KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Habari za asubuhi waungwana......
Wakati mwingine kukaa bila kazi ya kufanya inafanya kichwa kizurure kifikra na kupitia mawazo mbali mbali.......
Katika kuzurura huko kimawazo nikajikuta nimewakumbuka baadhi ndugu, jamaa na marafiki ambao imetokea wameangukia kwenye pendo la hawa wadada wa kazi na wengi wao baada ya kunogewa na utamu wakajikuta wameoa kabisa..........
Tangia hapo sijapatapo kushuhudia au kusikia mgogoro yoyote ya kindoa kwa wanandoa hao....nikiangalia hawa wengine wenzangu na mimi........
Changamoto za kibinadamu za hapa na pale najua hazikosekaniki lakini maisha yanakwenda......
Inawezekana ikawa sample ni ndogo ya kuweza kutoa hitimisho lakini kwenye kuchagiza maongezi na kujazia nyama kupitia shuhuda na maoni ya wengine waliooa wanawake wa hivi nimependa kuliweka hapa ili kukosolewa na ikibidi kuwekwa Sawa......
Nawakaribisha waungwana.......
Wakati mwingine kukaa bila kazi ya kufanya inafanya kichwa kizurure kifikra na kupitia mawazo mbali mbali.......
Katika kuzurura huko kimawazo nikajikuta nimewakumbuka baadhi ndugu, jamaa na marafiki ambao imetokea wameangukia kwenye pendo la hawa wadada wa kazi na wengi wao baada ya kunogewa na utamu wakajikuta wameoa kabisa..........
Tangia hapo sijapatapo kushuhudia au kusikia mgogoro yoyote ya kindoa kwa wanandoa hao....nikiangalia hawa wengine wenzangu na mimi........
Changamoto za kibinadamu za hapa na pale najua hazikosekaniki lakini maisha yanakwenda......
Inawezekana ikawa sample ni ndogo ya kuweza kutoa hitimisho lakini kwenye kuchagiza maongezi na kujazia nyama kupitia shuhuda na maoni ya wengine waliooa wanawake wa hivi nimependa kuliweka hapa ili kukosolewa na ikibidi kuwekwa Sawa......
Nawakaribisha waungwana.......