Uchumi waanza kudorora upya kama kipindi cha Jiwe

Uchumi waanza kudorora upya kama kipindi cha Jiwe

kuwa serious, nchi yako hiyo unayosema wewe una akili, asilimia kubwa inategemea misaada, huo mdomo wa kuongea unautoa wapi? si utulize bro.

Huu uzi wa september 12 , Rais kaongea lin?

 
Huyu maza aambiwe ukweli awaombe msamaha mabeberu.aende uwanja wa taifa akapige magoti kuomba msamaha la sivyo anaturudisha miaka ya themanini ya kutembea na suruali za viraka mwili mzima
 
utakemeaje wakati masikini wa kutupwa, ulishawahi kuona marekani ameomba msaada kwa Tanzania?
Basi tuliza mshono !
Hii ndio kazi ya ubalozi na mabalozi wakiwa ugeneni , mambo ya umbea hatutaki

A key purpose of an embassy is to assist citizens of its home country living, working, or traveling overseas. Embassies and their branches (called “consulates”) are necessary for both routine administration and emergency situations.
 
Huu uzi wa september 12 , Rais kaongea lin?

kwani watu wameanza kutekwa lini bro
 
kwani watu wameanza kutekwa lini bro
Jamaa tangu hujazaliwa hapa juzi tu Mo dowji alitekwa chini ya uongozi wa Magufuli ...Hao ndugu zako waliandika mpaka proposal ili kuzuia hizo pesa ila wapi enzi za Magu.
 
Pesa zime withholdiwa kwenye acc za serikali. Kwani hamjui tunaingia kwenye uchaguzi? Pia uhaba wa dola hapo nyuma umechangia hili. Hii ni kutokana na nchi yetu kutumia dola nyingi kuagiza bidhaa na huduma toka nje kuliko dola zinazotengenezwa kwa kuuza bidhaa zake na huduma nje ya nchi. Inamaana sisi cku zote tutakuwa nchi ya majanga tu kutokana biashara ya nchi ya Tanzania dhidi ya nchi nyingine, sisi kila cku ni watu wa hasara maana tunanunua vya watu kuliko tunavyouza. Na bado. Labda tutapompata gadaffi wetu
 
Huu uzi ni takataka kabisa, ndio uzi wa hovyo kabisa kuusoma kwa miaka kumi iliyopita
 
Kwahiyo ukiwa huna kitu inakubidi ukubali lolote lile unaloambiwa au utakalofanyiwa?.
Narudia,ukitaka usipangiwe na jirani yako acha kabisa kila saa kwenda kumuomba mara chumvi, mara nikopeshe,mara jirani naomba lift etc....unafahamu athari za ukoloni mamboleo kwanza?? Au ndiyo yale yale ya ELIMU, ELIMU, ELIMU??
 
Jamaa tangu hujazaliwa hapa juzi tu Mo dowji alitekwa chini ya uongozi wa Magufuli ...Hao ndugu zako waliandika mpaka proposal ili kuzuia hizo pesa ila wapi enzi za Magu.
step into the shoes, ndugu yako angekuwa ni Mzee Kibao, akatekwa kwenye basi akauawa, na wewe una opportunity ya kuongea na hao wafadhili, hautawaambia wafanye hivyo? ninyi ndio mnafanya watanzania wanaichukia nchi yao wenyewe, hampo hapa kuunganisha wananchi ila kuwatenga na kuwapandikiza chuki, kwasababu mnajua kikinuka mna kwa kwenda au? mwogopeni Mungu.
 
Huu uzi ni takataka kabisa, ndio uzi wa hovyo kabisa kuusoma kwa miaka kumi iliyopita
wewe ndio takataka mzee, unatakiwa kutupwa dustbin kabisa kama huelewi kinachoongelewa hapa
 
step into the shoes, ndugu yako angekuwa ni Mzee Kibao, akatekwa kwenye basi akauawa, na wewe una opportunity ya kuongea na hao wafadhili, hautawaambia wafanye hivyo? ninyi ndio mnafanya watanzania wanaichukia nchi yao wenyewe, hampo hapa kuunganisha wananchi ila kuwatenga na kuwapandikiza chuki, kwasababu mnajua kikinuka mna kwa kwenda au? mwogopeni Mungu.
Punguza unafikia na uzandiki , kwamba Rais kafurahia au sio?

Kutembelea na agenda za vifo kuna watu wana njaa mpaka wanakufa si uende ukatoe msaad, punguza unafiki yule mzee na mimi tuna ukaribu kuliko wewe ...Usipenda kushuku mtu nchi ni kubwa sana .
 
Kazi Iendelee Mpaka Akili Zetu Zifanye Kazi Kweli Kweli
 
Narudia,ukitaka usipangiwe na jirani yako acha kabisa kila saa kwenda kumuomba mara chumvi, mara nikopeshe,mara jirani naomba lift etc....unafahamu athari za ukoloni mamboleo kwanza?? Au ndiyo yale yale ya ELIMU, ELIMU, ELIMU??
Kama hii ndio falsafa yako, basi naamini huna Marinda. Yaani unaogopa kukaza kisa wanakukopesha!
 
Ninacho shukuru Mungu,
wale wale waimba nyimbo za kusifu na kutukuza,
ndio hao hao wenye umaskini na maisha magumu.
Kwa hili Hakika Mungu ni Mkuu!
 
Huu uzi ni takataka kabisa, ndio uzi wa hovyo kabisa kuusoma kwa miaka kumi iliyopita
Wa hovyo ni uzi au wewe uliyeamua kuusoma na ku comment? Hivi ni lazima usome kila uzi kwanza?
 
Kwa msiojua, wazungu wameshaanza kutoa dozi, wanaminya mpunga, na hazina kumeshaanza kuchoka. Maofisi ya serikali yameanza kupokea pesa kiduchu kwasababu hakuna pesa, kipindi cha jiwe alileta jeuri wazungu wakabana pua yake, tukaishi maisha magumu na ya kujitesa sana.

kwa mwenye akili, usitumie pesa ovyo, na uwekezaji wako uufanye kwa akili, kuna jangwa lipo mbeleni, na lipo karibu sana. ukishaona wamarekani wameanza kujibizana na Rais wazi wazi kama balozi wao, jua EU nao wapo njiani, na jua hawawezi kutuacha salama.
Dozi ya juzi tu tayari imeshaleta madhara?
 
Back
Top Bottom