Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ugaidi wa nchi zinazojiona miungu watu katika dunia ndio unafunza wengine kufanya kama wanavyofanyiwa.Mmbo ya sias ndio yanaleta makundi ya kigaidi , kipind cha migogoro ndio makundi yanaibuka pale syria yanazaliwa kila siku ..
Hao somalia wataanza kuteka meli kuendana na upepo.
Wajikomboe waondokane na Umasikini kwanza na sio kujiingiza kwenye Mavita yasiyowahusu.Unaweza kupigana nao na hali yao hiyo, au fox News zimewaharibu akili?
Sasa Mungu anataka akuoneshe kuwa mwenye njaa ana nguvu ya kumshinda aliyeshiba ambaye ni dhalimu.Wahouthi ni Njaa Alshababu ni Njaa Mungu kawalaani Magaidi ndio maana wanashindia Kahawa chungu.
Angalia Waisraeli walivyobarikiwa hakuna Njaa.
Mungu wa Magaidi sio Mungu ni ShehetaniSasa Mungu anataka akuoneshe kuwa mwenye njaa ana nguvu ya kumshinda aliyeshiba ambaye ni dhalimu.
"Waueni wale wasioamini" Allah anawaamrisha waumini wake sasa huyo Allah mwenyewe kama si Gaidi ni nan?!tafsiri ya neno gaidi ndiyo inayokutesa.
Acha uzushi wewe."Waueni wale wasioamini" Allah anawaamrisha waumini wake sasa huyo Allah mwenyewe kama si Gaidi ni nan?!
Wazushi ni Waarabu waliokopi vitabu vya Kiyahudi na Kikristu.Hushangai kuona hizo nchi za wazushi
alafu wanadanganyana mungu atawaletea chakura na usitumie vya kafiri ila hawa kumbuki silaha zinatoka ukoAlshababu wenyewe mlo wa mchana mpaka wakawaue Wafugaji wa Kisomali halafu waibe Mbuzi.
Bila Kafiri hata hayo Mafuta wangekuwa wanayatumia kwenye Vibatarialafu wanadanganyana mungu atawaletea chakura na usitumie vya kafiri ila hawa kumbuki silaha zinatoka uko
Kuwatetea magaidi ya Kiislam kunahitaji kujitoa ufahamuLete ushahidi wa unachoongea.
Maana hapo ni suala la kidiplomasia sio la kidini.
Hata Alshabaab ni kundi la kikabila sio la kidini.
Houthi ni political organisation sio kundi la kidini.
Popoma pro max wewe.
Alichofanya Yemeni ni sawa na alichofanya Hillary Clinton/USA kufadhili Taleban ili kuivunja USSR.
Kipi kilichokopiwa.Wazushi ni Waarabu waliokopi vitabu vya Kiyahudi na Kikristu.
Teknolojia zote walizonazo makafiri zimetokana na waislamu.Hawana jipya.Bila Kafiri hata hayo Mafuta wangekuwa wanayatumia kwenye Vibatari
Ndio mnavyodanganyana😆😆😆Teknolojia zote walizonazo makafiri zimetokana na waislamu.Hawana jipya.
Mafuta ni teknolojia za kikemia ambazo gwiji lililoanza distillation na kutenganisha kemikali ni Jabir bin Hayyan na wenzake.Vitabu vyao kwa kiarabu mpaka leo viko kwenye maktaba za makafiri.
Makafiri wenzako wala hawajatoa dharau kama za kwako kwa vile wanaujua ukweli.
Hakuna ushahidi huoQur'an ni kitabu cha Mungu