KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Usimlaumu yeye, labda uwe hujui hayo mambo nani huyatangaza.Yule mzee alikuwa fiksi sana.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.
Ajabu ni kwamba leo mimi namtetea yeye wakati yeye hawezi kujitetea; lakini wakati wa uhai wake ulikuwa kinara wa kumtetea!