Uchunguzi huu umenishangaza Sana!

Uchunguzi huu umenishangaza Sana!

Afadhali Umesema watu wengi na sio wote.

Kuna ishu ya Exceptional siku ukijua Jambo hili utafika mbali.

Wakati nasoma wapo watu waliodhani Kwa akili zao ndogo kuwa Kwa vile Mimi ni mjanja mjanja, sisomi na wala hawajawahi kuniona na Daftari wakadhani nitafeli

Lakini kumbe ni ujinga kufikiri kuwa watu wote ni Sawa.
NILIFAULU Kwa kiwango cha daraja la Kwanza tena nikiwa kinara katika Darasa letu Kwa mwaka huo.

Kidato cha sita halikadhalika hivyo hivyo, nilikuwa miongoni mwa waliofaulu Kwa daraja la Kwanza ambao tuliokuwa wachache.

Chuo kikuu nacho halikadhalika.

Ninachotaka kusema ni nini!

Wapumbavu hulijaji jalada la kitabu pasipo kujua ndani yake kuna nini.
Ndio watu kama wewe.

Wengine ni Exceptional.

Unaweza kumuona yupo hivi kumbe yupo vile
Unaweza muona anamaisha simple kumbe anautajiri.
Unaweza muona ni Tajiri kumbe ni masikini.

So mtazamo wako mara nyingi hupatikana Kwa watu wapumbavu.
Kwa uandishi wako kana ni kweli ulifaulu masomo utakuwa kundi LA wale waliofaulu masomo wakafeli maisha sasa unajaribu Ku steam out frustration zako za kimaisha kwa kuwaparamia wengine kuchunguza maisha ya watu ili walau u feel better

Uandishi wako umejaa ohhh niliyoyaona,niliyoyaona !!! Solution nini? Kwa hayo uliyoyaona.Mfano umeona mjinga akimtawala mwerevu .Mwerevu awezaje tawaliwa na mjinga kama Huyo unayemwita mwerevu sio mjinga?
MTU mwerevu hawezi hata Siku moja kutawaliwa na mjinga

Na pia haiwezekani ukasema MTU maskini ana hekima kuliko tajiri.Hekima gani isiyoweza zalisha utajiri? Hizo ni porojo za maskini

Wachaga husema wazi kama una akili onyesha akili yako ilichozalisha benki una shilingi ngapi na una Mali kiasi gani.Wewe tusaidie hizo division zako za juu na GPA zako za juu zimezalisha nini zaidi ya huu umbeya ulioandika
 
Nilichogundua kwako mleta mada ni kuwa muda mwingi unafuatilia sana maisha ya watu ndio maana umeandika mengi kuhusu watu mbalimbali uliowafuatilia maisha yao

Watu wa aina yako wengi huwa maskini na bila kuficha na wewe uko hilo kundi

Maskini muda mwingi hufuatilia maisha ya watu wakati tajiri hujua mengi kuhusu utajiri wake au biashara zake MTU kama Mo Dewji au Bakhresa wa Azam hawezi kuwa na muda wa kuchunguza watu na kuandika hayo uliyoandika mleta mada.Ni maskini pekee ndie aweza
Kumbe we ndio hamna watu wenye majungu kama hao natajiri akina MO
 
Kwa uandishi wako kana ni kweli ulifaulu masomo utakuwa kundi LA wale waliofaulu masomo wakafeli maisha sasa unajaribu Ku steam out frustration zako za kimaisha kwa kuwaparamia wengine kuchunguza maisha ya watu ili walau u feel better

Uandishi wako umejaa ohhh niliyoyaona,niliyoyaona !!! Solution nini? Kwa hayo uliyoyaona.Mfano umeona mjinga akimtawala mwerevu .Mwerevu awezaje tawaliwa na mjinga kama Huyo unayemwita mwerevu sio mjinga?
MTU mwerevu hawezi hata Siku moja kutawaliwa na mjinga

Na pia haiwezekani ukasema MTU maskini ana hekima kuliko tajiri.Hekima gani isiyoweza zalisha utajiri? Hizo ni porojo za maskini

Wachaga husema wazi kama una akili onyesha akili yako ilichozalisha benki una shilingi ngapi na una Mali kiasi gani.Wewe tusaidie hizo division zako za juu na GPA zako za juu zimezalisha nini zaidi ya huu umbeya ulioandika


Kama umefeli wewe maisha usidhani kila mtu kafeli maisha.

Majina yangu ni halisi huna haja ya kunikadiria.

Nishaandika nipo Dar es salaam unaweza kuja kuniona hapa Mikocheni
 
Kama umefeli wewe maisha usidhani kila mtu kafeli maisha.

Majina yangu ni halisi huna haja ya kunikadiria.

Nishaandika nipo Dar es salaam unaweza kuja kuniona hapa Mikocheni
Mikocheni maskini kibao pia wanaishi
 
Kwema Wakuu!

Nimefanya uchunguzi mdogo nao ni huu;

"Wale wanaoonekana ni wajinga ndio wanawatawala werevu.
Wale wanaoonekana waovu ndio waliobarikiwa kimaisha.
Wale wanaoonekana wahuni na Malaya ndio wanaoimudu ndoa.

Wale wanaoonekana wengi ndio wanaotawaliwa na waliowachache.

Wale wenye Ujuzi na maarifa ndio wanaotafuta kazi.

Wale waliovipofu tena wasioona maana wapo vipofu wanaoona, sasa hawa ni vipofu wasioona kabisa ndio wanawaongoza wenye macho wanaoona

Wale wanaoonekana ni Wazalendo ndio wezi na wahujumu uchumi.

Wale wanaoogopa sheria ndio wanaokutwa na hatia, Ila wasioiogopa sheria na kuzivunja huwa wenye haki wasio na hatia.
Wale wanaoogopa kuoa na kuzaa kisa maisha ndio hao hao wenye maisha magumu kuliko Wale waliooa na wanaozaa.

Wale wanaoonekana kujibana kiuchumi ili wafanye maendeleo ndio haohao wanaoshindwa maendeleo na Wale wanaotumia pesa Rafu.

Wale wanaoonekana wazuri wa Sura na maumbile ndio haohao wanaokosa wenza wa kuwaona/kuolewa nao ndio wanaolalamika, wakati wasio na mvuto wakiolewa na kuoa kila uchwao.

Wale wanaopenda Kwa watu na vitu vya watu, kwao na vyao ni vibaya.

Wale wanaoonekana ni watumishi wa Mungu ndio haohao wachawi na mashetani Wabaya.

Wale wanaoonekana ni watumishi wa Shetani ndio haohao watumishi wa Mungu aliyehai.

Wale waliofeli Hesabu shuleni ndio wanaofaulu Hesabu za maisha. Huku Wale waliofaulu Hesabu za shuleni wakishindwa Hesabu za mtaani.

Wale WANAOPENDA kulala hawana vitanda na magodoro mazuri lakini ndio wanaolala usingizi mnono.

Wale WANAOPENDA kusoma, husoma habari za watu waliokataa na wasiopenda kusoma, walioshindwa shule.

Wale wanaolima chakula ndio huwa wakwanza kupata njaa, wakati wasiolima wala hawana habari wao chakula kipo Tele siku zote.

Wale wanaoonekana Wana silaha na ulinzi mkali ndio haohao usalama wao mi mdogo na hawana Amani wakati wasio na ulinzi wowote wanausalama Mkubwa na Amani ya roho

Wale wanaozingatia Sana mambo ya Afya ndio haohao hukumbwa zaidi na magonjwa tofauti na Wale wasiozingatia"

Hayo nayo niliyaona kwenye Siasa za Dunia.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Mzee kuna ukweli ndani yake ila dunia ina siri za ajabu nyuma ya pazia kuna siri kubwa haswa kwaa waafrica nikupe hii msomi wa biashara akifanya biashara mara chache kufanikiwa kuliko asiyekuwa na elimu kbsa ya biashara hata kama mtakaa eneo moja unajua shida ya watu weusi uchawi mwingi sana wewe utakaa hapo dukani huuzi lkn wateja wanapita kununua duka la mbali kama hawakuona aisee watu wanaroga na wanafanya mambo mabaya sana kuna mapaka na wanadamu mamefukiwa madukani si mchezo aisee hyo ni nyuma ya pazia.
 
Kwa uandishi wako kana ni kweli ulifaulu masomo utakuwa kundi LA wale waliofaulu masomo wakafeli maisha sasa unajaribu Ku steam out frustration zako za kimaisha kwa kuwaparamia wengine kuchunguza maisha ya watu ili walau u feel better

Uandishi wako umejaa ohhh niliyoyaona,niliyoyaona !!! Solution nini? Kwa hayo uliyoyaona.Mfano umeona mjinga akimtawala mwerevu .Mwerevu awezaje tawaliwa na mjinga kama Huyo unayemwita mwerevu sio mjinga?
MTU mwerevu hawezi hata Siku moja kutawaliwa na mjinga

Na pia haiwezekani ukasema MTU maskini ana hekima kuliko tajiri.Hekima gani isiyoweza zalisha utajiri? Hizo ni porojo za maskini

Wachaga husema wazi kama una akili onyesha akili yako ilichozalisha benki una shilingi ngapi na una Mali kiasi gani.Wewe tusaidie hizo division zako za juu na GPA zako za juu zimezalisha nini zaidi ya huu umbeya ulioandika


Mkuu huwaga sibishanagi kuonyesha Mimi ni Bora,

Ila nilichoandika ndio matokeo ya nilichokiona kwenye uchunguzi wangu.

Ukisema kuchunguza watu no umasikini nasi utakuwa mjinga wa kiwango cha lami na huna elimu yoyote ya Dunia, elimu ya Biblia, na hata Quran.

Biblia ni matokeo ya uchunguzi waliofanyiwa wanadamu halikadhalika na Quran.

Kama umesoma walau masters bila Shaka umefanya Research, sasa Kama kufanya research ni umasikini ni Sawa.
 
Mzee kuna ukweli ndani yake ila dunia ina siri za ajabu nyuma ya pazia kuna siri kubwa haswa kwaa waafrica nikupe hii msomi wa biashara akifanya biashara mara chache kufanikiwa kuliko asiyekuwa na elimu kbsa ya biashara hata kama mtakaa eneo moja unajua shida ya watu weusi uchawi mwingi sana wewe utakaa hapo dukani huuzi lkn wateja wanapita kununua duka la mbali kama hawakuona aisee watu wanaroga na wanafanya mambo mabaya sana kuna mapaka na wanadamu mamefukiwa madukani si mchezo aisee hyo ni nyuma ya pazia.

😀😀😀😀😀

Watu wanampaka PhD za biashara lakini wameshindwa hata biashara ya genge unafikiri mchezo
 
Kwema Wakuu!

Nimefanya uchunguzi mdogo nao ni huu;

"Wale wanaoonekana ni wajinga ndio wanawatawala werevu.
Wale wanaoonekana waovu ndio waliobarikiwa kimaisha.
Wale wanaoonekana wahuni na Malaya ndio wanaoimudu ndoa.

Wale wanaoonekana wengi ndio wanaotawaliwa na waliowachache.

Wale wenye Ujuzi na maarifa ndio wanaotafuta kazi.

Wale waliovipofu tena wasioona maana wapo vipofu wanaoona, sasa hawa ni vipofu wasioona kabisa ndio wanawaongoza wenye macho wanaoona

Wale wanaoonekana ni Wazalendo ndio wezi na wahujumu uchumi.

Wale wanaoogopa sheria ndio wanaokutwa na hatia, Ila wasioiogopa sheria na kuzivunja huwa wenye haki wasio na hatia.
Wale wanaoogopa kuoa na kuzaa kisa maisha ndio hao hao wenye maisha magumu kuliko Wale waliooa na wanaozaa.

Wale wanaoonekana kujibana kiuchumi ili wafanye maendeleo ndio haohao wanaoshindwa maendeleo na Wale wanaotumia pesa Rafu.

Wale wanaoonekana wazuri wa Sura na maumbile ndio haohao wanaokosa wenza wa kuwaona/kuolewa nao ndio wanaolalamika, wakati wasio na mvuto wakiolewa na kuoa kila uchwao.

Wale wanaopenda Kwa watu na vitu vya watu, kwao na vyao ni vibaya.

Wale wanaoonekana ni watumishi wa Mungu ndio haohao wachawi na mashetani Wabaya.

Wale wanaoonekana ni watumishi wa Shetani ndio haohao watumishi wa Mungu aliyehai.

Wale waliofeli Hesabu shuleni ndio wanaofaulu Hesabu za maisha. Huku Wale waliofaulu Hesabu za shuleni wakishindwa Hesabu za mtaani.

Wale WANAOPENDA kulala hawana vitanda na magodoro mazuri lakini ndio wanaolala usingizi mnono.

Wale WANAOPENDA kusoma, husoma habari za watu waliokataa na wasiopenda kusoma, walioshindwa shule.

Wale wanaolima chakula ndio huwa wakwanza kupata njaa, wakati wasiolima wala hawana habari wao chakula kipo Tele siku zote.

Wale wanaoonekana Wana silaha na ulinzi mkali ndio haohao usalama wao mi mdogo na hawana Amani wakati wasio na ulinzi wowote wanausalama Mkubwa na Amani ya roho

Wale wanaozingatia Sana mambo ya Afya ndio haohao hukumbwa zaidi na magonjwa tofauti na Wale wasiozingatia"

Hayo nayo niliyaona kwenye Siasa za Dunia.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Umevuta mapushabu ya wapi
 
Back
Top Bottom