peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ya Awamu ya tano,Samia Akiwa makamu wa Rais, Majaliwa Akiwa Waziri mkuu.Serikali ya Awamu ya tano,ilijipambanua kwa kuchakua data ili kuonyesha mambo yanakwenda vizuri.Ili kuweka kumbukumbu za Serikali sahihi,Ni vema Serikali ya Awamu ya sita,ikafanya mapitio ya taarifa zote ambazo walifanya window dressing,ili kuweka kumbukumbu sawasawa.
Ni usiopingika kuwa Tanzania hutukufika Uchumi wa kati
Ninyi ndio ile mijitu mijinga mijinga ambayo "Dr" Msukuma anapenda kuwa refer kuwa anaweza kuwaajiri kuhesabu mapato yake ya mabasi.Ww ndio fix kwa kuwa hauelewi hata kusoma data za dunia.Waliotangaza kuwa Tanzania ipo uchumi wa chini wa Kati ni World Bank.Sio JPM.JPM alitangaza baada ya wao kuhahinisha hizo data.Iliandikwa mpaka kwenye tovuti zao.Sasa ww unakuja hapa na ID fake unaanza kutudanganya.Unapenda kuanzisha vinyuzi fake,na unajadili uongo tu.Au elimu yako ni ya hapa na pale Kama Kubenea?Yaan inaonekana ww ni mshabiki tu ,ila hauelewi chochote.
Ni kweli tuliingia uchumi wa kati wa chini maana tulikidhi vigezo vyao, japo tuliondolewa tena.
Mmejaa chuki tu zisizo na sababu kwa Marehemu, ndio maana hamuogopi kumzushia uongo, acheni Utoto.
Hatukuwahi kuingia uchumi wa katiUongo ni upi hapo?
Ww huna uelewa wowote.IMF na World Bank wametoa takwimu zao kwa kutumia paper .Na ww ungepinga kwa kutumia paper.Lakin unakuja hapa JF ukiwa na ID fake ,unabwabwaja uongo.Watu wanakuchora wanakuona ww ni mtu fake.Kama kweli we ni mwelewa wa hizo economics statistics ,andika paper yenye evidence ,ukipinga kilichotangazwa na World Bank.Usilete habari za vichochoroni.Ninyi ndio ile mijitu mijinga mijinga ambayo "Dr" Msukuma anapenda kuwa refer kuwa anaweza kuwaajiri kuhesabu mapato yake ya mabasi.
Hao IMF au WB hujui kuwa walipelekwa Takwimu za kupikwa.
Na ikatengenezwa sheria kumfunga mtu yeyote atakayetoa takwimu zisizopitia serikalini.
Magufuli ni kama alijitekenya mwenyewe kwa takwimu feki alizopeleka huko halafu akafurahia kudanganya tumekuwa uchumi wa kati.
In reality kukua kwa uchumi kuliporomoka toka almost 7% hadi below 4%.
Halafu mijitu mijinga mnafurahia kama nyani aliyekula mahindi mabichi!
Tuliwahi kujadili kati yako nami juu yake, na hatimae kuingia mdogo wako 'Masopyakindi' katika mjadala huo.Sikuwahi kuwa kinara wa kumtetea, pengine unaota tu.
Kuna mambokweli alifanya vema lakini ubaguzi, ukabila utesaji, utekaji nyara, upendeleo wa eneo, utateteaji maovu hayo?
Wewe ndie shabiki ambaye huelewi lolote!Ww ndio fix kwa kuwa hauelewi hata kusoma data za dunia.Waliotangaza kuwa Tanzania ipo uchumi wa chini wa Kati ni World Bank.Sio JPM.JPM alitangaza baada ya wao kuhahinisha hizo data.Iliandikwa mpaka kwenye tovuti zao.Sasa ww unakuja hapa na ID fake unaanza kutudanganya.Unapenda kuanzisha vinyuzi fake,na unajadili uongo tu.Au elimu yako ni ya hapa na pale Kama Kubenea?Yaan inaonekana ww ni mshabiki tu ,ila hauelewi chochote.
[emoji38][emoji38][emoji38] Halafu kila uzi wa huyu jamaa ni lazima Masopakyindi ajitokeze !Tuliwahi kujadili kati yako nami juu yake, na hatimae kuingia mdogo wako 'Masopyakindi' katika mjadala huo.
Siandiki mambo hapa JF kwa sababu ya kuyaandika tu bila kuwa na sababu za kufanya hivyo.
Hujajibu hoja, history belongs to the past!Tuliwahi kujadili kati yako nami juu yake, na hatimae kuingia mdogo wako 'Masopyakindi' katika mjadala huo.
Siandiki mambo hapa JF kwa sababu ya kuyaandika tu bila kuwa na sababu za kufanya hivyo.
Vitu vingine kama huvijui ni heri kunyamaza! Kwani ulisikia wapi kuwa inchi yenye inamamlaka yakujitangazia kama sasahivi iko uchumi wa kati au wa juu? Si bora ufanye ata utafiti mdogo bas mbona mengine simple sana?Yule mzee alikuwa fiksi sana.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.
Hujaeleza kitu bado.Ww huna uelewa wowote.IMF na World Bank wametoa takwimu zao kwa kutumia paper .Na ww ungepinga kwa kutumia paper.Lakin unakuja hapa JF ukiwa na ID fake ,unabwabwaja uongo.Watu wanakuchora wanakuona ww ni mtu fake.Kama kweli we ni mwelewa wa hizo economics statistics ,andika paper yenye evidence ,ukipinga kilichotangazwa na World Bank.Usilete habari za vichochoroni.
Serikali ya Awamu ya tano,Samia Akiwa makamu wa Rais, Majaliwa Akiwa Waziri mkuu.
Huna hoja, nitajibu hewa?Hujajibu hoja, history belongs to the past!
Moja, bado Magufuli alikuwa fiksi na forgere wa facts nyingi tu.Mbili, hatujawahi kuwa uchumi wa kati,Huna hoja, nitajibu hewa?
Wewe mtu ni kati ya vigeugeu wa ajabu sana humu JF, na kutokana na kusahau kwako au kujifanya hukumbuki kunakufanya udhani kwamba wengine nao ni kama wewe.
Hata historia yako ya uCCM ulishaieleza humu, kuonyesha aina ya watu waliomo ndani ya chama hicho enzi hizi, watu wasioamini na kusimamia chochote maishani mwao.
JF ina bahati mbaya sana ya kuwa na watu kama huyu, na yule mwingine anayejiita 'britannica'. Siku hizi sipotezi muda wangu kusoma takataka za huyo jamaa.[emoji38][emoji38][emoji38] Halafu kila uzi wa huyu jamaa ni lazima Masopakyindi ajitokeze !
Sasa angalia ulivyo mpumbavu. Kati yangu na wewe, ni nani aliyekuwa anaimba nyimbo za kumsifu Magufuli humu jukwaani.Moja, bado Magufuli alikuwa fiksi na forgere wa facts nyingi tu.Mbili, hatujawahi kuwa uchumi wa kati,
Tatu, licha ya kubwabwaja, hujajibu hoja.
Nne, kama ni kambwa ka Magufuli, umeambiwa na Zito, kazikwe naye Chato.
Pole sana.JF ina bahati mbaya sana ya kuwa na watu kama huyu, na yule mwingine anayejiita 'britannica'. Siku hizi sipotezi muda wangu kusoma takataka za huyo jamaa.
Huyu naye naona nitaacha kupoteza muda wangu kusoma maandishi yake humu.
Unarudia line zile zile kama santuri iliyoishiwa sindano na inarudia mstari ule ule.Sasa angalia ulivyo mpumbavu. Kati yangu na wewe, ni nani aliyekuwa anaimba nyimbo za kumsifu Magufuli humu jukwaani.
Kuonyesha upumbavu zaidi, ni kutoelewa unapoambiwa karibu na watu wote kwenye mada yako hii kuwa siyo Magufuli aliyetangaza hayo unayoyazungumzia hapa. Pamoja na ukichaa wake, yeye hakuwa na njia za kuitangaza Tanzania kuwa katika daraja tofauti. Bado huelewi, kwa sababu wewe ni mpumbavu.