Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka kwa sauti!Hela ya Zimbabwe inca thamani kuliko yetu?
Huyo jamaa muongo sana! Yani eti hadi Uganda imetuzidiNimecheka kwa sauti!
Hela ya Zimbabwe inca thamani kuliko yetu?
Tanzania ina program tofauti sana, na wenzetu, Isipokuwa mwenda zake ndiye angetuingiza mkenge, kwa kukopa kwenye mabenki ya kibiashara, Tanzania huwa tunachukuwa soft loan zenye riba below 2.5% kwa long term, pia huwa tuna program ya kulipa kila wakati, ndio maana utashangaa barabara ya uhuru mkopo wake uliizinishwa mwaka 1963 lakini tulimaliza deni 2020.Na hii yetu tunachukua dabodao ikimature itakuwaje?
napata mshangao kidogo, imeanzia lini?Hela ya Zimbabwe inca thamani kuliko yetu?
Mikopo imechukuliwa tangu enzi za Nyerere na imekuwa ikilipwa. Hata USA anachukua mikopo mingi kuliko nchi yeyote duniani. Cha muhimu ni hiyo mikopo inafanya kazi zipi? Na je iko him ilikuwa??Na hii yetu tunachukua dabodao ikimature itakuwaje?