Uchumi wa Frame Tanzania

Uchumi wa Frame Tanzania

Uchumi wa Frame unashika kasi sana Tanzania, ni Frame juu ya Frame, ni frame ukikata kona ni frame ukinyosha ni frame.

Hii nchi na hisi uwezo wa wetu wa kufikiria nahisi usha fikia tamati yake, nchi kwa sasa iko kwenye uchumia wa frame, si Jeshi la Police, Si Jeshi la Wananchi, Si makanisa yaani wote wanawaza Frame, Frame zinaoteshwa kama uyoga, miji imejaaa frame. Halimshauri, ni frame, Majiji ni Frema, Manisapaa zinawaza Frame.

Sasa wameona mjini hakutoshi, Frame zimehamia hadi kwenye makambi ya jeshi, Vituo vya Police, Mitaani maeneo ambayo ni kwa ajili ya Makazi kumejaaa Frame.

Tunako elekea Frame zitakuwa nyingi kuliko watu kama speed itakuwa ni hii hii ya sasa.

Je, hatuna Idea zingine nje ya Uchumi wa Frame?

Tunaandaa frame za kusapoti uchumi wa China make asilimia 99 ya hizo frame lazima ukutane na products za China.
pilipi usisozila zakuwashia nini? Kafanye shughuli zako.
 
Nimejikuta nacheka tu nimepita mtaa fulani hivi mazingira ya eneo lile ni tulivu sana nyumba nyingi zina fensi ila kuna mtu alinunua eneo kubwa mwaka jana kapiga frem zaidi ya 15 tangu mwaka jana mpaka leo ni frame mbili tu ndio zinawapangaji sijui boss aliwaza nini ukiangalia eneo lenyewe haieleweki wateja wanatoka wapi maeneo yapo kimya.
Kiukwel kuna watu wanajenga frem mahala hadi unashangaa hadi unawaza hv huyu alitumia ubongo kweli maana unakuta sehemu ilivyo hata hakuna watu wengi,anamaliza jengo linakaa hata miaka mitano bila kukodiwa
 
Kiukwel kuna watu wanajenga frem mahala hadi unashangaa hadi unawaza hv huyu alitumia ubongo kweli maana unakuta sehemu ilivyo hata hakuna watu wengi,anamaliza jengo linakaa hata miaka mitano bila kukodiwa
Watu wanaona mbele ni vizuri ukayazingatia yanayokuhusu wewe Kama wewe

Fremu zinalipa japo sometimes it pay in Long run
 
Tulieni ni hatua tu tunapitia kama nchi ktk nyanja ya kujiletea Maendeleo ..awali tuliamin ktk kuajiiriwa imefika mahali ajira zimekua adimu na utumwa,tumeshtuka asa tupo level ya uchuuzi I mean fremu....tukitoka hapo mda itafika tutakuwa ktk level ya kuproduce vya kwetu(production) hapo mtaona Kila mtaaa na kila frem imegeuka kuwa kiwandan kidogo.so muwe na subira


Shida ni nyie mliopo bado mmekalisha matako kwenye ofisi za watu(modern slave) afu mnapiga kelele eti mbona fremu nyingi mara sijui pale lugalo,pale kinyerez, sijui wap fremu zimejaaa ..my friend hao wameshavuka hatua ya kukalisha matako kwenye ofisi za watu wanaeleka production stage..shida ipo kwako utatokea lini kwenye hzo office za watu unapotumikishwa kama punda.

Wake up kabla hujawah nje ya mfumo.. fremu acha zizidi kujengwa coz ni hatua muhimu sana kuelekea stage ya production huwez ruka stage.😂😂😂
 
We
Tulieni ni hatua tu tunapitia kama nchi ktk nyanja ya kujiletea Maendeleo ..awali tuliamin ktk kuajiiriwa imefika mahali ajira zimekua adimu na utumwa,tumeshtuka asa tupo level ya uchuuzi I mean fremu....tukitoka hapo mda itafika tutakuwa ktk level ya kuproduce vya kwetu(production) hapo mtaona Kila mtaaa na kila frem imegeuka kuwa kiwandan kidogo.so muwe na subira


Shida ni nyie mliopo bado mmekalisha matako kwenye ofisi za watu(modern slave) afu mnapiga kelele eti mbona fremu nyingi mara sijui pale lugalo,pale kinyerez, sijui wap fremu zimejaaa ..my friend hao wameshavuka hatua ya kukalisha matako kwenye ofisi za watu wanaeleka production stage..shida ipo kwako utatokea lini kwenye hzo office za watu unapotumikishwa kama punda.

Wake up kabla hujawah nje ya mfumo.. fremu acha zizidi kujengwa coz ni hatua muhimu sana kuelekea stage ya production huwez ruka stage.😂😂😂
Well said HoMie
Mtu /watu walio Ajiriwa most of them hawanaga upeo wa kuwaza mbali though wanalipwa ujira mdogo
 
Mtu wa kwanzaaa kutolewa awe bashungwa inamaana yeye hakiona huu ujenzi na madhara yakee,,,,hv kweli wamekaaa wakawazaa wakaona fremu ndo chanzo cha mapato??jeshi likijenga viwanda na wakazalisha bidhaa wakawa na mastore watashndwa kupata kipato kweli??

Kwasasa watu hawafanyi kazi zaidi ya kusifia na mama ndo kabisaaa hasumbuki Inasikitishaa
Bashungwa mwenyewe ni fremu tu.
 
45A6A043-1BFB-437B-8651-46D6C74E7FD5.jpeg
 
Uchumi wa Frame unashika kasi sana Tanzania, ni Frame juu ya Frame, ni frame ukikata kona ni frame ukinyosha ni frame.

Hii nchi na hisi uwezo wa wetu wa kufikiria nahisi usha fikia tamati yake, nchi kwa sasa iko kwenye uchumia wa frame, si Jeshi la Police, Si Jeshi la Wananchi, Si makanisa yaani wote wanawaza Frame, Frame zinaoteshwa kama uyoga, miji imejaaa frame. Halimshauri, ni frame, Majiji ni Frema, Manisapaa zinawaza Frame.

Sasa wameona mjini hakutoshi, Frame zimehamia hadi kwenye makambi ya jeshi, Vituo vya Police, Mitaani maeneo ambayo ni kwa ajili ya Makazi kumejaaa Frame.

Tunako elekea Frame zitakuwa nyingi kuliko watu kama speed itakuwa ni hii hii ya sasa.

Je, hatuna Idea zingine nje ya Uchumi wa Frame?

Tunaandaa frame za kusapoti uchumi wa China make asilimia 99 ya hizo frame lazima ukutane na products za China.
Kweli kaka. Hadi nami nashangaa. Ni kukosa ubunifu.
 
Back
Top Bottom