KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Hamkuwa tu na maelewanoMkuu nakumbuka enzi zangu niliwahi kuwa na ukaribu na mtoto wa watu tena walikuwa wa ile iman ya kaptula ndefu ila nilikuja jinasua huko na nikapata somo la oa dini yako oa labila lako kupunguza mizozo ndani ya familia. Baada ya hapo nimekuwa nikishaur sana vijana kuhusu haya mambo
Dini mkaiona ni sababu
Ndoa ni maridhiano si dini