Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #81
Jikite kwenye madambna unawasahau wale wa jinsia moja waliokua wanawapa kura sio wenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikite kwenye madambna unawasahau wale wa jinsia moja waliokua wanawapa kura sio wenu?
Karagwe hakuna nyumba za nyasi blooErythrocyte,
Acha dharau hizo ndugu yangu,wewe umetokea maeneo gani hapa nchini kwanza? Ambapo kwenu au asili yenu mnakaa kwenye ghorofa au nyumba bora huko.Soon nyumba itaezekwa bati la kisasa labda.
Nikutoe shaka, usiwe na wasi na hali yangu ya kiuchumi, ila nakuomba uangalie huo wa kwako upo mashakani sana.kama unaishi maisha magumu na unategemea siasa nakushauri ukafanye kazi kwa bidii, everything duniani is calculated, nchi kama india ambayo ina nusu ya population nzima wenye umaskini mbaya ndo moja ya nchi zenye uchumi wa juu pia, statistically india has more poor people than Tanzania, but ni nchi ya uchumi mkubwa! japokua tunajua motives zenu ila hakikisha maisha yako economically yapo vizuri kabla hujaja uku, kumbuka Halima anasukuma mchuma mmoja mkali mjini
[emoji38][emoji38][emoji38]Nikutoe shaka, usiwe na wasi na hali yangu ya kiuchumi, ila nakuomba uangalie huo wa kwako upo mashakani sana.
Unajua 'statistics' wewe? Hebu tuwekee kwa asili mia ya watu maskini kati ya India na Tanzania.
Lakini hilo sio hoja, unajuwa wachina milioni ngapi wameondoka kwenye umaskini katika mwaka mmoja wa 2018 pekee? Inawezekana kabisa hata usijue maana ya swali hilo jinsi linavyohusiana na hali ya India na Tanzania kwa sasa hivi.
Kwako hali aliyo nayo Halima ndilo lengo lako? Mbona una malengo hafifu sana!
[emoji38][emoji38][emoji38]Huyu jamaa hana kabisa ndoto za urais