Ndio jakaya aliona foleni ya magari akasema ni maendeleo kumbe ni miundombinu hajatengenezwa vizuri kulingana na idadi ya watu pia foleni kubwa inaonyesha tuna ufikiri mdogo wa kutatua changamoto. Sasa hii imehamia Kwa frameUingereza kuna maduka mengi,ukiona hivo mzunguko wa hela umeongezeka.Acha wajenge frem tyu.
Biashara za kuigana,pale Usangi kila mstaafu ananunua Noah,Noah zimekua nyingi kuliko abiriaNdio jakaya aliona foleni ya magari akasema ni maendeleo kumbe ni miundombinu hajatengenezwa vizuri kulingana na idadi ya watu pia foleni kubwa inaonyesha tuna ufikiri mdogo wa kutatua changamoto. Sasa hii imehamia Kwa frame
[emoji2][emoji2][emoji2] watanzania tuna shida kubwa mkiigana Sasa hata biashara haifanyiki Tena soko linafurika kuliko maelezo.Biashara za kuigana,pale Usangi kila mstaafu ananunua Noah,Noah zimekua nyingi kuliko abiria
Sasa ulitegemea form four failures wafanyeje, unapaswa kuwapongeza kwa hiyo hatua, maana ninapowaona wakifanya mazoezi na moto uwanjani kama Watoto huwa nasikitika sana.Nchi hii watanzania wanapenda kuigana pia fremu ni ujinga na kipimo duni, mie kilichonichosha zaidi Hadi jwtz Lugala walikata ile miti mingi wakajenga frem hii ni aibu hivi jeshi kweli ubunifu umeishia kujenga frem tu wakati Kwa wenzetu majeshi huongoza ubunifu na hizo frem wanazojenga vipi ma jasusi wa nchi jirani wakikodi Kwa masilahi ya uchunguzi.
In short nchi hii watu wanatumia asilimia Moja ya ubongo kufikiria
[emoji2][emoji2] sijui kwanini vyombo vyetu vya ulinzi hupenda kuajiri failures zaidi Sasa ndio unaona matokeo yaoSasa ulitegemea form four failures wafanyeje, unapaswa kuwapongeza kwa hiyo hatua, maana ninapowaona wakifanya mazoezi na moto uwanjani kama Watoto huwa nasikitika sana.
Na hizo fremu zimekuwa nyingi kuliko wateja, mtu anuza elfu saba kwa siku!Biashara za kuigana,pale Usangi kila mstaafu ananunua Noah,Noah zimekua nyingi kuliko abiria
Inatakiwa ubunifu,biashara za kuiga zilimponza mtu Fulani,kaona mwenzake kavuna tikiti nae akazama,amekula hasara ya kufa mtuNa hizo fremu zimekuwa nyingi kuliko wateja, mtu anuza elfu saba kwa siku!
Eti wanasema wanahitaji nguvu nyingi kuliko akili....likitokea la kutokea (mfano hamza) yanageuka askali wa Urusi (kufa kama nzige)[emoji2][emoji2] sijui kwanini vyombo vyetu vya ulinzi hupenda kuajiri failures zaidi Sasa ndio unaona matokeo yao
Dunia ya Sasa akili ni muhimu kuliko nguvu ya ugali wa udaga kwenye kufanya mamboEti wanasema wanahitaji nguvu nyingi kuliko akili....likitokea la kutokea (mfano hamza) yanageuka askali wa Urusi (kufa kama nzige)
Uchumi unapanda kwa kasi kama ni pori wakurungwa watavamia sio mda na kutachangamkaHadi lugalo wamefyeka ile miti na kujenga frame hivi walifanya kwanza tafiti namwomba Rais awaambie wavunje ule uchafu ni aibu Kwa jeshi kuwa na frame chafu za kijanjaa hivo ni aibu
Halafu watanzania sehemu Ina miti wanafyeka yote hawajui umuhimu wa miti au shule walienda kukua. Mazingira safi Wana fyeka na kuweka frame hivi kwanini mipango Miji wasiwe na Sheria Kila raia apande miti ku save mazingiraUchumi unapanda kwa kasi kama ni pori wakurungwa watavamia sio mda na kutachangamka
Inasikitisha sana... yani ukipita pale Lugalo ni aibu tupuuu... Uoto wa asili umeondolewa , miti imekatwa... Nyumba za jeshi magorofa yapo wazi yanaonekana... kikosi cha 34 kipo wazi ......aibu aibu...Nchi hii watanzania wanapenda kuigana pia fremu ni ujinga na kipimo duni, mie kilichonichosha zaidi Hadi jwtz Lugala walikata ile miti mingi wakajenga frem hii ni aibu hivi jeshi kweli ubunifu umeishia kujenga frem tu wakati Kwa wenzetu majeshi huongoza ubunifu na hizo frem wanazojenga vipi ma jasusi wa nchi jirani wakikodi Kwa masilahi ya uchunguzi.
In short nchi hii watu wanatumia asilimia Moja ya ubongo kufikiria
Hii ni aibu... Uzuri wa Lugalo wote na uoto wa sili umeharibiwa na wapuuzi wachache...shame, shame, JWTZKali kuliko Yote ni kitendo cha JW kuachana na project za kutunza mazingira na wao wa kubebwa na muhemuko ya Uchumi wa Fremu , wamepafyeka pale Lygalo kama mtu aliyetoka kusafisha sehemu zake za siri, pamebaki pameachama tu pakisubiri wapangaji wakapange ili waendeleze Uchuni wa Fremu.
Tunakoelekea frem itakua bei 15 niko pale nasubiri mnambieHalafu watanzania sehemu Ina miti wanafyeka yote hawajui umuhimu wa miti au shule walienda kukua. Mazingira safi Wana fyeka na kuweka frame hivi kwanini mipango Miji wasiwe na Sheria Kila raia apande miti ku save mazingira
Na ujue hapo lugalo kuelekea bagamoyo ilikuwa sehemu pekee ambayo Ina uoto wa asili Sasa kuifyeka ilishangaza. Na kilichonichosha zaidi NMB nao wameweka ATM Yao pale paleInasikitisha sana... yani ukipita pale Lugalo ni aibu tupuuu... Uoto wa asili umeondolewa , miti imekatwa... Nyumba za jeshi magorofa yapo wazi yanaonekana... kikosi cha 34 kipo wazi ......aibu aibu...
RAis ingilkia kati Frem zile zisitishwe mara mojaaa...
[emoji2][emoji2][emoji2] Wacha zishuke ni heri mtu ajenge vi apartments vya single na double single vitapata wateja kuliko frame zilizokuzwa maana zitakuwa ka biashara ya matikitiTunakoelekea frem itakua bei 15 niko pale nasubiri mnambie
Hahahahah alafu washenzi kwer wakishaona lami wanajua kunakazi hawajui ugumu tunaopitia kupata iyo Kodi unapigwa na jua kutoka asbh mpk usiku alafu una ata chuma yakueleweka duh[emoji2][emoji2][emoji2] Wacha zishuke ni heri mtu ajenge vi apartments vya single na double single vitapata wateja kuliko frame zilizokuzwa maana zitakuwa ka biashara ya matikiti