Uchumi unaanguka, Rais Samia aambiwe ukweli

Uchumi unaanguka, Rais Samia aambiwe ukweli

Unasumbuliwa na chuki binafsi na pengine hata hujielewi..

Rais Samia katoa maelekezo ya maji yaliyokuwa yaishie Kigamboni yaje Dar(mradi mpya?,

Samia katoa maelekezo ya wahusika wote wanaochepusha maji mto Ruvu washughulikiwe,

Samia ndio anajenga Bwawa la kidunda (lilishindikana toka uhuru),

Samia ndio anajenga Bwawa la farkwa Dodoma(likikuwa story toka uhuru),

Samia ndio anajenga miradi ya maji ya miji 28 Tanzania nzima(ilikuwa hadithi awamu ya 5),

Samia ndio amejenga miradi ya uviko ya Maji Nchi nzima zaidi ya bil.320 na Sasa kupitia Ruwasa anajenga zaidi ya miradi 1000 Nchi nzima(wenye mbupu mlishindwa),

Samia amekwamua miradi iliyojifia toka 2010 sasa anaikwamua..

Samia anajenga mabwawa makubwa Mikoa acha hayo hapo juu zaidi ya 13 Ili kufanya umwagiliaji na matumizi ya kawaida.

Kiufupi Rais Samia ndio game changer wa Tanzania hii ila nyie wapumbavu mliozea kupelekwa kama punda hamjui kinachofanyika kwa sababu hamtafuti taarifa na Rais wa Sasa hana mda wa pambio..

Uchaguzi ukija mkiangukia pua ndio mtaanza kulalama ooh sijui tumeibiwa ooh blaa blaa kibao za kipumbavu..

Sasa iko hivyo sekta zote kuanzia umeme ,kilimo,hadi Michezo 👇
Kumbe upo kwwenye kampeni za kuuza mbuzi ndani ya gunia?
Halafu ndani ya gunia hilo umeweka uchafu wenye harufu ya "kinyesi cha 'Skunk', unadhani ni mtu gani mwenye akili atanunua huyo mbuzi feki.

Hopeless Kabisa!

Kuwategemea tu watu kama wewe kumuuza ni alama tosha kabisa kwamba hana uwezo wa kuongoza nchi.
 
Kumbe upo kwwenye kampeni za kuuza mbuzi ndani ya gunia?
Halafu ndani ya gunia hilo umeweka uchafu wenye harufu ya "kinyesi cha 'Skunk', unadhani ni mtu gani mwenye akili atanunua huyo mbuzi feki.

Hopeless Kabisa!

Kuwategemea tu watu kama wewe kumuuza ni alama tosha kabisa kwamba hana uwezo wa kuongoza nchi.
Endelea kulalamika ukimaliza utakuta mambo yananoga kama hivi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221102-131323.png
    Screenshot_20221102-131323.png
    55.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221102-131422.png
    Screenshot_20221102-131422.png
    55 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221102-131224.png
    Screenshot_20221102-131224.png
    221 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221102-131244.png
    Screenshot_20221102-131244.png
    158.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221102-131134.png
    Screenshot_20221102-131134.png
    179.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221102-131206.png
    Screenshot_20221102-131206.png
    122.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221102-131149.png
    Screenshot_20221102-131149.png
    112 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221102-131035.png
    Screenshot_20221102-131035.png
    173.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221102-130800.png
    Screenshot_20221102-130800.png
    105.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221102-130718.png
    Screenshot_20221102-130718.png
    151.9 KB · Views: 2
Sasa with those matatizo ndio kwamba uchumi unaangukia?

Lini uchumi haukuanguka and so matatizo yaliisha?

Acha upuuzi Jenga hoja yako Kwa namna inayofaa sio kupinga Pinga kwa kuunga unga vipisi vya ujinga ujinga..

Uchumi ungeanguka makampuni makubwa yangepata faida? Banks zingeoata faida? Si ungesikia bad loans na vilio vya Biashara kufungwa?

Sema serikali ipunguze matumizi yasiyo na msingi badala ya kuunga unga upuuzi hapa 👇

View attachment 2403896View attachment 2403898View attachment 2403900View attachment 2403901View attachment 2403902View attachment 2403903
Hata wakati wa mwendazake tuliaminishwa faida kubwa na makampuni yakawa yanalipa gawio kwa serikali!
Suala la mbolea lime- siasanishwa. Mbolea ya ruzuku iko wapi? Nilisikia redioni madiwani huko Misenyi wanalalamika mbolea hakuna, afisa kilimo anasema ameambiwa mbole itakuja, msimu wa kupanda mahindi na maharage unaisha.
Bei ya mbolea mfuko wa kilo 50 shs 200,000; wakulima sasa wananunua kwa kilo moja moja kwa shs 4,000.
Ndugu yangu yaliyoko on the ground yanatisha - maneno mazuriii
 
Hata wakati wa mwendazake tuliaminishwa faida kubwa na makampuni yakawa yanalipa gawio kwa serikali!
Suala la mbolea lime- siasanishwa. Mbolea ya ruzuku iko wapi? Nilisikia redioni madiwani huko Misenyi wanalalamika mbolea hakuna, afisa kilimo anasema ameambiwa mbole itakuja, msimu wa kupanda mahindi na maharage unaisha.
Bei ya mbolea mfuko wa kilo 50 shs 200,000; wakulima sasa wananunua kwa kilo moja moja kwa shs 4,000.
Ndugu yangu yaliyoko on the ground yanatisha - maneno mazuriii
Mwendazake alikuwa anafanya maigizo saizi hakuna hiyo..Wewe umesikia wapi maduka yanafungwa au watu kuporwa pesa?

Saizi hakuna gawio ila tunakuonyesha namba Halisi Kama hizi👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221102-131428.png
    Screenshot_20221102-131428.png
    36.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221102-131422.png
    Screenshot_20221102-131422.png
    55 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221102-131244.png
    Screenshot_20221102-131244.png
    158.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221102-131224.png
    Screenshot_20221102-131224.png
    221 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221102-131134.png
    Screenshot_20221102-131134.png
    179.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221102-130800.png
    Screenshot_20221102-130800.png
    105.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221102-131206.png
    Screenshot_20221102-131206.png
    122.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221102-130931.png
    Screenshot_20221102-130931.png
    144.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221102-130718.png
    Screenshot_20221102-130718.png
    151.9 KB · Views: 1
Mlima kilimanjaro unateketea sisi tunapaisha Ndege na karatasi ya sensa.

Mtungi wa gesi mdogo 24, 000 mazuzu yanakushangilia tu.

Gunia la Mahindi leo linauzwa 100,000. Maharage 200,000 yaani ni mfumuko wa bei juu ya mfumuko wa bei.

Maji yamekuwa adimu Sana utafikiri unatafuta gold kwenye mgodi wa Nyamongo.

Umeme leo umekuwa anasa mjini dsm ukiongeza na joto limefika 33c hapo hakuna feni Wala AC ni mwendo wa kuungua ndani kwa ndani.

Rais ashauliwe kama hataki aambiwe ukweli aachane na mambo ya anasa afanye mambo ya msingi tu.

Tumeshindwa kuomba msaada wa kuzima moto mlima kilimanjaro?

Msitu wa amazon ulipoungua hatukujifunza?

Hii nchi now awamu ya sita kipaumbele chake ni vijisherehe na kusafiri tu sio kutoa Huduma za msingi kwa watanzania.

Serikali ya kifisadi kuliko zote toka tupate uhuru mnachota tu pesa na walala hoi na kuzipeleka kwenye mambo ya kipumbavu.

Hakika huu mchongo tumepigwa Watanzania.
Kuna price flactuation Dunia nzima kwa Sasa, si ulaya, Africa wala Asia na hii imetokana zaidi na mfumuko wa bei kwene soko la Dunia ndo Maana kila nchi inalalamika bei ya vitu kupanda Sana hili si la Tanzania peke ake.... Bei ya vitu kupanda (price flactuation) si kigezo cha kushuka wala kupanda kwa uchumi wa nchi husika,kama ujui uchumi usiandike vitu hujui.....
 
Ni hajabu nchi Ina vyanzo vingi vya maji afu inasubir kudra za mwenyezi mungu akati Egypt wanategema maji kutoka kwetu na hawategemei kudra
 
Ni hajabu nchi Ina vyanzo vingi vya maji afu inasubir kudra za mwenyezi mungu akati Egypt wanategema maji kutoka kwetu na hawategemei kudra
Watu kama wamerogwa hao Ethiopia wamejenga dam kubwa kwenye maji yanayotoka Ziwa Victoria wakati sisi pana maeneo mengi karibu na Ziwa hakuna maji huko Wami na mto kilombero maji yanapotea tuu wao wapo busy na Ruvu huku maeneo mengine tukiyaacha maji bila kazi yeyote na kutegemea Mvua..
 
Watu kama wamerogwa hao Ethiopia wamejenga dam kubwa kwenye maji yanayotoka Ziwa Victoria wakati sisi pana maeneo mengi karibu na Ziwa hakuna maji huko Wami na mto kilombero maji yanapotea tuu wao wapo busy na Ruvu huku maeneo mengine tukiyaacha maji bila kazi yeyote na kutegemea Mvua..
Kauli za kusema tunategemea kudra ni kama 2naishi miaka ya BC vyanzo vya maji havina kazi yoyote apa kwetu
 
Kauli za kusema tunategemea kudra ni kama 2naishi miaka ya BC vyanzo vya maji havina kazi yoyote apa kwetu
Maji kipindi cha mvua yanaleta hadi madhara baada ya miezi sita tunalalamika ukame wakati huko Somalia wana miaka kadhaa hawajaona mvua sisi tunashindwa kutumia bongo zetu vizuri siasa tumeweka mbele..
 
Sema Bongo mkuu wana matumizi hayaendani na hali ngumu ya Uchumi wa Dunia ingawaje maisha yamekua magumu mpaka huko Duniani..
Hii ndio point ya kujadili.Mfano hadi Keshokutwa wanaoitwa wakuu wa Idara, taasisi nk wanagharamiwa nyumba,umeme,maji,simu,magari,mafuta nk yet Wana posho na salary kubwa wakati Nchi zingine wanafuta au kupunguza hayo matumizi yasiyo na msingi.👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221018-214234.png
    Screenshot_20221018-214234.png
    158.8 KB · Views: 3
Hii ndio point ya kujadili.Mfano hadi Keshokutwa wanaoitwa wakuu wa Idara, taasisi nk wanagharamiwa nyumba,umeme,maji,simu,magari,mafuta nk yet Wana posho na salary kubwa wakati Nchi zingine wanafuta au kupunguza hayo matumizi yasiyo na msingi.👇
Hili jambo hua linanishangaza sana ya mbunge mshahara mkubwa posho kubwa bado anapewa huduma bure pesa zake za Nini waziri mishahara miwil na posho mbili bado anapewa pesa adi ya mafuta akat watu wana mshahara kama posho moja ya mbunge na wanajigharamia kila kitu
 
Mchele mzuri kilo 2800
Maharage kiko 3000
Vifurushi ghali
Unga kilo 2000
 
Tayari mshakwaa kisiki kwa kuumbuka..

Ukimueleza mkeo huo upuuzi wako ndio atakuelewa maana unamlisha.
"Kwaa kisiki kwa kuumbuka" juu ya kitu gani?
Wewe unayelishwa kwa kujaza takataka siku nzima humu JF ni mke wa mtuanayekulisha?
 
Mlima kilimanjaro unateketea sisi tunapaisha Ndege na karatasi ya sensa.

Mtungi wa gesi mdogo 24, 000 mazuzu yanakushangilia tu.

Gunia la Mahindi leo linauzwa 100,000. Maharage 200,000 yaani ni mfumuko wa bei juu ya mfumuko wa bei.

Maji yamekuwa adimu Sana utafikiri unatafuta gold kwenye mgodi wa Nyamongo.

Umeme leo umekuwa anasa mjini dsm ukiongeza na joto limefika 33c hapo hakuna feni Wala AC ni mwendo wa kuungua ndani kwa ndani.

Rais ashauliwe kama hataki aambiwe ukweli aachane na mambo ya anasa afanye mambo ya msingi tu.

Tumeshindwa kuomba msaada wa kuzima moto mlima kilimanjaro?

Msitu wa amazon ulipoungua hatukujifunza?

Hii nchi now awamu ya sita kipaumbele chake ni vijisherehe na kusafiri tu sio kutoa Huduma za msingi kwa watanzania.

Serikali ya kifisadi kuliko zote toka tupate uhuru mnachota tu pesa na walala hoi na kuzipeleka kwenye mambo ya kipumbavu.

Hakika huu mchongo tumepigwa Watanzania.
Gunia la mahindi Moshi 150,000.
 
Hicho kikaratasi cha sensa kwenye helicopta mimi ndio kimeniacha hoi, na ukiambiwa bajeti yake utazimia
 
Back
Top Bottom