Uchumi unaanguka, Rais Samia aambiwe ukweli

Ukisoma ukichoandika utagundua unayeandika pumba ni wewe. Kwa Sababu unauza bei kubwa anayeteseka ni wanunuzi unataka kusema ili kumpaisha mwingine lazima mwingine aumie?
 
Hii sio awamu ya sita ni awamu ya tano b
 
Ukisoma ukichoandika utagundua unayeandika pumba ni wewe. Kwa Sababu unauza bei kubwa anayeteseka ni wanunuzi unataka kusema ili kumpaisha mwingine lazima mwingine aumie?
Acha upumbavu. Unataka ukalishe matako hapo watu wakakulimie uje ununue kwa bei unayotaka bila kujali gharama mkulima alizotumia? Acha kufikiria kwa kutumia tako.
 
Huna hoja utafura hadi kaburini ila tupotupo Sana.
Uko 'desperate' sana kutokana na takjataka unazojaza hapa kila siku.
Hii ni ishara tosha kwamba huna siku nyingi za maisha. Kwa hiyo kaburi lipo tayari kwako. Hayo matumaini ya "kuwepo sana" ni ndoto tu za watu kama wewe.
 
Uko 'desperate' sana kutokana na takjataka unazojaza hapa kila siku.
Hii ni ishara tosha kwamba huna siku nyingi za maisha. Kwa hiyo kaburi lipo tayari kwako. Hayo matumaini ya "kuwepo sana" ni ndoto tu za watu kama wewe.
Mambo ni fire ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ, uchumi unazidi kupaa SSH na Mwigulu wanazidi kuwaaibisha ๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221103-112624.png
    75.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221103-223417.png
    36.1 KB · Views: 2
Huyu mama mpaka sasa inatosha ni muda wake wa kwenda kulea wajukuu sasa
 
Mambo ni fire ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ, uchumi unazidi kupaa SSH na Mwigulu wanazidi kuwaaibisha ๐Ÿ‘‡
Ni wapumbavu tu wanaodhani uchumi ukipaa ni wa hao uliowataja hapo na kusahau kwamba ni kazi za waTanzania wenyewe zinazofanikisha uchumi huo.
In fact, isingekuwa hujuma za hao wanaokupeleka chooni kila siku na kujaza takataka juu yao humu, waTanzania wangekuwa juu zaidi kiuchumi.
 
Sasa ulitaka kazi za nani zifanikishe ukuaji wa uchumi? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜..

Ununuzi wa Magari umeongezeka na Serikali imevuna mabilioni ya kodi ๐Ÿ‘‡

๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221102-180353.png
    154.1 KB · Views: 2
Sasa ulitaka kazi za nani zifanikishe ukuaji wa uchumi? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜..

Ununuzi wa Magari umeongezeka na Serikali imevuna mabilioni ya kodi ๐Ÿ‘‡

๐Ÿ‘‡
Kwa hiyo wewe hujui ni nani anayefanikisha ukuaji wa uchumi?

Hao unaowaimba hapa ndiyo kikwazo kikuu cha uchumi wa waTanzania kuimarika kwa hujuma mbalimbali wanazozifanya dhidi ya juhudi za waTanzania wenyewe.
 
Kwa hiyo wewe hujui ni nani anayefanikisha ukuaji wa uchumi?

Hao unaowaimba hapa ndiyo kikwazo kikuu cha uchumi wa waTanzania kuimarika kwa hujuma mbalimbali wanazozifanya dhidi ya juhudi za waTanzania wenyewe.
Una kichwa kigumu na mzigo Sana kuelewa..

Wewe ulikuwa Unapinga kwamba uchumi haukui na unakubalina na mtoa mada Kwamba uchumi unadorora ndio nikaanza kukuletea facts moja baada ya nyingine sasa sijui unaongea nini tena.
 
Una kichwa kigumu na mzigo Sana kuelewa..

Wewe ulikuwa Unapinga kwamba uchumi haukui na unakubalina na mtoa mada Kwamba uchumi unadorora ndio nikaanza kukuletea facts moja baada ya nyingine sasa sijui unaongea nini tena.
Wewe ni mpumbavu kweli, ni wapi uliposoma nimeeleza hayo unayoweka hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ