Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ni shule ya Sekondari ya Kiparang'anda ya mkoani Pwani, aibu hii imetokana na uhaba wa madawati pamoja na vyumba vya madarasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha porojo hata huko kwenye uchumi wa juu kuna masikini na ambao hawajui hata kesho ataamuka vipi, tembea uone usiishie Kajunjumele na Hai kwa mungu wenuView attachment 1501370View attachment 1501371
Hii ni shule ya sekondari ya Kiparang'anda ya mkoani Pwani , Aibu Hii imetokana na uhaba wa madawati pamoja na vyumba vya madarasa .
.Nafikiri pia hujui maana ya kukua kwa uchumi nadhani wewe sawa na wale walioamini Mzee mapesa aliposema atawajaza mapesa wakaamini kweli watajazwa mapesa,roho imekuuma kwa sababu hizo takwimu hazikuletwa na akina Twaweza,bali zimeletwa na hao hao mnaowalamba viatu na kuwatukuza kila kukicha. Nyuso zimewaparama na kuwashuka shuu, anzeni lingine.Acha porojo hata huko kwenye uchumi wa juu kuna masikini na ambao hawajui hata kesho ataamuka vipi, tembea uone usiishie Kajunjumele na Hai kwa mungu wenu
Hatujawahi kudanganya mkuuHivi hii ni kweli?
Uchumi wa kati soko la mpunga wenu wa Talatala hakuna ! hivi wazee wetu wanapataje hela huko ? umpunga gufwile , imikoko gyope gifwile , Fidahusein na Mo bhabhopile , Kyecu jope jifwile !Acha porojo hata huko kwenye uchumi wa juu kuna masikini na ambao hawajui hata kesho ataamuka vipi, tembea uone usiishie Kajunjumele na Hai kwa mungu wenu
Ohoooo!Muone vijiji vingine vya Tz utalia!
Aisee...nchi inapaa kielimu..Utakuwa umetumwa na mabeberu wewe, madarasa mbona yapo tena ya viwango vya uchumi wa kati?
View attachment 1501406
johnthebaptist najua hapa hutokei, halafu watu na akili zenu mnasifia ndege. sgr and all that rubbish!Utakuwa umetumwa na mabeberu wewe, madarasa mbona yapo tena ya viwango vya uchumi wa kati?
View attachment 1501406
Hii kauli sitaisapoti hata nikifa. Ujinga uchoyo na ubinafsi wa baadhi ya viongozi wetu ndio uliotufikisha hapa. Rais na Wabunge wetu vipaumbele vyao ni:-Bora tungechelewa kupata uhuru hata hadi mwaka 1990 kuliko ule wa 61 chini ya Mwl,
Hii nchi kosa halikufanyika leo wala jana.
Vitu vya kawaida sana Kenya na Afrika yote kwa ujumla. Afrika tuko na viongozi wanaojipenda wachumia tumbo zao tu. Utapata mbunge wa eneo hili watoto wake wanasomea shule za kibinafsi na zile za Ulaya.Utakuwa umetumwa na mabeberu wewe, madarasa mbona yapo tena ya viwango vya uchumi wa kati?
View attachment 1501406
Hiyo shule ipo vizuri bhana ungeuliza sababu ya wao kufanya hivyo wala usingeleta huu uzi wako.Kuna shule huku jirani watoto hasa wa darasa la mitihani mwalimu akitaka kuwapa test anawatoa nje kisha anawakalisha mbalimbali kama hivyo madawati wanaacha ndani.Njoo upige picha na huku.View attachment 1501370View attachment 1501371
Hii ni shule ya sekondari ya Kiparang'anda ya mkoani Pwani, aibu hii imetokana na uhaba wa madawati pamoja na vyumba vya madarasa.
Ndo nilichomaanisha hata mimiHii kauli sitaisapoti hata nikifa. Ujinga uchoyo na ubinafsi wa baadhi ya viongozi wetu ndio uliotufikisha hapa. Rais na Wabunge wetu vipaumbele vyao ni:-
1.Familia zao
2.Vyama vinavyowadhamini.
3.Nchi
Ndiyo maana huwa nashangaa mnaomshangilia Nyerere eti alileta uhuru. We were a protectorate, not a colony! Tulikuwa tunallewa tukue, tuwe na akili tujiendeshee mambo yetu wenyewe/tujitawale. Mkaharakisha sasa mmeshindwa kuwahudumia watu wenu. Mnauana... rubish all the way!Bora tungechelewa kupata uhuru hata hadi mwaka 1990 kuliko ule wa 61 chini ya Mwl,
Hii nchi kosa halikufanyika leo wala jana.