Kwa hiyo elezea wapi ni wrong katika Fatwa niliyoinukuu.Umesema watu ina maana anaweza kuwa yoyote yule Myahudi, Mkristo, Rastafarian n.k
Nikurahisishie...ni kwamba dhana ya kutumia Fatwa yenyewe ni makosa.Ni maamuzi tuu ya walio hai leo.Ila si kitu kilicho wazi ktk uislam kwa muislam wa mwanzo,wa sasa na ajaye.Hiyo ya watu ni wendawazimu wako.
Ni Muislamu gani anayekubaliana na evolution kiasi cha kuwadanganya watu kuwa ipo katika Quran? nifahamishe.Usidanganye watu!
Osama hajawahi kutoa Fatwa wala kudai yeye ni Mufti! na alifahamika hivyo, zaidi alijulikana (kutokana na baadhi) kama Mujahid na si Mufti!
Wengine walimuona ni Mujahid katika Jihad ya kwanza dhidi ya Soviet ila alichokuja kufanya baadae ni kujikwaa na kwenda kinyume na Jihad
Teh teh umeamua hamia ktk "uongo mtakataifu" kusitiri dini?Osama katoa fatwa nyingi tuu,kuanzia kushambulia israel, kushambulia US, kushambulia raia ,watoto na wanawake na mamabo yakafanyika...na alikulikana kama sheikh...sasa km wewe unakataa tuthibitishie kwanii sasa amri yake ilipata mwitikio mkuu?N aalikufa shujaa hata kwako wewe.
Tatizo lenu kila mnarukia km mnavyorukia vyama mara CUF,mara CCM mara uhuru..huku mkiruhusiwa kudanganya kwa maslahi ya dini"uongo mtakatifu"....eveolution ipo very core ktk vitabu vya wanapropaganda za kiislam.
Tafsiri na ufahamu wake wa Fatwa za Ulamaa kama Ibn Taymiyah ndizo zilizokuwa zikileta utofauti wake wa kimawazo na Ulamaa lakini hakuwa akitoa Fatwa.Nilikueleza huko nyuma kuwa unachanganya Uyahudi na Uislamu, Uislamu unakataza unayosema (uchawi na usomaji nyota) na mtu anayeyafanya huwa ametoka katika Uislamu:
Quran 2:102. Na wakafuata yale waliyo zua mashet'ani kuuzulia ufalme wa Su leiman. Na wala Suleiman hakukufuru, bali mashet'ani ndio walio kufuru, wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyo teremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil. Wala hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie: Hakika sisi ni mtihani; basi usikufuru. Wakajifunza kwa hao wawili yale ya kumfarikisha mtu na mkewe. Wala hawawezi kumdhuru mtu ila kwa kutaka Mwenyezi Mungu. Na wanajifunza yatayo wadhuru wala hayawanufaishi. Na hakika wanajua kwamba aliye khiari haya hatakuwa na fungu lolote katika Akhera. Na hakika ni kiovu mno walicho jiuzia nafsi zao laiti wangelijua"
Hakuna cha kukusaidia hapa hizi ni junks na uongo mtupu.
Wakati Mayahudi wa Kabbalah wanafundishwa uchawi nikinukuu:
Kabbalah: The sacred books of black magic of Orthodox Judaism which form a large part of the basis of the western secret societies, from Rosicrucianism to Freemasonry and the OTO. Kabbalism is itself derived from the sorcery of ancient Babylon and...Pharaoic Egypt".-Craig Heimbichner , Blood On The Altar.Karibu kila penye umwagaji damu duniani utakuta kuna mkono wa Mayahudi:
Umbea mwingine judaism haiwezi kuwa basis ya uchawi ...halafu uislam na ukristu ukawa sio.Ila Uislam unaweza kuwa na wengine wasiwe kwani uislam ulichukua vitu vingi hata kwa upotoshaji ktk dini za mwanzo+jumlisha mambo ya kipagania ya waarabu ambao atayari walishaishi na majinn miaka mingi sana.Na walishafikia kuzaa nayo.
Umwagaji damu uliomwagika Sudan mpaka kupeleka Sudan ya Kusini kujitenga ni mkono wa Mayahudi. Kwa Mayahudi "great Israel" inaanzia Nile na kuishia Euphrates" hivyo nchi zote zilizo ndani ya Nile na Euphrates ni mali ya Mayahudi.
wazo lako lina shida mbili:
1.km eneo lote ni la wayahudi kwanini sasa waislam mnataka waondoa ktk nchi yao?
2. Tofauti za waislam wenyewe washia na wasunni na kupend akwao vita tuu kumemwaga sana damu ktk jamii ya kiislam kuliko hata mapigani an makafir.Uislam una vita na kila kitu na kila dini..wahindu, wakristu, wabudha..hadi sasa duniani.
Kwao wao njia ya kuzipata hizi nchi ni kuwa wakati sasa hivi hawana uwezo wa kivita kuzichukua basi wanaanza kuzisambaratisha ili kuzivunja nguvu ili baadae waje kuzichukua kiurahisi, huo ni mkakati uliotumika kwa makusudi kuigawa Sudan kunakoanzia Nile.
Iraq kwenye Euphrates nayo ni mkakati uleule.
..iliyokuwa inafuatia ni Misri mabadiliko yametokea kidogo baada ya kungolewa Mubarak.
Israel wanafight for survival tuu na si kingine....quran imeandika aya kibao za kuua wayanahudi hat wale waliojificha nyuma ya jiwe na miti mawe na maiti yataoangea na kusema kuna myahudi kajificha hapa.Quran inasema muue mkristu na myahudi popote umkutapo..sasa iweje tena usema mnachokozwa nyie wakati dini inawaambia muwashambulie mkiwakuta?
Yanayotokea Afghanistan,Pakistani, Yemen, Syria nako kuna mkono wa Mayahudi ili kupunguza idadi ya Waislamu ambao kihesabu zinaonyesha kuwa ki wastani vijana ni wengi zaidi kuliko wazee, hivyo Mayahudi wanapiga hesabu kwa miaka kadhaa vijana hawa wa baadae ikitokea 5% yao watafuata mrengo wa kina Osama basi Mayahudi hawataweza kujilinda.
Ndio maana WANAPUNGUZWA sasa hivi huko Afghanistan,Pakistan,Yemen na Syria. Nitakultea ushahidi kutoka kwa Profesa wa Kiyahudi.
uongo matakatfu na sasabu za kijinga ni kawaida yenu na tunu zenu.....nimekwambia hizo ni hilla za majinn ili yaendelee kuwnywa damu.Hapa shida ni maagano yenu na si wayahudi....sababu za vita na kushindwa kwa waislam duniani zimekuwa tk kufanyiwa hila kila mahali.Hapa kwetu wametumia kisisngizo cha myahudi, baadaye "Mfumo Kristu na Vatican".
Kwa taarifa yako wayahudi km ni kuwaua waislam hawashindwi kuna millions of ways na hivyo si tishio....waislama wameamua jiachia ktk kuzaa ili wazidi makafir, hata hapa kwetu wamekuwa hadi wanapitishana ktk mitihani na makazini..
Ila pia hujajua jinsi gania uzao wa "
binamu nyama ya hamu" ulivyo ineefficient na unaongeza uwezekano ulemavu wa ubongo na mwili..Tafiti zimeonyesha vifo vya utotoni ktk uislam ni vingi sana pamoja na kwamba wanazaana sana.
Pia waislam wanaoondoka ni wengie kuliko waislam wanavyodhani,na hata idadi ya watu wanaosilimu na muda mfupi kuondoka ni wengi sana.Na hili si tishio kwa myahudi km matendo na mafunisho ya waislam.
Pengine wakati wakati tunaachana na hii habari ya dini ..
Naomba niambie "majinn" yanayokula damu na mavi....vinapatika wapi hivi ktk dunia ya kiislam?viumbe ambao ni very crucial ktk uislam hadi wakapewa aya yao.Angalizo:Qurani haisemi kuwa majinn mazuri yanakula kiu tofauti na manayoyaita mabaya, kwa hiyo sitegemei jibu la kuchekesha.