Uchomaji wa Vitenge Uliofanywa na BAWACHA Umeingiza Laana ndani ya CHADEMA ambayo itakiangamiza na kukiteketeza kisipoomba radhi na kutubu hadharani

Uchomaji wa Vitenge Uliofanywa na BAWACHA Umeingiza Laana ndani ya CHADEMA ambayo itakiangamiza na kukiteketeza kisipoomba radhi na kutubu hadharani

Wengine hatujui kimeanzia wapi. Weka habari nzima hapa.
 
..Mama Abduli ndiyo mwenye laana.

..kiongozi mwanamke hatakiwi kuunga mkono magenge yanayoteka, kutesa, na kuuwa, wapinzani wake.

..Ni aibu.
 
SIUNGI MKONO KUCHOMA NGUO HIYO NI LAANA WANAITAFUTA KWA NGUVU.

KUNA WANAWAKE HAWANA NGUO WANATEMBEA UCHI NI MASIKINI NI KWANINI WASINGEWAPA HAO???

HILO SIUNGI MKONO .
 
Back
Top Bottom