Uchunguzi ulilenga kumkuta Hamza Mohammed Gaidi

Majina yake mawili tu tayari yanamfanya awe Gaidi pili msomali
 
kinachonisikitisha ni hasara aliyoipata Wambura , weledi wote aliokuwa nao umezikwa rasmi
kwa sababu tu hajasema hamza aliporwa dhahabu!!!

nyie watu,mnaendekeza siasa za mitaroni sana aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…