Uchumi wa Kati umeenda wapi?

Uchumi wa Kati umeenda wapi?

Usiruke ruke, hatujamalizana, ndio maana unanirefer kwenye hii mada.
Kuwa concise, jibu swali.
Labda sasa tujadili hii lugha ya watu unayoitumia hovyo bila kujua unacholenga, lakini hilo la mada yako nimeshamalizana nawe.
Hii "concise" hapo umeitumia kwa maana gani?
 
Labda sasa tujadili hii lugha ya watu unayoitumia hovyo bila kujua unacholenga, lakini hilo la mada yako nimeshamalizana nawe.
Hii "concise" hapo umeitumia kwa maana gani?
Jibu swali, be brief and to the point.
 
Labda sasa tujadili hii lugha ya watu unayoitumia hovyo bila kujua unacholenga, lakini hilo la mada yako nimeshamalizana nawe.
Hii "concise" hapo umeitumia kwa maana gani?
Sasa ni vipi unipangie jinsi ya kujibu?
 
Je ule wa viwanda nao umezamia wapi🤔
Juzi mzee wa ubwabwa kamnanga Magufuli.
Kasema alitamba kuwa Tanzania toka 2015 itakuwa ya viwanda, lakini hakujenga hata kimoja cha mfano.
Ndio fiksi zake mzee wa dona kantri.
 
Kwani hujui kuwa uchumi wa kati mama yako kaunyea..
Magufuli kinara wa wanyonge aliyeuteremsha uchumi wa kati kwa GDP toka 7% hadi 3.8%.
Angepata kuongoza miaka mingine mitano, sote tungekuwa wanyonge wa uchumi wa kati.
Jamaa alikuwa kiboko kwa ghiliba na fiksi.
 
Yule mzee alikuwa fiksi sana.
Kwa ku stage manage mambo na kuaminisha uongo, alikuwa hajambo.

hii nchi kuendelea ngumu sana, mara ya mwisho mishahara imeongezeka (mean wages) marekani ilikua lini? kwa tuseme marekani haipo kwenye uchumi mkubwa tena ?
 
Acheni comedy unawatangazia watu uchumi wa Kati halafu likija suala la kuongeza mishahara unawaambia watu Hali ya kifedha siyo nzuri. Ndivyo tulivyoishi miaka 7 tukidanganywa na kupuliziwa

kwan uchumi ukipanda ni lazima mishahara iongezeke? afterall ukishakua muajiriwa uchumi kukua in most cases hauedani na wewe kwa asilimia kubwa, uchumi hua unakua katika sekta chache mfano madini, utalii, hizi ndo tunaita driving force za uchumi zikiyumba maana yake hata ndan uchumi unayumba, sasa wewe umeajiriwa kwenye kampuni ya ndan na kampuni yako haihusiani na ukuaji wa uchumi ila bado unataka ongezeko la mshahara, una akili kweli wewe?
 
Yule mzee kaharibu sana hii nchi inabidi afukuliwe asomewe mashtaka ikiwezekana afungwe kabisa hata miaka mitano au mwili wake uwekwe uwanja wa taifa kila mtanzania atakayepata nafasi amuweke kiboko kimoja,kiukweli katupitisha nyakati ngumu sana kama nchi

kaharibu vp uchumi mkuu?
 
Ndio maana nasema yule jamaa fiksi tupu, hata takwimu alitaka ziwe zile anazozipika yeye.
Lakini aliishia kujifunga goli.

kwan takwimu za uchumi wa kati alitoa yeye ama world bank? na hata IMF si walikuja bongo wenyewe wakaita media ama unajisahaulisha
 
Na kuporomokakwa GDP toka 7% hadi 3.8% ni data fake?
Ndiyo maana hamna akili sana nyie economists wa bongo, kuiba mitihani tu!
Ww ndio mpumbavu na mjinga.Tena huna akili Kabisa.Kwa hiyo h
Na kuporomokakwa GDP toka 7% hadi 3.8% ni data fake?
Ndiyo maana hamna akili sana nyie economists wa bongo, kuiba mitihani tu!
Ww ndio mpumbavu na mjinga .Tena huna akili Kabisa.Kama GDP ilishuka kutoka 7%hadi 3.8%,ilikuwa siyo data fake.Lakin tuliambiwa uchumi umepanda na kuwa uchumi wa Kati ni data fake.Aidha lazima ujue kuwa GDP ilishuka kutoka a na covid .Kama isingekuwa covid tungefika mwezini.Nchi zote zilihasirika.Lakin kwa kuwa ww Ni pimbi tu.Na haujui kitu,unaendekeza uchawa ili upate msosi basi upo Kama kipofu.Tunao wapumbavu Kama ww wengi Sana hapa Tanzania .Yaan ni machawa tu.
 
Ww ndio mpumbavu na mjinga.Tena huna akili Kabisa.Kwa hiyo h

Ww ndio mpumbavu na mjinga .Tena huna akili Kabisa.Kama GDP ilishuka kutoka 7%hadi 3.8%,ilikuwa siyo data fake.Lakin tuliambiwa uchumi umepanda na kuwa uchumi wa Kati ni data fake.Aidha lazima ujue kuwa GDP ilishuka kutoka a na covid .Kama isingekuwa covid tungefika mwezini.Nchi zote zilihasirika.Lakin kwa kuwa ww Ni pimbi tu.Na haujui kitu,unaendekeza uchawa ili upate msosi basi upo Kama kipofu.Tunao wapumbavu Kama ww wengi Sana hapa Tanzania .Yaan ni machawa tu.
"Zilihasirika", 😂🤣😂
Rudi kwenu uhutuni!
 
Mtu muongo, laghai hasa akiwa mwanasiasa, namchukia kama ukoma.
Nawe unaye amini ujinga huo lazima unafaidika na uongo huo.
Watu wa aina yako ndio tulio nao wengi ndani ya taifa hili..., vigeugeu bila hata chembe ya aibu!

Ngalia haya unayoandika hapa leo, na kujifanya kusahau kabisa kwamba ni mwaka juzi tu ulikuwa mishipa ikikujaa shingoni kutetea huyo unayemwita "laghai" leo, huku wakati ule ukitishia hata kuwaitia polisi watu waliotumia neno hilo hilo kumsema mtu huyo unayejifanya leo kumwona "laghai".

Watu wa aina yako katika taifa ni hasara tupu!
 
Back
Top Bottom