles which he used to store medicine).

It was therefore decided that this vision of the founder of the Lamu Maulid should be revived. In this way the Medical Camp Program was initiated and during the maulid week doctors pitch tents around the grounds of Raidha Mosque and people are provided with medical care in dental, eye, gynaecology, HIV counselling etc coupled with dispersion of free medicines. The most demanded is the distribution of free glasses for the needy. Expecting mothers would also be educated on diet and other aspects of motherhood. The Red Cross, Pharmaceutical companies, AMREF, NHIF are all active at Riadha Mosque throughout the day during the Maulid week.
After the maulid whatever drugs which remains together with surgical items used are in turn donated to government hospital in Lamu.

This has created a very conducive and enabling working relationship between the Ministry of Health and Riadha Mosque. The Medical Camp in recent years has taken another step forward by facilitating referral cases identified at the Lamu Maulid festival to national hospitals in Mombasa and Nairobi with all expenses paid by Riadha Mosque.
The Lamu Maulid has initiated blood donation to the blood bank in Lamu Hospital. The program is now in its second year running with the assistance of the Kenya Red Cross. The inclusion of the Red Cross in the Lamu Maulid at first created hostility because the emblem of the cross which was perceived by orthodox Muslims as symbolising Christianity. However the world renown Muslim scholar and author of many books on Islam, Habib Ali Zeinulabidin Al Jufry gave a fatwa which calmed the conservatives and now blood donation to the blood bank at Lamu Hospital under the supervision of the Red Cross is one of the most important programs of the Lamu Maulid.

Red Cross volunteers with their red shirts are a common sight at the Maulid and can be seen helping the sick and the old particularly during the last day of the Maulid were as a closing ceremony there is zafa (procession) from Riadha Mosque to the grave of Habib Saleh called ziara (visit).
The zafa is something to be witnessed as the whole island turns out for the zafa with various madrasas reciting kasda while at the same time playing matari. No one but the sick and the very old remain behind at home. The narrow streets of Lamu are jammed and fully packed with people. On this day the people of Lamu in their best attire come out to pay tribute to Maulana Habib Saleh who is revered as a walii (saint). After the zafa has made its way back to the mosque after maghrib (evening) prayers, elders dressed in smart kanzus and cap holding walking sticks known as bakora dance to traditional ngoma outside the mosque.

After isha (night) prayers there is musabak – competition in recitation of the Qur’an. This marks the end of the Maulid Week and the following morning soon after fajr prayers people start trekking back to their homes hoping to come back the following year. As they bid farewell to each other they say, ‘Insha Allah (God Willing) next year.’
Although Habib Saleh died in 1935 there is no single photograph of his existing. Many legends are narrated about Habib Saleh some which are difficult to believe by those not initiated in spiritual matters as understood by those who were born and raised in Lamu of which Maulana Habib Saleh is part of its history. But his undisputable legacy and his ever enduring miracle is the Riadha Mosque and the Lamu Maulid founded by him which are now part of Lamu’s and indeed Kenya’s history.


MashaAllah, fantastic article.
 
haha ..umeamua kuplay victim eh? Naona unataka jifanya wewe ni mhanga,na Yericko ni Mkandamizaji ili ashindwe kuendelea.Kweli kuna raha kuwa illogical,hujilazimishi kuwa responsible kwa maneno na matendo.Bado hujamtuhumu kuichukia dini yako tuu..ila wahuni wajae ktk vita.


teh teh ..mbona mapema sana umeshakuwa crippled....hembu jaribu kukiri unaposhindwa ili muendelee mbele na usirudierudie ktk cyclic ways.Kuwa mkeli jibu maswali ya wenzio.Ili nao wakujibu mengi,kwani hadi sasa watachoka kujibu wakati yao ambayo yangekusaidia huyajibu wala kukiri km yamekushinda.

Naogopa tuu mmekuwa too naivy kuandika vitabu bila tafiti na nia njema.Sijui mtarecall vitabu vyenu?

Wewe hiyo ndio "proof" yako ya hii mada? hebu jisomee jikichwa la habari hapo juu halafu uje na la maana.
 
Yericko,
Unisubiri kwa lipi ndugu yangu?

Kwani tuko katika ugomvi?
Kama sitaki kukujibu si basi.

Kuna ulazima wa kushambuliana?

Naaaaam Maalim

Nakusubiri ujibu hoja zetu ambazo ni:

1) Mapinduzi ya Zanzibar ni Halali au Haramu?

2) Je ASP waliomba msaada wa mapinduzi kwa TANU?

3) Kwanini Wazanzibar mpaka leo hii wanaadhimisha mapinduzi haya tena kwakauli ya "Mapinduziiiii! Daimaaaaa!?

4) Kama jibu la (1) ni HARAMU,

Je viongozi wa baraza la Mapinduzi la mwazo kabisa baada ya mapinduzi mpaka hawa waliopo sasa ambao 99% ni waumini wa dini ya Kiislamu waliwasaliti/wamewasaliti Wazanzibar kwakuwa vibaraka wa TANU/Tanganyika/Mfumo Kristu?


Hayo ni machache yanayotufanya watu 200000 tusubiri hekima zako mkuu!
 
Zomba; Soma upya nilichomuuliza mzee MS,kisha soma response zake mwenyewe kwa swali hilo hilo, pima na dizeli, shell, tambi ulizojibu, kisha linganisha kama swali lako lina tija. Uchochezi mwandikie Yericko. Binafsi Nilishamuuliza MS kuwa haya malalamiko aliyokwisha post dhidi ya catholics na Nyerere anashauri nini kifanyike hakuwa na jibu. Nikaachana naye kwa nukta hiyo.

Umeachana nae na bado unakula ilmu kutoka kwake, amma kweli.

Naona ya sheli na tambi yamekuingia na majibu umeyapata, ushawahi kutumia "thermos"? si kioja hicho? jina la bodhaa likawa ni chupa ya chai? seuse mzungu kuongea kizungu iwe ni Kiingereza, Kifaransa au Kiholanzi, jee hivyo vyote si vizungu?

Naona darsa umelipata, haya tuletee hoja ya jikichwa la habari kama unalo? nna uhakika huna.
 
Naaaaam Maalim

Nakusubiri ujibu hoja zetu ambazo ni:

1) Mapinduzi ya Zanzibar ni Halali au Haramu?

2) Je ASP waliomba msaa wa mapinduzi kwa TANU?

3) Kwanini Wazanzibar mpaka leo hii wanaadhimisha mapinduzi haya tena kwakauli ya "Mapinduziiiii! Daimaaaaa!?

4) Kama jibu la (1) ni HARAMU,

Je viongozi wa baraza la Mapinduzi la mwazo kabisa baada ya mapinduzi mpaka hawa waliopo sasa ambao 99% ni waumini wa dini ya Kiislamu waliwasaliti/wamewasaliti Wazanzibar kwakuwa vibaraka wa TANU/Tanganyika/Mfumo Kristu?


Hayo ni machache yanayotufanya watu 200000 tusubiri hekima zako mkuu!

Hivi Yericko Nyerere ulishaleta ile hotuba uliyoahidi? vipi na Chifu ulishaonana nae?
 
Last edited by a moderator:
Wewe hiyo ndio "proof" yako ya hii mada? hebu jisomee jikichwa la habari hapo juu halafu uje na la maana.

Unafujo km wanyama waharibifu...haikuwa ktk proof..Nilikuwa namkumbusha tuu kuwa asianze jenga hisia za kuwa mwathirika,au kumwekea Yericko hisia za ukosefu.Ni hayo tuu.

Oops nawapatia huruma watu wanaokutana na wewe frequently kwa insi ulivyo na kutu ya ubongo.Watakwaruzana sana na wewe.
 
Umeachana nae na bado unakula ilmu kutoka kwake, amma kweli.

Naona ya sheli na tambi yamekuingia na majibu umeyapata, ushawahi kutumia "thermos"? si kioja hicho? jina la bodhaa likawa ni chupa ya chai? seuse mzungu kuongea kizungu iwe ni Kiingereza, Kifaransa au Kiholanzi, jee hivyo vyote si vizungu?

Naona darsa umelipata, haya tuletee hoja ya jikichwa la habari kama unalo? nna uhakika huna.

Ulishanitia wasiwasi juu ya afya yako maana sikuwa naona ile kawaida yetu uani kwangu. Niliandaa something tofauti kidogo. Enjoy. Iam sure ulikuwa unatoa signal niku-postie some movie;

Dog Soldiers - Full Movie - YouTube

Enjoy
 
Nadhani kama yupo anayesimama mimi ni mmojawapo. Nimeshawahi kusema hapa kuwa Uislam ni dini ya mwenyezi mungu.

Mimi ninapozuia watu wasiunasibishe uislam na hadithi au chuki zao ni jambo jema kuliko wale wanaoshangilia uislam kutumika kama ngazi ya watu kuzua uongo, kueneza chuki na fitna na kuudhalilisha.

Mohamed amesema mara nyingi nia ya Mapinduzi ni kuua Uislam kule Zanzibar.
Kwa wale waliosoma vitabu na kufuatilia hoja zake hapa hawana shaka na hili.
Hivi karibuni ikafika mahali pa kusema wale waislam wa Tanga walioshirikiana na Nyerere ni ''punda'' akiwataja kama Punda wao. (ushahidi upo)

Ghassany na Mohamed katika kitabu chao wanasema Zanzibar ilikuwa shwari hadi pale Nyerere alipoleta fitna yake.
Juzi akiwa Kibanda Maiti Seif alisema Zanzibar ni nchi ya Kiislam. Madai hayo yameshadidiwa na suala la OIC hata kama tunafahamu kuwa si kweli kuwa ni nchi ya kiislam bali nchi yenye waislam wengi. Kuna tofauti.

Mohamed ameanisha watu kuwa wamakonde wa Kipumbwi ndio walipelekwa ZNZ kufanya mapinduzi kwa maelekezo ya Nyerere na misaada mingine. Lengo la Mohamed nikuonyesha kuwa Nyerere alikuwa na chuki na wazanzibar si kwasababu nyingine ni kwasababu ya Uislam. Ni chuki hiyo hiyo ya Nyerere ndiyo ilimuondoa Sheikh Amir.

Kabla 200K haijaondokewa na shaka juu ya Mohamed tumemuuliza
Je, Wamakonde wa Kipumbwi walipelekwa kwa ombi la nani, TANU au ASP au ilikuwa unilateral decision ya Nyerere kuua Uislam kama anavyodai na wala si mimi ninayesema hayo.

Pili, Mapinduzi ni halali au ni haram?
Tatu, wznz wanaposherehekea mapinduzi ya Nyerere yalilyolenga kuua uislam wanafanya jambo jema au ni wasaliti

Tatu,akina Thabiti Kombo, Jumbe na Wanamapinduzi wengine waliofanya kazi na Nyerere ni wanamapinduzi au wasalaiti?

Haya ni maswali muhimu sana hasa ukiangalia suala la Kipumbwi, Nyerere na madai ya Uislam yatolewayo na Mohamed.

Mnaponishambulia mimi ninayeuliza ili kuweka hoja sawa badala ya kumtaka mtoa madai athibitishe ninawashangaa sana.

Mimi nitasimama na ukweli, najua inawakera sana kuona mzee ameshindwa kuwaambia 200K juu ya madai yake.
Mzee anazidi kutia hofu 200K kwasababu kila mara amekuwa anatoa madai asiyoweza hata kujaribu kuyatetea.

Najua inawauma kuona mzee kasimama mbele ya kadamnasi mambo yakiwa kombo sasa mnatafuta mahali pa kumuokoa.
Mumejitahidi na nukuu na picha haikuwezekana, kama kawaida yenu mna chomeka mambo ya dini mkijua kuwa hoja itakufa kwavile sisi wengine tunaheshimu sana imani za watu na hata wale wasio na imani au wasio amini. T
unaheshimu kila mtu.

This time around mnapaswa msimame na kumwambia Mohamed ima aombe radhi kwa 200K kwa kutoa madai asiyoweza kuyatetea au asimame na atetee kile anachojua.

200K haiwezi kudanganywa kila mara na kuacha mambo yapite. 200K ina kiwewe cha mambo lukuki ikiwemo Ibadan, sasa mnaachia na huu msumari wa moto juu ya donda! ndugu zangu tuwaonee watu huruma. 200k ni idadi kubwa sana kudanganywa kirahisi.

Lakini pia mwambieni mzee kuwa anaposema wznz ni ndugu zake basi awaambie ukweli kuwa mapinduzi ni haramu, la sivyo awaambie ni halali.

Kusema ukweli ni sifa ya mwislam.

Ni wakati sasa msimame na kumwambia Mohamed asinasibishe maneno yake na iman.

Pamoja na yote niliyosema hapo juu 200K wanasubiri majibu.

Mohamed Said Waambie 200K jambo kuhusu uliyoulizwa.

NB: Tafuteni mstari au fanyeni spinning ili kumuokoa mzee. Msitumbukize imani kwasababu hiyo mnaifanya silaha yenu.
Nime stick mzee awaambie wasomaji wapatao 200K ukweli, hamtaweza kuniondoa katika mada kwa spinning au kuchomeka mambo ya dini.

Naambiwa na wenyeji wa JF haijapata kutokea, watu 200K! Sasa awaambie ukweli.



200K.Wewe ndie wamekuchagua kuwa ni msemaji wao??

Kama wangekuwa wanayaona hayo unayoyasema mbona hawajatokezea hapa kuyapinga??

Wamekuagiza uwasemeee??

Hakuna wa kukufanyia spinning wewe Nguruvi3,,una nin hadi tukufanyie spinning??

Sisi tunakueleza uhalisia ambao unatakiwa kuufahamu,kuhus kutumbukiza imani haiji kwenye bandiko lako hili tuuh,

Una historia hiyo tokea mda mrefu,thats why tunakuambia crusade war haitakufikisha kokote, by the way hakuna la msingi unaloliuliza zaid ya kuegemea kwenye malumbano,watu hawapo kwenye malumbano hapa,


Hapa watu wapo kwenye kumwaga historia,Nguruvi3 U-JF SENIOR EXPERT MEMBER Ndio ukufanye utambe??

Nani anakufaham wewe,liwapi andishi lako linaloweza vuta tension ya watu wenye weledi wao??

Unatia huruma sana,Pole sana...
 
Hasanalis,

Salaam Al Akhiy.

Nina neno langu takakwambia,si kwa Kizungu bali Kiswahilia. Msiba walinidhamiria wala sijeumia,azma yao ni dhuluma,katu Mola hatakubalia.

Wewe Al Akhiy ndie wa kukutaka radhi wala si mwingine asilan,maana najua madhila yalokusibu kusikia nduguyo janiona.

Wallahi,nipo vyema ni kibarua na safari kiduchu menibana.

Nakuacha na nasaha mbili;mojawapo ni ya kizungu na nyingine ni ya Mzee wetu alokua mashuhuri kwa upande wake.

No one is your friend who demands your silence,or denies your right to speak - A. Walker

Sigida Mpingo hading'oka - Kondo Kipwata.

Nimefurahika kwa kunisikiza.

Tuendelee na hili zogo/"Mnakasha".

Ahsanta.


Cc;Ritz,Barubaru,The Big Show,Boko Haram,JokaKuu

nimepata bayana na nasaha zako nazifuatilia kwa adabu kubwa sana inshaallah tupo pamoja
cc,mshume kiyate
 
200K.Wewe ndie wamekuchagua kuwa ni msemaji wao??
Kama wangekuwa wanayaona hayo unayoyasema mbona hawajatokezea hapa kuyapinga??
Wamekuagiza uwasemeee??
Hakuna wa kukufanyia spinning wewe Nguruvi3,,una nin hadi tukufanyie spinning??
Sisi tunakueleza uhalisia ambao unatakiwa kuufahamu,kuhus kutumbukiza imani haiji kwenye bandiko lako hili tuuh,

Una historia hiyo tokea mda mrefu,thats why tunakuambia crusade war haitakufikisha kokote, by the way hakuna la msingi unaloliuliza zaid ya kuegemea kwenye malumbano,watu hawapo kwenye malumbano hapa,
Hapa watu wapo kwenye kumwaga historia,Nguruvi3 U-JF SENIOR EXPERT MEMBER Ndio ukufanye utambe??
Nani anakufaham wewe,liwapi andishi lako linaloweza vuta tension ya watu wenye weledi wao??
Unatia huruma sana,Pole sana...
Kumbuka hamjajibu hoja wala Mzee hajaonekana, anachungulia hapo chini, tena anasubiri kitupwe kipande cha kitabu aje na mengine.

Wenzangu mbona hamjibu hoja mumebaki kushambulia personality.
Hawa 200K siyo lazima kila mmoja achangie, tena hapo ungemuuliza Mohamed maana yeye ndiye anasema wanamsikiliza.

Sasa kama wanamsikiliza lazima awaweleze.

Ninachoandika mimi hakiwezi kujadiliwa kirahisi.
Muulize Mohamed anajua kitu kinaitwa Limbic syatem au ameshawahi kusikia impact ya psych trauma katika geriatric?

200k Wanasikiliza haya

ASP na TANU nani kamwalika mwenzake katika msaada wa Mapinduzi
Mapinduzi ni halali au ni haramu
Znz ni watu wema kushangilia mapinduzi au ni mazumbukuku kutoka na maandishi Ya Mohamed
Wanamapinduzi kama akina Mwinyi na Naossor wanaangukia kundi gani vibaraka au wasaliti.
 
Umeachana nae na bado unakula ilmu kutoka kwake, amma kweli.

Naona ya sheli na tambi yamekuingia na majibu umeyapata, ushawahi kutumia "thermos"? si kioja hicho? jina la bodhaa likawa ni chupa ya chai? seuse mzungu kuongea kizungu iwe ni Kiingereza, Kifaransa au Kiholanzi, jee hivyo vyote si vizungu?

Naona darsa umelipata, haya tuletee hoja ya jikichwa la habari kama unalo? nna uhakika huna.


Zomba; Jirani yangu karibu sana. Ongeza nguvu. Kuna maswali yameshindikana kujibiwa japo majibu yanajulikana. Uzoefu wako muhimu. Karibu.

Ile special yetu niliisahau;

The Daring Dobermans - Part 4 - YouTube

karibu wangu.
 
Nicholas,
Unafanya haraka kunihukumu.

Nijue kwanza.

Nimeandika vitabu vingapi, paper ngapi,
nimehadhiri vyuo vingapi...

Ukijiingiza katika unazi utashindwa mapema.
 
Nicholas,
Unafanya haraka kunihukumu.

Nijue kwanza.

Nimeandika vitabu vingapi, paper ngapi,
nimehadhiri vyuo vingapi...

Ukijiingiza katika unazi utashindwa mapema.

Mzee bahati mbaya sana ,mimi ni mmojawapo wa watu ambao hupata sana shida kupata kitabu chenye maana ktk waandishi wa kitanzania hasa Historia na Political science.So sidhani km hiyo inaweza kuwa CV mbele yangu.

Nadhani unazi wewe ndio unao halafu mbaya unazunguka ktk logic fulani ambazo si rational.Yaani..kwanza mnaanza shambulia upande wa pili kwa kusema kirahisi tuu kuwa haelewi wewe ndio unaelewa, baadae mnawaita wanazi...ikianza kuwa ngumu mnahamia ktk kutafuta cha kuita tusi ili uanze deka na kujifanya ni kubwa sana,na hivyo upande wa pili uonekane na kujisikia kuwa mkosefu.Hii si fairness na ni very irresponsible...Kadiri unavyoona unakosa majibu ya msingi ni kipindi chako wewe kujiuliza kama unachoamini au kutetea kina uzito hivyo.

Nigefuarahi km utajibu hoja na kuacha mikwara ya vijiweni......watu wasio waaminifu km nyie ndio mmepotosha sana historia, na kujifunika ktk pazia la heshima na umaarufu.Wengine sisi sijui mtataka waita hawana adabu ili mjifiche ugumu wa hoja usiwe juu yenu..yaani huwa watuogopeshwi na idadi ya vitabu...vitabu vinaandikwa tuu.Nyambari Nyangwine wao huwa authur,editor na critique,book reviewers.Mmeposha na kujipotosha sana.Sijui kwa faida ya nani.Dini?Dini yenye waumini wasio kipaumbele?Km waumini wangekuwa kipaumbele basi ungewatendea haki kwa kuwaandikia ukweli kwa akili zako zote na ufundi wako wote.

Napata huruma km baada ya hii thread kufika mwisho km utakuwa na ujasiri wa kuandika kitabu kingine na ukitangaze kwa nguvu zote zaidi ya vile vingine,ili watu wasome..na kujua kuwa Historia yako si halisi ila ni zao la fikra na unazi wako.

Ni human pscyhology kuandika ujinga au upotoshaji,halafu baadaye waliowapotosha wakiwa na imani kubwa basi nao huanza polepole kushindwa tofautisha huo uongo na ukweli.Baaday huamua kuamini na yeye.
 
Unafujo km wanyama waharibifu...haikuwa ktk proof..Nilikuwa namkumbusha tuu kuwa asianze jenga hisia za kuwa mwathirika,au kumwekea Yericko hisia za ukosefu.Ni hayo tuu.

Oops nawapatia huruma watu wanaokutana na wewe frequently kwa insi ulivyo na kutu ya ubongo.Watakwaruzana sana na wewe.

Binaadam wazima na faham zao huishi kama wanyama mwituni ambao uhai wa kila mmoja wao hutegemea urefu wa makucha yake na ukali wa meno yake.

Meno yako bado hayajawa makali. Jee, huo ndio ushahidi wa ji kichwa la habari hapo juu? naona mpaka sasa huna.

Unashindwa kuleta hoja unanivaa mimi na nnao ishia nao, amma kweli.
 
Mzee bahati mbaya sana ,mimi ni mmojawapo wa watu ambao hupata sana shida kupata kitabu chenye maana ktk waandishi wa kitanzania hasa Historia na Political science.So sidhani km hiyo inaweza kuwa CV mbele yangu.

Nadhani unazi wewe ndio unao halafu mbaya unazunguka ktk logic fulani ambazo si rational.Yaani..kwanza mnaanza shambulia upande wa pili kwa kusema kirahisi tuu kuwa haelewi wewe ndio unaelewa, baadae mnawaita wanazi...ikianza kuwa ngumu mnahamia ktk kutafuta cha kuita tusi ili uanze deka na kujifanya ni kubwa sana,na hivyo upande wa pili uonekane na kujisikia kuwa mkosefu.Hii si fairness na ni very irresponsible...Kadiri unavyoona unakosa majibu ya msingi ni kipindi chako wewe kujiuliza kama unachoamini au kutetea kina uzito hivyo.

Nigefuarahi km utajibu hoja na kuacha mikwara ya vijiweni......watu wasio waaminifu km nyie ndio mmepotosha sana historia, na kujifunika ktk pazia la heshima na umaarufu.Wengine sisi sijui mtataka waita hawana adabu ili mjifiche ugumu wa hoja usiwe juu yenu..yaani huwa watuogopeshwi na idadi ya vitabu...vitabu vinaandikwa tuu.Nyambari Nyangwine wao huwa authur,editor na critique,book reviewers.Mmeposha na kujipotosha sana.Sijui kwa faida ya nani.Dini?Dini yenye waumini wasio kipaumbele?Km waumini wangekuwa kipaumbele basi ungewatendea haki kwa kuwaandikia ukweli kwa akili zako zote na ufundi wako wote.

Napata huruma km baada ya hii thread kufika mwisho km utakuwa na ujasiri wa kuandika kitabu kingine na ukitangaze kwa nguvu zote zaidi ya vile vingine,ili watu wasome..na kujua kuwa Historia yako si halisi ila ni zao la fikra na unazi wako.

Ni human pscyhology kuandika ujinga au upotoshaji,halafu baadaye waliowapotosha wakiwa na imani kubwa basi nao huanza polepole kushindwa tofautisha huo uongo na ukweli.Baaday huamua kuamini na yeye.

Wewe ni mgala?

Hiyo ndio hoja uliokuja nayo kuhusu jikichwa la habari hapo juu?

Hivi nyinyi huwa mnasoma mkaelewa haswa? hivi unakijuwa ulichokiandika au unabwabwaja tu?
 
Ulishanitia wasiwasi juu ya afya yako maana sikuwa naona ile kawaida yetu uani kwangu. Niliandaa something tofauti kidogo. Enjoy. Iam sure ulikuwa unatoa signal niku-postie some movie;

Dog Soldiers - Full Movie - YouTube

Enjoy

Hiyo ndio hoja uliyoleta kuhusu jikichwa la habari hapo juu? naona huna la maana mpaka sasa la kumtetea mleta mada maana mpaka sasa kila anapotiaa mguu anapewa kipande kingine na katika vyote hivyo hakuna kimoja alichokuja, amma yeye amma nyinyi mkasema hii hapa "dhihaka" au huu hapa "uchochezi" naona mnahaha na kuhangaika na kuzunguka zunguka na kupaka matope pasipo pakika.

Jee, umeshawahi kumsikia Tosiri?
 
Back
Top Bottom