Uchumi wa Kati: Waziri Mkuu akisalimiana na bibi Asumin Milanzi huko Ruangwa

Uchumi wa Kati: Waziri Mkuu akisalimiana na bibi Asumin Milanzi huko Ruangwa

Unejitahidi kuandika, lakini sioni unachojaribu kueleza kuhusiana na picha hiyo. Utajiri wa taifa hauna maana ya utajiri wa mtu mmoja mmoja. Taifa tajiri kama marekani nalo lina maskini kama huyo na vivyo hivyo hata sis tulipokuwa uchumi wa chini bado pia tulikuwa matajiri wengi tu. Uchumi wa nchi nunapimwa kwa averages, na ni lazima kuna watu wenye uchumi wa hini sana, na wale wenye uchumi juu sana lakini kipimo kinachoongelewa ni average tu. Kutafuta watu maskini na kuwatumia kwa extrapolation kuwa nchi yote ni masikini ni ufinyu wa mawazo, kwani unaweza pia kutafuta matajiri wachache akina Bakhressa na kuwa kuwatumia kusema nchi ni tajiri.
Unazunguka zunguka kote huko kujaribu kukimbia mfano ulioutoa hapo wa hao watu wawili, Bi Kizee wa Ruangwa na huyo omba omba wa Marekani.
Ni mfano usioshabihiana kabisa kwa kila namna yoyote. Ni mfano wa hovyo.
 
Ninatafuta ' Logical Connection ' kati ya ' Headline ' yako na ' Content ' ya huu Uzi wako lakini bado sijaiona sana sana ninaona ni Upuuzi mtupu tu.

Logical connection?
Nii hii hapa
1595179200984.png
 
Unazunguka zunguka kote huko kujaribu kukimbia mfano ulioutoa hapo wa hao watu wawili, Bi Kizee wa Ruangwa na huyo omba omba wa Marekani.
Ni mfano usioshabihiana kabisa kwa kila namna yoyote. Ni mfano wa hovyo.


Maelezo yako yanaonyesha uelewa finyu sana mambo. Unaweza kung'ang'anaia unakotaka kuepelea mjadala ili kufurahisha nafsi yako lakini haibadilishi mada iliyoko hapa.

Kama hukujua kuwa picha hiyo ya maskini wa Marekani ilikuwa inaingiaje kwenye mada usingejibu na kuleta mambo irrelevant ya nyumba za Kariakoo za 1960. Jifunze kuwa unachangia kwenye topic, siyo kukurupukurupuka ili kuonekana na wewe umeandika kitu.

Topic iliyopo hapa inahusu uchumi wa kati na hali ya wananchi wake; na huyo mama ametumiwa kama mfano tu kuonyesha kuwa wanachi hawaishi maisha ya uchumi wa kati. Kama hukuelewa mada ilikuwa ni hiyo, wala haihusu nyumba za kariakoo au tabia za viongozi. Mimi nimeleta counterexample kuwa uchumi wa nchi haupimwi kwa kuangalia maisha ya mtu mmoja tu; hata Marekani ambako wana uchumi wa juu bado pia wana maskini. Kwa ulewa wako mdogo umerukia kwenye ubishi usiokuwa na maana. Wahenga walisema mzowea vya kunyonga, hawezi kuchinja.
 
Bibi anamiliki nyumba yake safi kabisa,

Kwenye ardhi yake mwenyewe.
 
Angalia mwamerika huyu anayeishi kwenye nchi yenye uchumi wa juu

View attachment 1510546

Nafikiri kuna haja ya kuiandikia Benki ya Dunia barua ya kupinga kuwa Tanzania haijafikia uchumi wa kati.
Mkuu huyu ameamua kuishi hivi,kazi za kipato Cha 20,000 kwa saa Marekani ni nyingi sana but pia hata bila kufanya kazi in U.S you get your check,Wale wako mbali sana Ila kwenye msafara wa mamba kenge huwa hawakosi pia
 
Maelezo yako yanaonyesha uelewa finyu sana mambo. Unaweza kung'ang'anaia unakotaka kuepelea mjadala ili kufurahisha nafsi yako lakini haibadilishi mada iliyoko hapa.
Wewe nilishakueleza huko nyuma. Kama uliwahi kuonekana kuwa na aina fulani ya ueewa wa mambo, nadhani umri umeingia vibaya na kuanza kukusahaulisha uelewa huo.
Sasa unaonekana kung'ang'ania 'legacy' ile ya zamani ukidhani bado ipo, kumbe inaendelea kufifia kadri ya muda unavyokwenda.

Haya unayoeleza hapa, na hasa huo mfano ulioutoa hapa kuhusu hali za hao watu wawili na kuzilinganisha kama kielelezo cha utajiri wa nchi, ni mfano ambao haufai, kwa sababu watu wawili hao wapo katika mazingira mawili tofauti kabisa na wala tabia zao hazifanani kwa lolote.
 
Wewe nilishakueleza huko nyuma. Kama uliwahi kuonekana kuwa na aina fulani ya ueewa wa mambo, nadhani umri umeingia vibaya na kuanza kukusahaulisha uelewa huo.
Sasa unaonekana kung'ang'ania 'legacy' ile ya zamani ukidhani bado ipo, kumbe inaendelea kufifia kadri ya muda unavyokwenda.

Haya unayoeleza hapa, na hasa huo mfano ulioutoa hapa kuhusu hali za hao watu wawili na kuzilinganisha kama kielelezo cha utajiri wa nchi, ni mfano ambao haufai, kwa sababu watu wawili hao wapo katika mazingira mawili tofauti kabisa na wala tabia zao hazifanani kwa lolote.
Debe tupu haliachi kutika! Uko kwenye group la watu wanaojadili na kusikiliza watu badala ya kujadili mada na kufanya conclusions zako kutokana na facts za mada yenyewe.

Kama wewe unategema kupata sifa jamii forums basi utapata taabu sana; wengine hatuandiki kupata sifa, bali tunaandika kujulishana tu. Legacy hazipatikani kwenye anonymous forums kama hizi. Ningetaka sifa, ningeweka jina langu kamili.
 
Nikuambie tu ukweli unazidi kushuka thamani Sasa kipi hapo Cha ajabu kwa mfano? Ikiwa ulaya na amerika Kuna vijiji na wanakaa kwenye mahema na wana uchumi wa juu!!! Huoni kuwa umefeli wewe na Sacco's yenu? Ndio maana Ni ngumu kwa wajasiriasiasa kutawala taifa hili kwa Sababu tu ya ujuha ikiwa USA Ina Uhuru wa miaka zaidi ya 250 na Wana vijumba Kama hivi sisi iwe ajabu kivipi?
Labda ulaya na marekani ya Gamboshi,huna sababu ya kuongea Mambo usiyo yajua
 
Labda ulaya na marekani ya Gamboshi,huna sababu ya kuongea Mambo usiyo yajua
Wewe pia hujui Marekani vizuri, labda unajua ya New York na ya LA tu. Ni kweli watu hawaishi kwenye mahema kama alivyoandika huyo jamaa lakini kuna watu wengi sana wanaishi kwenye mobile homes, ambazo ukitokea upepo mzito unazizoa.
 
Kama wewe unategema kupata sifa jamii forums basi utapata taabu sana; wengine hatuandiki kupata sifa, bali tunaandika kujulishana tu. Legacy hazipatikani kwenye anonymous forums kama hizi. Ningetaka sifa, ningeweka jina langu kamili.
Ni wapi nilipoandika natafuta sifa JF? Unaandika kujulishana kwa upotofu, huko ni kujulishana au kupotoshana.
 
Usingehangaika hivyo.
Umekosolewa kwa upotoshaji. Unatafuta njia za kijinga za kujihami.
Unarudia yale yale ya F-Grade. Badala ya kujadili mada wewe unanijadili mimi eti ninajihami; kwani hapa ni mashindano? Upumbavu wako huo wa kuja hapa kushindana na watu usiowajua ni mzigo wako tu, hakuna atakayeweza kukusaidia kuubeba; hata ukipiga kelele sana utabaki ni mpumbavu tu.
 
Back
Top Bottom