Kwa Tanzania waulize kilichowapata mapango ya amboni na kibiti wakakimbiza kobazi zao msumbijiKenya wakizidiwa c ndio wataanza na tz kuingia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Tanzania waulize kilichowapata mapango ya amboni na kibiti wakakimbiza kobazi zao msumbijiKenya wakizidiwa c ndio wataanza na tz kuingia
Acha tu hao hao wanaokanusha ndiyo hao hao wanaleta hizi habari. Mpaka unashangaa. Ninachokiona wakipigwa wanakanusha hawajihusishii now. Wakipiga wanahusika nao.Kuna watu walikuwa wanakanusha kuwa Al Shabaab sio kundi la kigaidi la kiislamu.
Sasa sijui bado baada ya kuona hii wataendelea na msimamo wao au wata switch.
Sijakataa wapo ila hawafiki 2 millions bro.
2 millions idadi kubwa sana,waislam wapo Israel ila sio idadi hiyo ya milion 2.
Labda ulete sensa hapa tuone na tuthibitishe.
Two Satan join together to fight "God of Israel"Hali inazidi kuwa tete katika mashariki ya kati na kwa Israel kufuatia taarifa kwamba wapiganaji wa Houth wameanza mazungumzo ya kuwapatia wanamgambo wa Alshabaab silaha kama walizonazo wao ili kuongeza nguvu katika vita vya meli zinazopita bahari zilizo karibu nao zenye uhusiano na Israel na washirika wake.
US intelligence assesses Houthis in Yemen in talks to provide weapons to al-Shabaab in Somalia, officials say
Netanyahu ana Mungu wa Kweli na haogopi Miungu uchwara masanamu ya arabian peninsula anapiga tu moja baada ya nyingine... Kwanza alitamani wajikusanye wote ila wanamuogopa.. i miss nuke war.. Yaani Waarabu wanashindwa ndio wanataka kuleta Somali gaidi? vichekesho kama hivi unapata JF tuKila Netanyahu anavyozidi kudharau nasaha na maazimio ndivyo anavyojikaribisha kwenye janga kubwa zaidi.
Termux umeliona hilo ?
Wewe Kafiri,janga la Dunia ni hili hapa.Hii dini imekuwa janga la dunia.
Kuna watu walikuwa wanakanusha kuwa Al Shabaab sio kundi la kigaidi la kiislamu.
Sasa sijui bado baada ya kuona hii wataendelea na msimamo wao au wata switch.
Netanyahu ana Mungu wa Kweli na haogopi Miungu uchwara masanamu ya arabian peninsula anapiga tu moja baada ya nyingine... Kwanza alitamani wajikusanye wote ila wanamuogopa.. i miss nuke war.. Yaani Waarabu wanashindwa ndio wanataka kuleta Somali gaidi? vichekesho kama hivi unapata JF tu
Hao hua wanajichomoa fuse,Unajaribu kufuma macho ili usione ni nani janga halisi la dunia.
Huoni kuwa ni wale wanaoua wenzao na kuvunja majumba yao.
Al Shabaab ni kikundi cha Magaidi wa Kiislamu anayewaunga mkono nae ni Gaidi mtarajiwa.Kuna watu walikuwa wanakanusha kuwa Al Shabaab sio kundi la kigaidi la kiislamu.
Sasa sijui bado baada ya kuona hii wataendelea na msimamo wao au wata switch.
Zamani watu walitishwa na hilo jina.Baada kuelewa madhumuni yake sasa hawajali tena.Al Shabaab ni kikundi cha Magaidi wa Kiislamu anayewaunga mkono nae ni Gaidi mtarajiwa.
🤣🤣🤣🤣🤣Mbona unaanza kubadili gia angani ghafla?
Umesema Houthi wanashindia tende tu,ndio nimekwambia,basi nenda wewe unayeshindia mihogo ukawapige kirahisi tu.
Maelfu ya Waumini wa Kiisilamu Afrika wanaachana na hiyo Dini kwa sababu ya mafundisho ya Kigaidi.Zamani watu walitishwa na hilo jina.Baada kuelewa madhumuni yake sasa hawajali tena.
Walipotishika na hilo jina ndipo walipotoa fursa ya ardhi zao na mali zake kumegwa na wao kuwa kama wageni katika dunia.
Unaweza kupigana nao na hali yao hiyo, au fox News zimewaharibu akili?Wahouthi wenyewe milo mitatu kwa siku hawaiwezi wanashindia Tende na Kahawa.
Alafu Wanasema wanapigania uislam kumbe ni njaa tuHali inazidi kuwa tete katika mashariki ya kati na kwa Israel kufuatia taarifa kwamba wapiganaji wa Houth wameanza mazungumzo ya kuwapatia wanamgambo wa Alshabaab silaha kama walizonazo wao ili kuongeza nguvu katika vita vya meli zinazopita bahari zilizo karibu nao zenye uhusiano na Israel na washirika wake.
US intelligence assesses Houthis in Yemen in talks to provide weapons to al-Shabaab in Somalia, officials say
Nyie akili zenu zikojje?Unasahau Mmarekani anavyowatumia mashoga zake wa Kenya?
Au hujuwi Ruto katoka kufanya nini Marekani juzi?
Shika adabu yako, hakuna Muislam haramia kama utakavyo.Nyie akili zenu zikojje?
Kwa hiyo mmarekani akikosea ndo uhalalali wa maharamia waislamu kukosea pia
Mmarekani akifanya ujinga anakemewa