Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Wordsasa mkuu mtu kashaweka bil 257, ina maaana ligi imepanda! anaekuja anatakiwa kuweka juu ya hapo sio chini tena, vodacom anatoa mil 80 ela ambayo hata wewe unaipata! tunatamani wengine waje pia kuwekeza watu wapate mishahara mizito