hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 3,553
- 7,334
Pale sipaelewi kabisa.Hahaaa' wanajenga na kubomoaa apo apo ni hatari Sana ile kuweka vibrate kwenye taasisi nyeti km ile najaribu kuwaza
Wamejenga vitu vya ajabu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale sipaelewi kabisa.Hahaaa' wanajenga na kubomoaa apo apo ni hatari Sana ile kuweka vibrate kwenye taasisi nyeti km ile najaribu kuwaza
Tunaishia kusapoti bidhaa za nje, uchumi wetu utabadilika tutakapoanza kufanya uzalishaji(manufacturing)Tunaandaa frame za kusapoti uchumi wa China make asilimia 99 ya hizo frame lazima ukutane na products za China.
Uchumi wa Frame unashika kasi sana Tanzania, ni Frame juu ya Frame, ni frame ukikata kona ni frame ukinyosha ni frame
Hii nchi na hisi uwezo wa wetu wa kufikiria nahisi usha fikia tamati yake, nchi kwa sasa iko kwenye uchumia wa frame , si Jeshi la Police, Si Jeshi la Wananchi, Si makanisa yaani wote wanawaza Frame, Frame zinaoteshwa kama uyoga, miji imejaaa frame.Halimshauri, ni frame, Majiji ni Farma, Manisapaa zinawaza Frame.
Sasa wameona mjini hakutoshi, Frame zimehamia hadi kwenye makambi ya jeshi, Vituo vya Police, Mitaani maeneo ambayo ni kwa ajili ya Makazi kumejaaa Frame.
Tunako elekea Frame zitakuwa nyingi kuliko watu kama speed itakuwa ni hii hii ya sasa.
Je hatuna Idea zingine nje ya Uchumi wa Frame?
Tunaandaa frame za kusapoti uchumi wa China make asilimia 99 ya hizo frame lazima ukutane na products za China.,
Hahaha, kuna eneo kama hilo maeneo ya Kinyerezi, kapiga frame kama kumi wakati akiweka uzio wake.Nimejikuta nacheka tu nimepita mtaa fulani hivi mazingira ya eneo lile ni tulivu sana nyumba nyingi zina fensi ila kuna mtu alinunua eneo kubwa mwaka jana kapiga frem zaidi ya 15 tangu mwaka jana mpaka leo ni frame mbili tu ndio zinawapangaji sijui boss aliwaza nini ukiangalia eneo lenyewe haieleweki wateja wanatoka wapi maeneo yapo kimya
[emoji4][emoji4][emoji4], nasubiri pale state House waweke frame niwahi na mimi nikapangishe...Uchumi wa Frame unashika kasi sana Tanzania, ni Frame juu ya Frame, ni frame ukikata kona ni frame ukinyosha ni frame
Hii nchi na hisi uwezo wa wetu wa kufikiria nahisi usha fikia tamati yake, nchi kwa sasa iko kwenye uchumia wa frame , si Jeshi la Police, Si Jeshi la Wananchi, Si makanisa yaani wote wanawaza Frame, Frame zinaoteshwa kama uyoga, miji imejaaa frame.Halimshauri, ni frame, Majiji ni Farma, Manisapaa zinawaza Frame.
Sasa wameona mjini hakutoshi, Frame zimehamia hadi kwenye makambi ya jeshi, Vituo vya Police, Mitaani maeneo ambayo ni kwa ajili ya Makazi kumejaaa Frame.
Tunako elekea Frame zitakuwa nyingi kuliko watu kama speed itakuwa ni hii hii ya sasa.
Je hatuna Idea zingine nje ya Uchumi wa Frame?
Tunaandaa frame za kusapoti uchumi wa China make asilimia 99 ya hizo frame lazima ukutane na products za China.,
Na pale hmn ujenzi umefanyika kwny zile frem hmn hata frem moja iliyojengwa kwa kulingana na hadhi ya taasisi husika zimejengwa km vifremu vya tandika uko very poor Standard no design hadi construction yake ni ovyo kbs yaan unaona kbs hapa lengo ni kujaza hivi vibanda vya kutosha kuzunguka fence yote hii alf ukiangalia sasa sio eneo potential cz pale pamekuwa km pori ikifika saa12 tu jion huwez kununua wala kuuza pale hasa uku along bagamoyo road ya distance from main road hadi kufikia zile frem ni changamoto manake kwa frem zile ni frem za ingia toka so ingebidi accessibility yake iwe rahisi kwamba unachepuka chap unapata huduma unasepa mpk unawaza hamna ma consultant kwenye issues za construction hata kibiasharaPale sipaelewi kabisa.
Wamejenga vitu vya ajabu sana.
Ni aibu sana jeshi letu ufikiri wao uishie kwenye frame tu basi woooiAliyetoa Wazo JW Alitakiwa Ajitafakari Sana Sana Vinginevyo Ni Aibu Tupu
Yaani duhLugalo jeshini na wenyewe Wana frame ni mwendo wa Tanzania ya frame
Kwa zile fremu pale Lugalo, Pale Jeshini patakua gulioni. Lugalo inashindana na Mwenge kwa fremu. Ukitaka kunyoa, ukitaka full body massage with happy ending, wasafisha kucha, wauza grease na spoke za baiskeli, ukitaka viepe, madalali ukitaka kuziba pancha, ukitaka unachotaka vitakuwa vinapatikana LugaloNi aibu sana jeshi letu ufikiri wao uishie kwenye frame tu basi woooi
Lugalo jeshini na wenyewe Wana frame ni mwendo wa Tanzania ya frame
Ulinzi siku hizi ni by Digital means nyie mnawaza analogia ya kukaa na mitutu.Umewaza km Mimi kila nikipita pale nasema mhhh these people are not serious taasisi nyeti km hiii wanavutia muingiliano wa watu manake nimeona hadi pub pale ni hatari Sana hata ni kujikwamua au kujiongezea njia nyngne ya kipato hpn aisee