Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Habari za kuikaribisha wikiendi....na poleni na majukumu ya kutwa nzima na wiki nzima.
Kichwa cha uzi ni usemi uliovuma sana miaka hiyoo niko jeshini...na waliotamka usemi huo walikuwa na maana tofauti tofauti.
Tukichukulia kama sentensi ilivyo, mtu anashangaa unakuwaje masikini wakati umezungukwa na bahari,mito,maziwa,misitu yenye wanyama kama vivutio,milima, madini, ardhi yenye rutuba na kustawi mazao mengi...haingii akilini unakuwaje masikini na kula ya wananchi wa nchi husika ni ya sintofahamu....
Wanawake...ilikuwa fumbo kwao, utasikia mtu anamwambia mwanamke, unalia lia shida wakati uchumi unao na umeukalia.....
Siku hizi siusikii huu usemi, nimekumbuka zamani.
Kwa wale wahenga wenzangu, wewe unafahamu maana ipi?
Kasinde
Kichwa cha uzi ni usemi uliovuma sana miaka hiyoo niko jeshini...na waliotamka usemi huo walikuwa na maana tofauti tofauti.
Tukichukulia kama sentensi ilivyo, mtu anashangaa unakuwaje masikini wakati umezungukwa na bahari,mito,maziwa,misitu yenye wanyama kama vivutio,milima, madini, ardhi yenye rutuba na kustawi mazao mengi...haingii akilini unakuwaje masikini na kula ya wananchi wa nchi husika ni ya sintofahamu....
Wanawake...ilikuwa fumbo kwao, utasikia mtu anamwambia mwanamke, unalia lia shida wakati uchumi unao na umeukalia.....
Siku hizi siusikii huu usemi, nimekumbuka zamani.
Kwa wale wahenga wenzangu, wewe unafahamu maana ipi?
Kasinde