Uchumi wa Frame Tanzania

pilipi usisozila zakuwashia nini? Kafanye shughuli zako.
 
Kiukwel kuna watu wanajenga frem mahala hadi unashangaa hadi unawaza hv huyu alitumia ubongo kweli maana unakuta sehemu ilivyo hata hakuna watu wengi,anamaliza jengo linakaa hata miaka mitano bila kukodiwa
 
Kiukwel kuna watu wanajenga frem mahala hadi unashangaa hadi unawaza hv huyu alitumia ubongo kweli maana unakuta sehemu ilivyo hata hakuna watu wengi,anamaliza jengo linakaa hata miaka mitano bila kukodiwa
Watu wanaona mbele ni vizuri ukayazingatia yanayokuhusu wewe Kama wewe

Fremu zinalipa japo sometimes it pay in Long run
 
Tulieni ni hatua tu tunapitia kama nchi ktk nyanja ya kujiletea Maendeleo ..awali tuliamin ktk kuajiiriwa imefika mahali ajira zimekua adimu na utumwa,tumeshtuka asa tupo level ya uchuuzi I mean fremu....tukitoka hapo mda itafika tutakuwa ktk level ya kuproduce vya kwetu(production) hapo mtaona Kila mtaaa na kila frem imegeuka kuwa kiwandan kidogo.so muwe na subira


Shida ni nyie mliopo bado mmekalisha matako kwenye ofisi za watu(modern slave) afu mnapiga kelele eti mbona fremu nyingi mara sijui pale lugalo,pale kinyerez, sijui wap fremu zimejaaa ..my friend hao wameshavuka hatua ya kukalisha matako kwenye ofisi za watu wanaeleka production stage..shida ipo kwako utatokea lini kwenye hzo office za watu unapotumikishwa kama punda.

Wake up kabla hujawah nje ya mfumo.. fremu acha zizidi kujengwa coz ni hatua muhimu sana kuelekea stage ya production huwez ruka stage.😂😂😂
 
We
Well said HoMie
Mtu /watu walio Ajiriwa most of them hawanaga upeo wa kuwaza mbali though wanalipwa ujira mdogo
 
Bashungwa mwenyewe ni fremu tu.
 
Kweli kaka. Hadi nami nashangaa. Ni kukosa ubunifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…