KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Hamkuwa tu na maelewanoMkuu nakumbuka enzi zangu niliwahi kuwa na ukaribu na mtoto wa watu tena walikuwa wa ile iman ya kaptula ndefu ila nilikuja jinasua huko na nikapata somo la oa dini yako oa labila lako kupunguza mizozo ndani ya familia. Baada ya hapo nimekuwa nikishaur sana vijana kuhusu haya mambo
Nimesoma na waraabu ambao ni vipanga kibao ..kaangalie matokeo ya mtoto wa bakhessa mpaka akapewa scholarship.Tukubaliane tu kuna makabila bila kuyataja hayastarabika, watu wanapoowana kwa kuchanganya makabila inampa faida mmoja wapo kuadapt ustaarabu na kizazi chake kitastaarabika pia.
Wajinga Wawili wakiowana ni tatizo, na hili ndio tatizo linawakabiri Waarabu, wako wenyewe wana makabila yao kuna mabedui hawezi kuolewa na Kabila lingine, Sasa ikitokea uko Fulani ni wajinga basi ni kizazi chote.
Nioneshe Mwarabu gani uliyesoma naye alikuwa Kipanga darasani?
Usidanganywe na mtu yeyote, kwenye primitive society kama Tanzania dini ni factor kubwa sana, ni mapenzi ndio yanatiaga watu upofu tu.Sema hamkupendana
Dini sio tatizo mkiridhiana
Mkuu maswala ya dini na kabila inasaidia kupunguza migongano ambayo si ya lazima ila si kwamba ukioa au kuolewa na mtu wa kabila ama dini moja ndo uko salama la hasha unapunguza migongano tuHii ya kuhusu kabila ina sides mbili. Usihitimishe kwa kusema oa/ olewa na mtu wa kabila lako.
Mimi kama mtu niliyeoa mtu wa kabila tofauti kwa miaka 10 sasa ntakukatalia, tena kwa hoja thabiti. Habari za chakula, mila na desturi haijawahi kuwa sehem ya changamoto yetu.
Hata hivyo, kuna waliooa/olewa na watu wa makabila tofauti wanakabiliwa na changamoto za chakula, mila na desturi/ lugha n.k.
Ndio maana nasema, hii hoja ina ambiguity.
Atakuwa alimpata wa dini yake sasa jinsi yakumtosa mla white paper ikabidi ampe mtihani huo uliomshindaSema hamkupendana
Dini sio tatizo mkiridhiana
Dini nakubaliana na wewe, lakini kabila, No! Najitolea mimi mfano.Mkuu maswala ya dini na kabila inasaidia kupunguza migongano ambayo si ya lazima ila si kwamba ukioa au kuolewa na mtu wa kabila ama dini moja ndo uko salama la hasha unapunguza migongano tu
Uko mbali na ukweli, mtu anasoma IST unategemea atakuwa kilaza?Nimesoma na waraabu ambao ni vipanga kibao ..kaangalie matokeo ya mtoto wa bakhessa mpaka akapewa scholarship.
Kwa bongo huwezi kuwajua maana Wanasoma elimu tofauti na sisi kama unabisha kaangalie pilots wengi hapa bongo ni jamii gani na mabaharia.
Nilipima nikaona siwez ishi na mtoto wa mtu kama nimetorosha mwanafunzi. Kaptula ndefu wanatenga mtoto kama akijiamulia kwenda upande mqingine sasa nikaona nisusiwe mtoto wa watu jw likitokea tatizo ambalo wao ndo wanajua ufumbuzi wakeeeee?Hamkuwa tu na maelewano
Dini mkaiona ni sababu
Ndoa ni maridhiano si dini
Ok mkuu. Ni mitizamo tuDini nakubaliana na wewe, lakini kabila, No! Najitolea mimi mfano.
Hamna mwarabu wa ovyo nimesoma nao nakuambia hivi nimekaa na jamii izo nazitambua snaa Labda kwa upande wa wanawake ila wanaume mmoja wapo ni rafiki yangu damu kabisa ni daktari mkubwa wa upasuaji.Uko mbali na ukweli, mtu anasoma IST unategemea atakuwa kilaza?
Naongelea hawa Waarabu wa buguruni Madenge kama sisi.
Mimi maoni yangu ni vizuri kuoana mkiwa na imani moja mambo ya kabila sijui nini si lazima sana,mkatoliki aoane na mkatoliki mwenzake,msabato pia,mlokole halikadhali hii inaimarisha upendo sanaUshauri wangu kwa vijana
Oa au olewa na mtu wa dini yako
Oa au olew na mtu wa kabila lako.
Daima utajanishukuru
Narudia
Oa au olewa na mtu wa dini yako
Oa au olewa na mtu wa kabila lako.
Utakuja nishukuru
Ishu sio kutenga je akifa atazikwa vip? Kwa taratibu za dini gan?Nilipima nikaona siwez ishi na mtoto wa mtu kama nimetorosha mwanafunzi. Kaptula ndefu wanatenga mtoto kama akijiamulia kwenda upande mqingine sasa nikaona nisusiwe mtoto wa watu jw likitokea tatizo ambalo wao ndo wanajua ufumbuzi wakeeeee?
Ok mkuu. Ni mitizamo tu
Ila mimi nina uhalisia wake, maana naishi maisha hayo
Ungempa mimbaNilipima nikaona siwez ishi na mtoto wa mtu kama nimetorosha mwanafunzi. Kaptula ndefu wanatenga mtoto kama akijiamulia kwenda upande mqingine sasa nikaona nisusiwe mtoto wa watu jw likitokea tatizo ambalo wao ndo wanajua ufumbuzi wakeeeee?
EndeleeniUsidanganywe na mtu yeyote, kwenye primitive society kama Tanzania dini ni factor kubwa sana, ni mapenzi ndio yanatiaga watu upofu tu.
Ni either mwanamke abadili dini akufuate imani yako (ndivyo inavyotakiwa iwe) au mwanaume ufuate dini ya mwanamke ( uzuzu huu)
Mnaoana wakatoliki wote, baadaye Mme hajulikani lini alienda kanisani mke naye anahamia kawe ha ha haMimi maoni yangu ni vizuri kuoana mkiwa na imani moja mambo ya kabila sijui nini si lazima sana,mkatoliki aoane na mkatoliki mwenzake,msabato pia,mlokole halikadhali hii inaimarisha upendo sana
Ama dini moja ila hamko compatible hata kuwasiliana hamuweziMnaoana wakatoliki wote, baadaye Mme hajulikani lini alienda kanisani mke naye anahamia kawe ha ha ha