Uchumi wa Frame Tanzania

Uchumi wa Frame Tanzania

Nadhani ni hali ngumu ya maisha na uwezo mdogo wa kufikiri maana ilatela ukakasi sana yaani hata hospitali na maeneo mengine nyeti yamejaa mafremu, nadhani kama tungekuwa smart kama wenzetu huko walikoendelea tungewekeza kwenye nyumba nzuri za kuishi ingekuwa kitu cha msingi sana maana hali ya makazi yetu kwa ujumla ni duni sana lakini fremu kaliiiii, utakuta jamaa anakaa chumba kimoja mbavu za mbwa lakini salon anayofanya kazi nzuri kinoma kiasi kwamba akifika kazini kwake analala tu usingizi kwa jinsi palivyo bomba. Nadhani watu waelimishwe kujenga apartments nzuri za gharama nafuu inaweza kuwa suluhu ya TANZANIA YA FREMU aka tozonia
Ni shida! Hospitali ya Mirembe kule Dodoma na wenyewe wamejenga fremu mbaya. Badala wawekeze katika kuboresha hosipitali yao ambayo ni ya taifa kwa masuala ya akili, wanajenga fremu kama za wapigaji wa CCM. Stupid.
 
Nimejikuta nacheka mwenyewe, hilo mimi nililoona miaka ya 2012 maeneo ya mbezi , frame kibao hadi leo na hazijaonekana kuwa na watu ,tatizo ni watu kupata mikopo na hawajui wafanye nini, kumbuka wanaojenga sana frame wengi ni wafanyakazi hawana mawazo ya kibiashara na hawana experience na biashara, ndio maana maisha yanakuwa magumu sana kwa wafanyakazi
 
Bora magereza wanavozalisha vinaonekana, Sasa hizi frame zinadhihirisha kuwa uchumi wetu ni WA uchuzi wa bidhaa za kichina, ni heri wangekuwa wanaanzisha hata viwanda vingetoa ajira sio hivi frame ni nyingi kuliko wateja. Ningekuwa na mamlaka ningeagiza zivunje hivi ni nchi Gani Haina mpangilio Kila corner ni frame tu
Viwanda ni sera ya nchi kama serekali imeshindwa kuwa na sera mathubuti kwenye viwanda binafsi siwez walaumu watu binafsi wanao-fungua frem
 
Kali kuliko Yote ni kitendo cha JW kuachana na project za kutunza mazingira na wao wa kubebwa na muhemuko ya Uchumi wa Fremu , wamepafyeka pale Lygalo kama mtu aliyetoka kusafisha sehemu zake za siri, pamebaki pameachama tu pakisubiri wapangaji wakapange ili waendeleze Uchuni wa Fremu.
Halafu utashangaa hicho ni chanzo cha mapato cha watu wachache humo JW,ukienda utakuta hata mtririko wa kuyaacknowledge na matumizi ya hayo mapato haupo ama unajulikana kwa wachache.
 
Hahahahah alafu washenzi kwer wakishaona lami wanajua kunakazi hawajui ugumu tunaopitia kupata iyo Kodi unapigwa na jua kutoka asbh mpk usiku alafu una ata chuma yakueleweka duh
[emoji2][emoji2] na wenye frame Sasa wanapenda kudai Kodi bila kujali wafanya biashara au lah, wao Yao iingie tu
 
Viwanda ni sera ya nchi kama serekali imeshindwa kuwa na sera mathubuti kwenye viwanda binafsi siwez walaumu watu binafsi wanao-fungua frem
Siwalaumu ila zitakosa soko heri wawe wabunifu wa kitu kingine maana bongo watu huiagana na bidhaa kujaa sokoni na demand inashuka. Heri kujenga vi apartments simple lazima vipate wateja maana pakulaza mbavu ni muhimu kuliko hyo frame na ukichangia waweza fanyia biashara online vile vile
 
Ni shida! Hospitali ya Mirembe kule Dodoma na wenyewe wamejenga fremu mbaya. Badala wawekeze katika kuboresha hosipitali yao ambayo ni ya taifa kwa masuala ya akili, wanajenga fremu kama za wapigaji wa CCM. Stupid.
[emoji2][emoji2][emoji2] Hadi mirembe hospital nao wamejenga frame?
[emoji2][emoji2] Sasa hospital si iboreshe huduma zake frame za Nini jamani
 
Siwalaumu ila zitakosa soko heri wawe wabunifu wa kitu kingine maana bongo watu huiagana na bidhaa kujaa sokoni na demand inashuka. Heri kujenga vi apartments simple lazima vipate wateja maana pakulaza mbavu ni muhimu kuliko hyo frame na ukichangia waweza fanyia biashara online vile vile
Assume ndo wewe kwa sahiv ungefanya biashara ipi
 
Ila zile Fremu za pale Lugalo kwa kweli watu wapo agaunst Jeshi, na aletoa lilewazo aoromoshe veo vake vote. Hizo habari za Fremu zilipaswa kuishia kwenye kuta za Makongo Sekindari, lakuni
Wanannchi tuungane tupinge ule ufedhuli unaofanyika pale lugalo... Tupaze sauti .......
 
Wavunje tu zile frame ni aibu, ila taifa letu sijui tuna shida gani every corner frame heri hata zenji Wana uchumi wa blue huku Tanganyika ni uchumi wa frame
Mkuu hebu anzisha uzi kuhusu frem za pale lugalo... Zivunjwa mara moja.. Na ule uoto wa asili urejeshwe... Ni aibu ya karne..

RAis tunaomba ingilias kati... Kambi za jeshi zimegeuzwa mabaaa na makumbi ya starehe...
 
[emoji2][emoji2][emoji2] Hadi mirembe hospital nao wamejenga frame?
[emoji2][emoji2] Sasa hospital si iboreshe huduma zake frame za Nini jamani
We acha tu. Wangepafanya pawe na hadhi ya hospitali ya taifa, wamekimbilia kujenga fremu. Fremu zenyewe mpaka uzifikie sasa, unapanda ngazi kama za kwenda jehanam. Kuwa Mtz kazi jamani.
 
We acha tu. Wangepafanya pawe na hadhi ya hospitali ya taifa, wamekimbilia kujenga fremu. Fremu zenyewe mpaka uzifikie sasa, unapanda ngazi kama za kwenda jehanam. Kuwa Mtz kazi jamani.
[emoji2][emoji2][emoji2] watanzania hatutaki kuchosha bongo zetu na huyo aliyebuni Hilo wazo analipwa hela nyingi tu Tena kujenga frame sehemu iliyo mbaya. Hakika tumerogwa Sasa hyo mirembe ijitoe Sasa kwenye huduma za hospital imehamie biashara
 
[emoji2][emoji2][emoji2] watanzania hatutaki kuchosha bongo zetu na huyo aliyebuni Hilo wazo analipwa hela nyingi tu Tena kujenga frame sehemu iliyo mbaya. Hakika tumerogwa Sasa hyo mirembe ijitoe Sasa kwenye huduma za hospital imehamie biashara
Tuna uvivu sana. Unakuta mtu yupo kwenye biashara miaka 30+ eti leo na yeye anajenga fremu akodishie watu. Aibu!
 
[emoji2][emoji2] na wenye frame Sasa wanapenda kudai Kodi bila kujali wafanya biashara au lah, wao Yao iingie tu
Hivi ushirikiano ungekuapo apo awali situngegoma wapangaji ili haki zetu zilindwe sasa walivyokua waoga ukipewa notice mtu hajui kuisimamia haki yake sasa cjajua pale lugalo maana hawanaga masiala mwendo wa Sheria tu😂😂😂
 
Back
Top Bottom