Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,752
- 2,282
Itakuwa ni vyema AZAM akadhamini ligi kuu ya TANZANIA halafu timu zinazoshiriki zirudi kama zamani, ziwe timu ishirini [ 20 ].Kampuni ya Mawasiliano Vodacom imelitaarifu Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania Kuwa haina nia ya kuendelea kuidhamini ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama Vodacom Premier League ikitoa sababu ya mwenendo mbaya wa Biashara.
Ni uchumi? Bwana Bakhresa kayatoa kwenye uchumi upi mabilioni atakayoyaweka kwenye Mpira?
Sio bango ishu ni tittle ya ligi itabadilika na kuwa TBL premier league..na nimesema inasemekana Azam aliweka figisu kidogo ili TBL wasipewe ligi..sikumaanisha kuwa ana uwezo 100pc wa kuzuia.Ndiyo nasema mbona Azam tv huonesha mechi za hao jamaa, sasa atazuiaje TBL kuweka bango lake uwanjani?
Simba na yanga wana sportpesa (betting, haramu) lakin mechi zao anaonesha!
May be Azam anataka logo yake ndio iwe kifuani pia (who knows) ili atangaze biashara zake vizuri zaidi.
Mkuu nyakubonga na Josh J bado sijatulia...nakuja na maoni yangu wakuuNasubri uchambuzi wako kwenye hili.
Uko sawa, kuna watu walifurahia mkataba bila kuangalia side B, wacha movie liendeleeWale wote waliosherekea bakhresa kuzamisha billion 225,
Wajiandae na msiba wa vifurushi,
JAMAA keshaanza tayari,
Lazima atafute namna ya kurudisha ile pesa yake.
Hao Tff watoe sasa huo mpunga mrefuKama sikosei, wiki chache zilizopita iliandikwa magezetini kwamba mwaka huu Vodacom wasingetoa gawio bila shaka kutokana na faida kiduchu waliyokuwa wamepata!
Sasa ukichanganya na mzigo uliowekwa na Azam, si ajabu TFF walitaka mzigo unaoeleweka kutoka Vodacom na sio ule wa mshindi kupata vimilioni vingapi sijui!
Ukichanganya yote hayo, unashauriwa usione aibu kutoka nduki kama kupigana ngumi huwezi manake kila siku wanaodhalilika na kichapo ni wale wanaoona aibu kutimua mbio.
Mkuu kwani wewe ni mgeni na Watanzania? Watanzania ni mabingwa wa kulisha watu maneno na kila kitu watu wanakijua juzi tu hapa walisema mtu ukidhamini ligi ya bongo unapata faida lukuki leo mtu anajitoa anapata hasara!!!!!Ndiyo nasema mbona Azam tv huonesha mechi za hao jamaa, sasa atazuiaje TBL kuweka bango lake uwanjani?
Simba na yanga wana sportpesa (betting, haramu) lakin mechi zao anaonesha!
May be Azam anataka logo yake ndio iwe kifuani pia (who knows) ili atangaze biashara zake vizuri zaidi.
Badilisheni menejimenti,nyie ndo wamiliki.Hata gawio la mwaka huu wametudhulumu.
Tff kawasikiliza wapiga domo kuwa pesa ya Azam ni kiduchu sasa anasubiri mwenye mpunga mkubwaHao Tff watoe sasa huo mpunga mrefu
basi jamaa atapiga hela sio anapiga helaVing'amuzi na Vifurushi ndio vinarudisha hela
Ligi ilipo sasa,sajili na ushiriki club bingwa hela ya voda ni ya madafu aende tu akazamini ndondo cupKorona hiyo
Voda hawataki kudhamini watu kujiambukiza makusudi viwanjani
Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
Ila ya vizuia mimba yapo, maajabu hayatakaa yaishe kwenye hii duniaMechi za Taifa stars zinaonyeshwaga na Azam?..yaani Tff ana mkataba wa kudumu na Azam wa kuonyesha games na other contents za Taifa Stars??..
Ulishawahi kuona matangazo ya bia au kamari kwenye channel mama za Azam?
Wanapata fursa ya milage mkuuAzam anakula vipi hela za bure?
Wanapata fursa ya milage mkuu
So in return wanapata wateja wengi wa product za bakhresa
Nani kaipandisha?Ndio wapewe 10yrs subscription right?
Na league yetu haijaipandisha azam?
Ila JamiiForums kwa maneno, sijui huwa mnayatoaga wapi tu πππHuyu boss wa mabox nayeye yuko kwenye kitete kama cha vodacom[emoji23][emoji23].
Hawa ndio wakina Hamduni na wakina Mwamedi! Wao hata mabasi wanagongea, ilmradi waonekane wana hela tu πππHuyu boss wa mabox nayeye yuko kwenye kitete kama cha vodacom[emoji23][emoji23].
Kazi yao ni kudoea doea tu vitu vya watu! Wakipata sasa! Utawasikia mpaka Forbes ππHuyu boss wa mabox nayeye yuko kwenye kitete kama cha vodacom[emoji23][emoji23].