Uchumi wa Kati: Waziri Mkuu akisalimiana na bibi Asumin Milanzi huko Ruangwa

Uchumi wa Kati: Waziri Mkuu akisalimiana na bibi Asumin Milanzi huko Ruangwa

kama unaishi maisha magumu na unategemea siasa nakushauri ukafanye kazi kwa bidii, everything duniani is calculated, nchi kama india ambayo ina nusu ya population nzima wenye umaskini mbaya ndo moja ya nchi zenye uchumi wa juu pia, statistically india has more poor people than Tanzania, but ni nchi ya uchumi mkubwa! japokua tunajua motives zenu ila hakikisha maisha yako economically yapo vizuri kabla hujaja uku, kumbuka Halima anasukuma mchuma mmoja mkali mjini
Nikutoe shaka, usiwe na wasi na hali yangu ya kiuchumi, ila nakuomba uangalie huo wa kwako upo mashakani sana.

Unajua 'statistics' wewe? Hebu tuwekee kwa asili mia ya watu maskini kati ya India na Tanzania.

Lakini hilo sio hoja, unajuwa wachina milioni ngapi wameondoka kwenye umaskini katika mwaka mmoja wa 2018 pekee? Inawezekana kabisa hata usijue maana ya swali hilo jinsi linavyohusiana na hali ya India na Tanzania kwa sasa hivi.

Kwako hali aliyo nayo Halima ndilo lengo lako? Mbona una malengo hafifu sana!
 
Nikutoe shaka, usiwe na wasi na hali yangu ya kiuchumi, ila nakuomba uangalie huo wa kwako upo mashakani sana.

Unajua 'statistics' wewe? Hebu tuwekee kwa asili mia ya watu maskini kati ya India na Tanzania.

Lakini hilo sio hoja, unajuwa wachina milioni ngapi wameondoka kwenye umaskini katika mwaka mmoja wa 2018 pekee? Inawezekana kabisa hata usijue maana ya swali hilo jinsi linavyohusiana na hali ya India na Tanzania kwa sasa hivi.

Kwako hali aliyo nayo Halima ndilo lengo lako? Mbona una malengo hafifu sana!
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Suala la mtu kujenga nyumba ya kisasa au kununua gari, ni nia ya dhati kabisa kutoka moyoni kwa mtu mwenyewe. Kwa hiyo huwezi kumlazimisha mtu Kuwa na nyumba ya kisasa kama yeye mwenyewe ameridhika na maisha anayoishi.
 
😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂JF kisima cha elimu dunia huku ukiburudika nimecheka Sana nilijua nakuta kiwanda kinafunguliwa.
 
Back
Top Bottom