Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,434
Katika dunia ya leo, mataifa mengi yaliyopiga hatua kubwa kiuchumi na kimaendeleo na kupelekea maisha bora kwa wananchi wake, hasa kuanzia awamu ya pili ya karne ya ishirini (i.e. 1950s) yamefanikiwa kupiga hatua ya maendeleo kutokana na kufuata mikakati na sera zenye mtazamo wa nje kuliko wa ndani – i.e. "outward looking strategies" – kwa maana ya "Export Promotion Strategies". Mataifa haya ni pamoja na yale yanayojulikana kama "East Asian Tigers" – kwa mfano South Korea Malaysia. Katika kundi la nchi hizi zilizopiga hatua kutokana na ‘outward looking/orientation' ni pamoja na nchi kama vile Chile ya Amerika Kusini, lakini pia nchi tatu kutoka barani Afrika - Botswana, Tunisia na Mauritius. Vile vile, mataifa yanayoibuka kwa kasi kiuchumi leo hii duniani (mfano China na Brazil) pia mafanikio yao ymekuwa yanategemea sana exports kwenda soko la dunia.
Angalizo:
Nchi pekee barani afrika ambayo imefanikiwa kuingia katika mapinduzi ya kweli ya viwanda barani afrika (nje ya afrika kusini) ni nchi ya Mauritius.
Mastaajabu ya uchumi wa Tanzania
Cha kustaajabisha ni kwamba kwa Tanzania ni kwamba – performance yetu in terms of exports imekuwa kubwa sana kwa kipindi cha Zaidi ya miaka kumi mfululizo, ambapo katika kipindi cha miaka 2000 – 2012, tuliwashinda wafuatao in terms of export performance:
Undani wa Export Performance yeetu (2000 – 2012)
Total merchandise of our exports (Tanzania) iliongezeka Zaidi ya mara tano, na kufikia Dollar za Kimarekani billion kumi na mbili ($12 billion dollars) kufikia mwaka 2012. Such growth of exports zilichangiwa na factors zifuatazo:
Lakini kinyume chake, haya yote hayajajitokeza kwa sababu kadhaa ikiwa ni pamoja na:
First Fact:
Kwa mujibu wa Afrobarometer, "Lived Poverty" in Tanzania has increased over the past ten years (2002 – 2012), na kujadili kwamba ‘for the past ten years, economic growth has benefited the wealthy, leaving the poor stuck in poverty, or even getting poorer'. What is more interesting in these findings ni kwamba, ‘lived poverty' katika nchi nyingine ndani ya ripoti husika imepungua – kwam mfano: Botswana, Malawi, Gambia, Ghana.
Second Fact:
Kwa mujibu wa Afrobarometer, "Going without" some basic essentials is more common in Tanzania than in most of the rest of Africa." Afrobarometer wanatoa takwimu zifuatazo:
Tanzania imepitia inward looking strategies kama njia za kukuza uchumi na kupunguza umaskini (1967 – 1985) ambayo wapo watu wengi wanaojenga hoja kwamba haikumsaidia mtanzania wa kawaida kujikwamua kutoka kwenye lindi la umaskini. Kutokana na hoja hii, nchi yetu ikaingia katika mageuzi ya kiuchumi mkakati mpya wa ‘outward looking' (Export Promotion Strategy) ukaanza kutumika kama njia ya kukuza uchumi na kupunguza umaskini nchini. Kutokana na uzoefu wetu chini ya mkakati huu, pamoja na matokeo yake ambayo nimeyajadili awali, watanzania tumebakia na maswali mengi sana ya kujiuliza, hasa kuhusiana na suala zima la matumizi ya export promotion strategy kama njia ya kukuza uchumi na kumkomboa mtanzania wa kawaida:
Sources:
WorldBank Reports & Afrobarometer.
cc. Nguruvi3, Zitto, Zakumi, Ben Saanane, JingalaFalsafa, Jasusi, JokaKuu, Zinedine, ZeMarcopolo, MwanaDiwani, chama, Ritz, zomba, Kobello, Invisible, AshaDii, MTAZAMO, Ngongo, Kimbunga, Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba, HKigwangalla et al
Angalizo:
Nchi pekee barani afrika ambayo imefanikiwa kuingia katika mapinduzi ya kweli ya viwanda barani afrika (nje ya afrika kusini) ni nchi ya Mauritius.
Mastaajabu ya uchumi wa Tanzania
Cha kustaajabisha ni kwamba kwa Tanzania ni kwamba – performance yetu in terms of exports imekuwa kubwa sana kwa kipindi cha Zaidi ya miaka kumi mfululizo, ambapo katika kipindi cha miaka 2000 – 2012, tuliwashinda wafuatao in terms of export performance:
- Brazil
- South Korea
- Thailand
- Tunisia &
- Mauritius
Undani wa Export Performance yeetu (2000 – 2012)
Total merchandise of our exports (Tanzania) iliongezeka Zaidi ya mara tano, na kufikia Dollar za Kimarekani billion kumi na mbili ($12 billion dollars) kufikia mwaka 2012. Such growth of exports zilichangiwa na factors zifuatazo:
- Bei nzuri ya traditional exports zetu kwenye soko la dunia (e.g. Coffee, Tobacco, Cotton & Sisal).
- Kukua kwa sekta ya madini nchini ambapo exports ya madini iliongezeka kwa kasi kubwa i.e. kutoka $380 million mwaka 2002, na kufikia $2 Billion (two billion dollars) mwaka 2012.
- Kukua kwa manufacturing sector nchini (Tanzania) kutoka 7% of total merchandise exports mwaka 2002, na kufikia 20% of total merchandise exports in 2012.
- Diversification yetu katika masoko ya nje ya nchi, kwa mfano, kupungua kwa destination ya mazao yetu kwenda Jumuiya Ya Ulaya (EU) kutoka 50%, na kufikia 30%; Kuongezeka kwa destination ya exports zetu kwenda Asia - kutoka 23%, na kufikia Zaidi ya 30%; Pia muhimu hapa ni kuongezeka kwa exports zetu barani Afrika - kutokea 10% hadi kufikia 30%.
- Ongezeko la masoko nje ya nchi kwa wazalishaji wetu (makampuni) kutokana na ufinyu wa soko nchini/limited domestic market.
- Makampuni ya nyumbani kuongeza ubora na ufanisi wao kutokana na kujifunza from their foreign suppliers, marketing networks & global value chains in general.
Lakini kinyume chake, haya yote hayajajitokeza kwa sababu kadhaa ikiwa ni pamoja na:
- Moja ni ukweli kwamba concentration ya exports za Tanzania ilikuwa Zaidi kwenye Dhahabu (Gold), which accounted over 40% of the total exports. Matokeo yake ni kwamba, kushuka kwa bei ya dhahabu katika soko la dunia kunaleta madhara makubwa nay a moja kwa moja katika thamani ya jumla ya mauzo ya bidhaa zetu kwenye soko la dunia.
- Pili, sehemu kubwa ya bidhaa tunazouza nje hazina thamani kubwa – yani ‘low value-added products' kama vile unprocessed minerals and unprocessed agriculture goods ambayo hayana impact yoyote ya maana katika uchumi wetu kwama maana ya – kuzalisha ajira za maana na zenye kuhitaji utaalam wa Tanzania, lakini pia, kutokana na udogo wa thamani ya bidhaa hizi tunazouza nje, tumekosa fursa ya kufaidika na technology development – technology diffusion and transfer ambayo ingeleta impact yenye manufaa kwa uchumi wa ndani (domestic economy).
First Fact:
Kwa mujibu wa Afrobarometer, "Lived Poverty" in Tanzania has increased over the past ten years (2002 – 2012), na kujadili kwamba ‘for the past ten years, economic growth has benefited the wealthy, leaving the poor stuck in poverty, or even getting poorer'. What is more interesting in these findings ni kwamba, ‘lived poverty' katika nchi nyingine ndani ya ripoti husika imepungua – kwam mfano: Botswana, Malawi, Gambia, Ghana.
Second Fact:
Kwa mujibu wa Afrobarometer, "Going without" some basic essentials is more common in Tanzania than in most of the rest of Africa." Afrobarometer wanatoa takwimu zifuatazo:
- 62% of Tanzanians went without clean water in the past 12 months, compared to an average of 49% across Africa.
- 71% of Tanzanians went without medicines or medical care in the past 12 months, compared to an average of 53% across Africa.
- 55% of Tanzanians went without enough food in the past 12 months, compared to an average of 50% across Africa.
Tanzania imepitia inward looking strategies kama njia za kukuza uchumi na kupunguza umaskini (1967 – 1985) ambayo wapo watu wengi wanaojenga hoja kwamba haikumsaidia mtanzania wa kawaida kujikwamua kutoka kwenye lindi la umaskini. Kutokana na hoja hii, nchi yetu ikaingia katika mageuzi ya kiuchumi mkakati mpya wa ‘outward looking' (Export Promotion Strategy) ukaanza kutumika kama njia ya kukuza uchumi na kupunguza umaskini nchini. Kutokana na uzoefu wetu chini ya mkakati huu, pamoja na matokeo yake ambayo nimeyajadili awali, watanzania tumebakia na maswali mengi sana ya kujiuliza, hasa kuhusiana na suala zima la matumizi ya export promotion strategy kama njia ya kukuza uchumi na kumkomboa mtanzania wa kawaida:
- Je, kuna haja ya kufanya export promotion kuwa kipaumbele cha taifa kiuchumi?
- Je, kuna haja ya kulenga bidhaa Fulani Fulani, Sekta Fulani Fulani au masoko Fulani Fulani katika matumizi ya mkakati huu wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini i.e. export promotion strategy?
- Je, nini ni vikwazo vikubwa kwa makampuni ya nyumbani (domestic companies) katika suala zima la kufaidika na mkakati huu i.e. export promotion strategy?
- Mwisho, tofauti na Import Substitution Strategy, je, tunakabiliwa na risks gani katika matumizi ya ‘outward-looking strategy'/Export Promotion Strategy katika kufanikisha kukua kwa uchumi wenye manufaa kwa walio wengi?
Sources:
WorldBank Reports & Afrobarometer.
cc. Nguruvi3, Zitto, Zakumi, Ben Saanane, JingalaFalsafa, Jasusi, JokaKuu, Zinedine, ZeMarcopolo, MwanaDiwani, chama, Ritz, zomba, Kobello, Invisible, AshaDii, MTAZAMO, Ngongo, Kimbunga, Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba, HKigwangalla et al