Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,628
- 2,720
Ndio maana una chuki kali dhidi ya Uislam. Kumbe ulikataliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesoma na Waarabu vipanga mno darasani Allah awabariki.Tukubaliane tu kuna makabila bila kuyataja hayastarabika, watu wanapoowana kwa kuchanganya makabila inampa faida mmoja wapo kuadapt ustaarabu na kizazi chake kitastaarabika pia.
Wajinga Wawili wakiowana ni tatizo, na hili ndio tatizo linawakabiri Waarabu, wako wenyewe wana makabila yao kuna mabedui hawezi kuolewa na Kabila lingine, Sasa ikitokea uko Fulani ni wajinga basi ni kizazi chote.
Nioneshe Mwarabu gani uliyesoma naye alikuwa Kipanga darasani?
Ulitaka kuandika nini kwa mfano?Endeleeni
Siku mkikutana humo ndani moto unawaka ndo mtajua dini si kila kitu
Kwa Muislam dini yake ni kila kitu.Endeleeni
Siku mkikutana humo ndani moto unawaka ndo mtajua dini si kila kitu
Mwislamu anayejielewa ndio yukoje?Kwa Muislam dini yake ni kila kitu. Labda awe Muislam asiyejielewa.
Dini muhimuUlitaka kuandika nini kwa mfano?
Sasa katika familia yenye Dini (wamesimama sawa sawa) mtoto si atakuwa wa Mama. Hatakuwa na kitu. Mwanaume mzinifu hana kitu.Ungempa mimba
Undugu haukataliwi
Matunzo yasingepokelewa?Sasa katika familia yenye Dini (wamesimama sawa sawa) mtoto si atakuwa wa Mama. Hatakuwa na kitu. Mwanaume mzinifu hana kitu.
Binadamu wengi dini ni cover tuKwa Muislam dini yake ni kila kitu. Labda awe Muislam asiyejielewa.
Tukubaliane tu kuna makabila bila kuyataja hayastarabika, watu wanapoowana kwa kuchanganya makabila inampa faida mmoja wapo kuadapt ustaarabu na kizazi chake kitastaarabika pia.
Wajinga Wawili wakiowana ni tatizo, na hili ndio tatizo linawakabiri Waarabu, wako wenyewe wana makabila yao kuna mabedui hawezi kuolewa na Kabila lingine, Sasa ikitokea uko Fulani ni wajinga basi ni kizazi chote.
Nioneshe Mwarabu gani uliyesoma naye alikuwa Kipanga darasani?
Kwa dunia ya sasa..huo ni upuuzi..nadhani wewe bado upo enzi za ujima.Ushauri wangu kwa vijana
Oa au olewa na mtu wa dini yako
Oa au olew na mtu wa kabila lako.
Daima utajanishukuru
Narudia
Oa au olewa na mtu wa dini yako
Oa au olewa na mtu wa kabila lako.
Utakuja nishukuru
Wewe unaweza kuishika dini yako sawasawa?Anayeifahamu dini yake kwa usahihi na akaishika dini yake sawa sawa na kwa usahihi.
Heri yule alie ujimaKwa dunia ya sasa..huo ni upuuzi..nadhani wewe bado upo enzi za ujima.
#MaendeleoHayanaChama
Wewe ulikuwa haupendwi na vile mlevi hauna swagga ,wengi kama walevi mnakuwaga na sura za kizee wakati bado watoto wadogo.
Kawaida mke ndo anamfuata mume basi angekufuata Kwa namna yeyote ile.
Basi Kama ndiyo hivyo Bora Mabinamu tu ndiyo waowane, maana hao ndiyo Watu wa karibu kuliko hata hilo kabila!!!Ushauri wangu kwa vijana
Oa au olewa na mtu wa dini yako
Oa au olew na mtu wa kabila lako.
Daima utajanishukuru
Narudia
Oa au olewa na mtu wa dini yako
Oa au olewa na mtu wa kabila lako.
Utakuja nishukuru
Pia kuna faida nyingi sana mkichanganya Dini mbili za Uisilamu na Ukristo pamoja! Kuna rahaa yake! Angalizo! Mradi tu msiwe wafia Dini!!Kuhusu dini naunga mkono watu waowane wa imani moja, lakini kuhusu Kabila hapana, kuna faida nyingi za kuchanganya Kabila kuliko hasara.
Hata ukisema uowe Kabila moja bado kuna koo huwezi kwenda kuowa zina matatizo.
Elezea faida zake.Pia kuna faida nyingi sana mkichanganya Dini mbili za Uisilamu na Ukristo pamoja! Kuna rahaa yake! Angalizo! Mradi tu msiwe wafia Dini!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
HakunaMkuu narudia tena
Oa au olewa na mtu wa dini yako
Oa au olewa na mtu wa kabila lako
Utakuja nishukuru. Leo sina muda wa kuandika sana ila kama unapata mtu wa kabila lako oa au olewa itakuepusha na ugomvi wa vyakula. Ugomvi wa tamaduni za kabila jingine. We mzaramo unaolewa na mmasai. Hapo kuna kana kamgogoro ka tamaduni pia misosi na mambo mengine. Si lazmishi mtu aoe au aolewe na kabila lake ila itakusaidia mbeleni amin
nagongelea hapahapa ndoa nyingi zinashikana kwa sababu ya kuokotana na kuacha utamaduni uliokuwepo enzi na enziUshauri wangu kwa vijana
Oa au olewa na mtu wa dini yako
Oa au olew na mtu wa kabila lako.
Daima utajanishukuru
Narudia
Oa au olewa na mtu wa dini yako
Oa au olewa na mtu wa kabila lako.
Utakuja nishukuru
Wee acha tuAma dini moja ila hamko compatible hata kuwasiliana hamuwezi
Nyie heh