Mkuu
Zinedine, Ningependa kujadili kidogo kuhusiana na experience ya South Korea; Kufikia late 1960, taifa hili lilikuwa limejitengenezea a well educated labour force relative to their physical capital, suala ambalo liliwatengenezea mazingira mazuri ya kupata "high return to capital"; Kwa Tanzania, hali yetu in terms of a well educated labour force ilikuwa ni kinyume kabisa, na mbaya Zaidi, miradi mingi ya maendeleo – hasa viwanda na mashirika ya umma, yalikuwa chini ya wanasiasa kuliko wataalam. Pia kwa wenzetu Wakorea, ruzuku (subsidies) & coordinated investment decisions kupitia effective polices (ambazo
Zinedine umegusia baadhi), ziliwezesha serikali to engineer significant in private returns to capital; Vile vile, serikali iliweka in place equality of income and wealth ili kuiokoa jamii from sent seeking behavior; Tanzania tulijaribu hili kupitia azimio la arusha bila ya mafanikio ya msingi;
Nakubaliana na
Zinedine kwamba kwetu Tanzania, it is ‘business as usual'; tutakabiliwa na a huge deficit in policy making – tunajaribu kukimbilia maendeleo kwa kuiga wengine wamefanya nini as if tumeambiwa kwamba development is path dependent while it's really not!; Kila taifa lililoendelea leo limefikia hatua husika kupitia njia mbalimbali, sio kwa kuiga wengine wamefanya nini; Hata hizi East Asian Tigers zilibezwa sana na World Bank et al kwa kufanya mambo nje ya ushauri wao, only to be embarrassed baadae; Hadi leo, World Bank anaongea kwa aibu sana juu ya mafanikio ya South Korea; Cha msingi hapa ni kwamba kuna umuhimu wa kuchukua experience za wenzetu na kuchanganya na akili zetu wenyewe; na katika hili, tunahitaji sana kuwa na uongozi wa nchi ambao upo reform – minded, wenye' political will' katika kuleta mageuzi yenye maslahi ya taifa (sio maslahi ya wawekezaji au mitaji ya nje pekee); Tumekuwa ni taifa maarufu kwa kusua sua sana in terms of reforms zenye manufaa kwa wananchi walio wengi, na hata katika suala zima la EAC, vurugu zote hizi zinatokana na ukaidi wa viongozi wetu; Ni bahati mbaya sana wananchi wengi wanazidi kuaminishwa kwamba wakorofi ni majirani zetu; Pia
Zinedine ana hoja ya msingi sana pale anapojadili juu ya viongozi wetu kujichanganya between mfumo na mkakati; mfano, rejea porojo za Big Results Now, Presidential Delivery Unit, yote haya lengo lake ni to distract wananchi wasiweze kuona mapungufu ya serikali katika utendaji wa kuhudumia wananchi;
Vile vile, ana hoja nyingine ya msingi sana inayojadili juu ya ukosefu wa mikakati ya kukuza mazao ya nje; Hii ni kweli, na kuna mwanazuoni mmoja (Robert Calderisi) anaelezea vizuri sana jinsi gani mawaziri wa Trade kutoka Africa walivyoshiriki kukwamisha trade negotiations kwa maslahi ya Africa kule Cancun; Kwa mujibu of his account ambapo alikuwepo kwenye mkutano ule, ukumbi ulilipuka na makofi kutoka kwa mawaziri wengi wa Africa, kitendo ambacho kiliacha NGOs zilizoenda kushinikiza Africa ipewe fursa, wakibakia midomo wazi na wasijui la kufanya; Inasemekana, hata Waziri wa Tanzania wa wakati huo alikuwa miongoni mwa viongozi kutoka Africa walioshiriki kuangusha bara letu la Africa; Ni watanzania wachache sana ambao they have knowledge jinsi gani taifa letu linakosa masoko ya nje kutokana na njama za makusudi za viongozi wenyewe; Hapo awali nilijadili kwamba ‘economic development ‘isn't path dependent, kwani tumeona jinsi gani nchi mbalimbali zikitumia njia mbalimbali kujikwamua kutoka kwenye umaskini – kwa mfano tukitazama East Asian Tigers, Brazil, Chile, Vietnam, India, China, na hata Botswana na Mauritius barani afrika, zote hizi zimepitia njia mbalimbali, tukiachilia mbali mataifa makubwa kama vile Ujerumani, UK, USA n.k;
Katika nyakati hizi, njia pekee iliyopo ni viongozi wetu kukubali kuleta mageuzi ya kisiasa na kiuchumi (reforms) wakiwa na mioyo ya uzalendo, lakini pia huku wakiwa waangalifu kwamba such reforms zisifanywe ndio conditionality of AID; Isitoshe, suala la AID kwa kiasi kikubwa ni letu wenyewe Tanzania na nchi nyingi za Africa kujitakia; Hivi inaingia akilini kweli kwa taifa kama Tanzania, kuwa tegemezi kwa donors in terms of bajeti za maendeleo? Jibu ni hapana. Na maelezo pekee juu ya kuendelea kwa tabia hii ni kwamba Tyrants love AID, kwani it helps them remain in power na pia enrich themselves for political gain binafsi lakini vile vile kwa wale wanaopanga kuwarithisha; Kwanini nchi nyingine ndogo ndogo tu Afrika zimefanikiwa kujikwamua (mfano Botswana na Mauritius)? Ni kwa sababu, nchi kama Botswana and Mauritius are the only true reformers in the continent, na wakiendelea na mwendo wao wa sasa, haitakuwa ajabu tukasikia wapo njiani kuelekea mafanikio ya East Asian Tigers; Tukichukulia nchi kama Mauritius, hawa hawana any natural resources lakini they have the highest income per capita in Africa; Mauritius hawana any meaningful amount of raw materials za kukukuza maendeleo ya viwanda vyao, lakini as of today, this is the only country in Africa (outside South Africa) for the past 50 yesrs, ambayo imefanikiwa to undergo an industrial revolution (outside South Africa); Vile vile, nchi hii haina vivutio vingi vya kitalii kama Tanzania lakini inasemekana inapokea mapato mengi kuliko Tanzania kutoka sekta ya utalii;
Kwanini wenzetu hawa waweze, na sisi tushindwe? Jibu ni kwamba tumekosa intelligent leadership, na wakipatikana, wanapigwa vita na fitina wasionekane ni wa maana, mara nyingine hata wananchi maskini nao wakishiriki katika mipango hiyo; Inavyoonekana sasa chini ya CCM, ili mtu uwe influential in terms of leadership, experience, uadilifu, uzalendo, education and wisdom havipewi kipaumbele kama kipimo cha ubora wa uongozi, badala yake mtu utapendwa CCM na kupewa madaraka na watawala iwapo utakuwa na sifa kuu zifuatazo:
- Ignorance
- Dishonesty
- Stubbornness
Hizi ndio common features of leadership under CCM ambazo kimsingi ndio zinazorotesha uchumi wetu from their micro and meso perspective; ni wehu kupigia mafanikio ya kiuchumi at macro level wakati the macro success doesn't tricle down to the meso and micro; Nitarejea kujadili zaidi juu ya suala zima la industrial policy…
Cc
Nguruvi3,
Zakumi