Uchumi waanza kudorora upya kama kipindi cha Jiwe

Uchumi waanza kudorora upya kama kipindi cha Jiwe

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Kwa msiojua, wazungu wameshaanza kutoa dozi, wanaminya mpunga, na hazina kumeshaanza kuchoka. Maofisi ya serikali yameanza kupokea pesa kiduchu kwasababu hakuna pesa, kipindi cha jiwe alileta jeuri wazungu wakabana pua yake, tukaishi maisha magumu na ya kujitesa sana.

kwa mwenye akili, usitumie pesa ovyo, na uwekezaji wako uufanye kwa akili, kuna jangwa lipo mbeleni, na lipo karibu sana. ukishaona wamarekani wameanza kujibizana na Rais wazi wazi kama balozi wao, jua EU nao wapo njiani, na jua hawawezi kutuacha salama.
 
Acha uzandiki na kutembelea kiki ya juzi , watu tulioko kweny mfumo mambo yalibana tangu mwaka jana mwezi wa 7 ...Posho zilifutwa na safari wewe unaongelea kauli ya juzi .

Usipende kutembelea kivuli kwa vile ni watu dini yako , uliza jamaa aliandika uzi nyuma kuhusu taasisi yao tangu mwaka jana hamna posho ...Usipende kunasibisha mambo kwa kuokoteza , narudia tangu mwaka jana mambo yalibana waulize TANAPA waliokuwa wanalipa pesa ndefu wako wapi ?
 
wewe labda mateso ya uchumi kipindi cha magu ulikuwa mfu. mzungu akikemea utekaji unaona anakosea wakati kodi yake umeshaletwa hapa kwako? hivi mnajua mnakotupeleka?
Sikupingi mkuu, point yangu tusiwape saaaaaaana ukiranja katka mambo yetu. Kama kuna sehemu ni muhimu kukemea kwa misingi na tamaduni zetu tukemee bila kuogopa mzungu atafanyaje
 
wewe labda mateso ya uchumi kipindi cha magu ulikuwa mfu. mzungu akikemea utekaji unaona anakosea wakati kodi yake umeshaletwa hapa kwako? hivi mnajua mnakotupeleka?
Acha kuongea mambo maana unawaona ndio wenye dini yako , kuna wakandarasi hawajalipwa kwa fungu la mwaka jana sio leo hazina imekauka uliza sio unatafuta hoja ya kuonhgelea ..

Tumia akili usipende kutembelea kik, kipnd cha Magufuli hakuna siku watumishi walikosa posho tena walikula sana ..Jamaa alikataa watu kujilipa nje ya kiwango ili kuweka usawa ...Ebu fikiria jamaa TPA walikuwa kikaa wanalipana mpaka 500k ? hata bungeni hawapati pesa hiyo?
 
Sikupingi mkuu, point yangu tusiwape saaaaaaana ukiranja katka mambo yetu. Kama kuna sehemu ni muhimu kukemea kwa misingi na tamaduni zetu tukemee bila kuogopa mzungu atafanyaje
usichojua ni kwamba, dunia ya sasa hakuna mwenye nchi, nchi ni ya kwetu sote, ukifanya ukatili, dunia nzima inaweza kukukemea na kukutenga. wazungu walipoleta mambo ya ushoga, tuliwapinga, wakaona tuna sababu ya msingi kwasababu sio utamaduni wetu, wamekuwa wapole. ila wanapoona watu wanatekwa wanauawa, hapo kwanini wasiseme?, ni utamaduni wetu watanzania kutekana na kuuana pale watu wanapotofautiana mitazamo kwasababu tu wewe una dola na wengine hawana dola?
 
usichojua ni kwamba, dunia ya sasa hakuna mwenye nchi, nchi ni ya kwetu sote, ukifanya ukatili, dunia nzima inaweza kukukemea na kukutenga. wazungu walipoleta mambo ya ushoga, tuliwapinga, wakaona tuna sababu ya msingi kwasababu sio utamaduni wetu, wamekuwa wapole. ila wanapoona watu wanatekwa wanauawa, hapo kwanini wasiseme?, ni utamaduni wetu watanzania kutekana na kuuana pale watu wanapotofautiana mitazamo kwasababu tu wewe una dola na wengine hawana dola?
Trumpth kakoswa mara mbili kwa risasi , unajua vifo vinavyotoka kwa kupigana ridhaa kweny hadhara huko USA kwa mwaka ...Mauaji ypo ndio maana mnakosa muelekeo kwa sababu mlikuwa mnamsingizia Magfuli .
 
Acha kuongea mambo maana unawaona ndio wenye dini yako , kuna wakandarasi hawajalipwa kwa fungu la mwaka jana sio leo hazina imekauka uliza sio unatafuta hoja ya kuonhgelea ..

Tumia akili usipende kutembelea kik, kipnd cha Magufuli hakuna siku watumishi walikosa posho tena walikula sana ..Jamaa alikataa watu kujilipa nje ya kiwango ili kuweka usawa ...Ebu fikiria jamaa TPA walikuwa kikaa wanalipana mpaka 500k ? hata bungeni hawapati pesa hiyo?
nadhani wewe ndio hutumii akili, badala ya kutoa hoja unapayuka. si ufafanue tu, kwani hadi uongee kama umevaa dera? kwahiyo tuseme huu uchumi umeharibikia mikononi mwa nani? na katikati ya kuharibika uchumi unakothibitisha, bado mtu mwingine atibue maji as if tunajitegemea kumbe huge amount ya budget yetu tunatembeza bakuli. kwa hao hao. SGR imestop kipindi cha kiangazi, watajenga kipindi cha mvua? shida nini?
 
Kwa msiojua, wazungu wameshaanza kutoa dozi, wanaminya mpunga, na hazina kumeshaanza kuchoka. Maofisi ya serikali yameanza kupokea pesa kiduchu kwasababu hakuna pesa, kipindi cha jiwe alileta jeuri wazungu wakabana pua yake, tukaishi maisha magumu na ya kujitesa sana.

kwa mwenye akili, usitumie pesa ovyo, na uwekezaji wako uufanye kwa akili, kuna jangwa lipo mbeleni, na lipo karibu sana. ukishaona wamarekani wameanza kujibizana na Rais wazi wazi kama balozi wao, jua EU nao wapo njiani, na jua hawawezi kutuacha salama.
Huna hata aibu? Kwahiyo unafurahi mzungu kuendesha maisha yako?
 
Trumpth kakoswa mara mbili kwa risasi , unajua vifo vinavyotoka kwa kupigana ridhaa kweny hadhara huko USA kwa mwaka ...Mauaji ypo ndio maana mnakosa muelekeo kwa sababu mlikuwa mnamsingizia Magfuli .
labda tuombe Mungu wewe, au ndugu zako watekwe na kuuawa, kwasababu hata marekani wanauwana. unaonaje hapo? kikombe hicho kikupate ili ujue tunachoongea.
 
nadhani wewe ndio hutumii akili, badala ya kutoa hoja unapayuka. si ufafanue tu, kwani hadi uongee kama umevaa dera? kwahiyo tuseme huu uchumi umeharibikia mikononi mwa nani? na katikati ya kuharibika uchumi unakothibitisha, bado mtu mwingine atibue maji as if tunajitegemea kumbe huge amount ya budget yetu tunatembeza bakuli. kwa hao hao. SGR imestop kipindi cha kiangazi, watajenga kipindi cha mvua? shida nini?
Uchumi upi umeangua acha porojo kijana wa wazungu , nakupa uwanja onesha hoja zao wakati unaropoka tu .!
 
Sikupingi mkuu, point yangu tusiwape saaaaaaana ukiranja katka mambo yetu. Kama kuna sehemu ni muhimu kukemea kwa misingi na tamaduni zetu tukemee bila kuogopa mzungu atafanyaje
Ikemee huku huna kitu? Umeshawahi kuishi na mwanamke mwenye pesa kuliko wewe??
 
Back
Top Bottom