pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Walianza kumwita gaidi hata kabla ya uchunguzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi yeyote tu yule unaweza kumwita gaidi ,yani ni wewe tu ndio unaamua nani umwite gaidi kwa sababu zako mwenyewe.
Tume ya uchunguzi ya kijaji inahusika hapa. Polisi ni watuhumiwa. Hawajawahi kutoa ripoti inayoaminika.Kamanda Wambura ametoa taarifa yake kuhusiana na uchunguzi wa kadhia ya Hamza kuwa alikuwa ni gaidi.
Halipo jipya kwenye taarifa hiyo kwani ni wazi kuwa kilichofanyika ni kuhalalisha tu ambacho polisi kama sehemu ya kadhia wangekitaka.
View attachment 1921631
Ikumbukwe pia kamanda Sirro alishahoji hata uhalali wazazi wa Hamza kumzaa kama binadamu!
Kwanini walioshambuliwa na Hamza walikuwa ni polisi peke yao? Kwanini Hamza hakuonekana kujaribu kujificha ili kuendelea na mapambano kwa siku au hata masaa zaidi?
Kama Hamza alikuwa ni gaidi hakuwa na washirika wowote hapa nchini? Hakuwa na mawasiliano yoyote na washirika hao?
Kama Hamza alikuwa na washirika nje tu, ushahidi uko wapi?
Waliomfahamu Hamza hawakubaliani na ripoti hii ya polisi. Bila shaka CCM alikokuwa kiongozi na kada mtiifu hawakubaliani na ripoti kuwa Hamza alikuwa msiri au mtu wa kujitenga, achilia mbali kuwa gaidi.
Vipi bastola aliyokuwa nayo, ilimilikiwa kihalali? Hivi Hamza alipigwa risasi ngapi? Naye alifyatua risasi ngapi? Ziko wapi taarifa hizi?
Kulisikika pesa kiasi cha 400,000,000/= kuhusiana na kadhia ya Hamza kupotea. Kumesikika kupotea kwa madini ya Hamza na polisi wakihusishwa moja kwa moja kwenye kadhia hiyo.
Kumesikika uwepo wa kikaratasi (suicide note) chenye maelezo yote ya kwanini Hamza alichukua hatua hii.
Polisi ambaye ni mtuhumiwa anakuwa na uhalali upi kutojipendelea kwenye kadhia hii?
My take:
Ilikuwa ni kwa maslahi ya polisi na serikali kwa ujumla kuhakikisha uchunguzi huru, wa haki na unaoaminika unafanyika kwenye kadhia hii.
Wewe ni Polisi, au ndugu wa polisiHamza ni mhalifu, ni mtu aliyejiamulia njia ya kwenda kuzimu.
Wambura na Sirro wenyewe wapo kwenye udini ndio maana walijielekeza kwenye dini kwani Sirro alianza kutoa hukumu kabla ya huo walioita uchunguzi,je Wambura anaweza kutuambia ni dini gani mafundisho yake hayo aliyoyaita ni ufia dini inafundisha kufia dini ni kuua polisi.Tatzo wew upo kidini zaid haupo kwny ukwel
Matukio kama la yule jamaa hufanyika sana huko Marekani wangesema nao wayatambue kama ugaidi basi huko Marekani kungekuwa na magaidi ya kutosha.Lkn Yule Jamaa alifany tukio la kigaidi
Matukio kama la yule jamaa hufanyika sana huko Marekani wangesema nao wayatambue kama ugaidi basi huko Marekani kungekuwa na magaidi ya kutosha.
Kweli tupuAcha wayafunike badala ya kuyafichua. Aliyesema la kuvunda Halima ubani Alina mbali sana.
Litavunda tena.
Ila mkuu linapokuja suala la Dini Mimi sioni kama Tanzania Kuna udini kiasi hicho manaake hata hao maaskari wengi wao ni waislam sidhani kama serikali imeajiri wakrito pekeakeHii issue ya huyu jamaa nimeona kuna vitu viwili vilivyotumiwa na wengi kumhukumu kuwa ni gaidi.
- Kofia aliyokuwa amevaa; hii inatumiwa na dini ya Hamza, ni kielelezo cha kuwa muumini wa dini fulani, kwasababu hii naamini polisi na uchunguzi wao wakamaliza huyu alikuwa gaidi.
- Kutaja jina la "Allah"; pia jina hilo hutumiwa na dini ya Hamza kumuwakilisha Mungu wao, hapa pia jamaa zangu wakaunganisha matukio wakapata jibu walilotaka.
Mwishowe, jamaa zangu walipounganisha matukio ndio wakaja na jibu walilokuja nalo, ukiunganisha na silaha aliyoitumia Hamza kuwashambulia polisi ndio neno gaidi likazaliwa.
Lakini kiuhalisia, nikitazama mlolongo wa matukio uliotufikisha hapo, naona "inawezekana" Hamza alikuwa na tatizo lake binafsi na polisi, kipo alichofanyiwa, na kwa mtazamo wake akaona hawa polisi wananifanyia/tufanyia hivi kwasababu ya dini yetu, ndio maana akatamka yale maneno kwenye ile video, ndio matokeo yake kikatokea kilichotokea.
Dawa ya kumaliza hii issue, Tume Huru ije kuchunguza itoe majibu mjadala ufungwe.
Mwamwindi alliudhiwa na dr kleruu akamtwanga risasi na kesi ikaendeshwa haraka haraka akahukumiwa kunyongwa na JKN akasaini haraka sana jamaa akanyongwa!!! It is believed to be the only signature he signed on criminals who had death sentences.Sijui kwanini hii ishu ya Hamza imenifanya nikakumbuka kisa cha SAID ABDALLAH SIULANGA MWAMWINDI VS Dr. WILBERT KLERUU
hatuna jeshi la police hawa ni waporaji na wauajiKamanda Wambura ametoa taarifa yake kuhusiana na uchunguzi wa kadhia ya Hamza kuwa alikuwa ni gaidi.
Halipo jipya kwenye taarifa hiyo kwani ni wazi kuwa kilichofanyika ni kuhalalisha tu ambacho polisi kama sehemu ya kadhia wangekitaka.
View attachment 1921631
Ikumbukwe pia kamanda Sirro alishahoji hata uhalali wazazi wa Hamza kumzaa kama binadamu!
Kwanini walioshambuliwa na Hamza walikuwa ni polisi peke yao? Kwanini Hamza hakuonekana kujaribu kujificha ili kuendelea na mapambano kwa siku au hata masaa zaidi?
Kama Hamza alikuwa ni gaidi hakuwa na washirika wowote hapa nchini? Hakuwa na mawasiliano yoyote na washirika hao?
Kama Hamza alikuwa na washirika nje tu, ushahidi uko wapi?
Waliomfahamu Hamza hawakubaliani na ripoti hii ya polisi. Bila shaka CCM alikokuwa kiongozi na kada mtiifu hawakubaliani na ripoti kuwa Hamza alikuwa msiri au mtu wa kujitenga, achilia mbali kuwa gaidi.
Vipi bastola aliyokuwa nayo, ilimilikiwa kihalali? Hivi Hamza alipigwa risasi ngapi? Naye alifyatua risasi ngapi? Ziko wapi taarifa hizi?
Kulisikika pesa kiasi cha 400,000,000/= kuhusiana na kadhia ya Hamza kupotea. Kumesikika kupotea kwa madini ya Hamza na polisi wakihusishwa moja kwa moja kwenye kadhia hiyo.
Kumesikika uwepo wa kikaratasi (suicide note) chenye maelezo yote ya kwanini Hamza alichukua hatua hii.
Polisi ambaye ni mtuhumiwa anakuwa na uhalali upi kutojipendelea kwenye kadhia hii?
My take:
Ilikuwa ni kwa maslahi ya polisi na serikali kwa ujumla kuhakikisha uchunguzi huru, wa haki na unaoaminika unafanyika kwenye kadhia hii.
Polisi wetu bwana; ni vituko tupu. "Mbowe alivunja mguu kwa ulevi. Hamza ni gaidi aliyechagua wa kuua (selective terrorist)".Kamanda Wambura ametoa taarifa yake kuhusiana na uchunguzi wa kadhia ya Hamza kuwa alikuwa ni gaidi.
Halipo jipya kwenye taarifa hiyo kwani ni wazi kuwa kilichofanyika ni kuhalalisha tu ambacho polisi kama sehemu ya kadhia wangekitaka.
View attachment 1921631
Ikumbukwe pia kamanda Sirro alishahoji hata uhalali wazazi wa Hamza kumzaa kama binadamu!
Kwanini walioshambuliwa na Hamza walikuwa ni polisi peke yao? Kwanini Hamza hakuonekana kujaribu kujificha ili kuendelea na mapambano kwa siku au hata masaa zaidi?
Kama Hamza alikuwa ni gaidi hakuwa na washirika wowote hapa nchini? Hakuwa na mawasiliano yoyote na washirika hao?
Kama Hamza alikuwa na washirika nje tu, ushahidi uko wapi?
Waliomfahamu Hamza hawakubaliani na ripoti hii ya polisi. Bila shaka CCM alikokuwa kiongozi na kada mtiifu hawakubaliani na ripoti kuwa Hamza alikuwa msiri au mtu wa kujitenga, achilia mbali kuwa gaidi.
Vipi bastola aliyokuwa nayo, ilimilikiwa kihalali? Hivi Hamza alipigwa risasi ngapi? Naye alifyatua risasi ngapi? Ziko wapi taarifa hizi?
Kulisikika pesa kiasi cha 400,000,000/= kuhusiana na kadhia ya Hamza kupotea. Kumesikika kupotea kwa madini ya Hamza na polisi wakihusishwa moja kwa moja kwenye kadhia hiyo.
Kumesikika uwepo wa kikaratasi (suicide note) chenye maelezo yote ya kwanini Hamza alichukua hatua hii.
Polisi ambaye ni mtuhumiwa anakuwa na uhalali upi kutojipendelea kwenye kadhia hii?
My take:
Ilikuwa ni kwa maslahi ya polisi na serikali kwa ujumla kuhakikisha uchunguzi huru, wa haki na unaoaminika unafanyika kwenye kadhia hii.
Sijui kwanini hii ishu ya Hamza imenifanya nikakumbuka kisa cha SAID ABDALLAH SIULANGA MWAMWINDI VS Dr. WILBERT KLERUU
Je Yule Hamza alkua na malengo ya kisiasa?
Siku hizi ukileta za kuleta mawili yanakuhusu;
Wewe sio raia au
wewe ni gaidi (mdogo wake na osama)
Polisi wetu bwana; ni vituko tupu. "Mbowe alivunja mguu kwa ulevi. Hamza ni gaidi aliyechagua wa kuua (selective terrorist)".