cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Ndio jakaya aliona foleni ya magari akasema ni maendeleo kumbe ni miundombinu hajatengenezwa vizuri kulingana na idadi ya watu pia foleni kubwa inaonyesha tuna ufikiri mdogo wa kutatua changamoto. Sasa hii imehamia Kwa frameUingereza kuna maduka mengi,ukiona hivo mzunguko wa hela umeongezeka.Acha wajenge frem tyu.