Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Uchumi wa Tanzania unajua.kwa Kasi Sana east and.Central tumebakisha Kenya pekee,hivyo tuchape Kazi,jana nilikuwa mitaa ya kaliakoo,nilichokiona watu wanapiga Kazi kama vichaa.
Mkuu una tatizo la uandishi kwa ufasaha, hapo kariakoo kuna zalishwa nini ama ni uchuuzi?