JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Kombora hilo limesababisha vifo vya watu wawili katika Kijiji kimoja Nchini Poland lilirushwa na vikosi vya Ukraine wakati vikizuia mashambulizi kutoka kwa Urusi
Maofisa wa Marekani ambao hawakutaka kutaja majina yao wamebainisha kuwa tukio hilo lilitokea wakati Urusi ikishambulia miundombinu ya Ukraine.
Taarifa ya awali kutoka Poland ilieleza kuwa kombora lililotengenezwa Urusi limetua katika eneo la Przewodow, Lublin lililopo kilometa 6 kutoka mpaka wa Ukraine.
Ukraine bado inamiliki baadhi ya silaha ambazo zilitengenezwa na Urusi ikiwemo mfumo wa S-300 unaotumika kuzuia makombora.
=============
Poland missile was fired by Ukrainian forces at incoming Russian projectile, US officials say
A missile that hit Poland on Tuesday evening was fired by Ukrainian forces in their attempts to shoot down an incoming Russian projectile, US officials have been quoted as saying.
Three US officials, who spoke to the Associated Press on the condition of anonymity, said preliminary assessments suggested the missile was fired by Ukrainian forces during the Russian bombardment on energy infrastructure across Ukraine.
Polish officials said earlier that a “Russian-made missile” landed in a grain store in Przewodow, Lublin, about 6 km from the border with Ukraine.
Ukraine continues to maintain stocks of former Soviet and Russian-made weaponry, including the S-300 air-defense missile system.
The explosion within the borders of Nato-member state Poland killed two people, sparking an investigation and emergency meeting of the Group of Seven (G7) members who were in Indonesia.
Source: Independent
Maofisa wa Marekani ambao hawakutaka kutaja majina yao wamebainisha kuwa tukio hilo lilitokea wakati Urusi ikishambulia miundombinu ya Ukraine.
Taarifa ya awali kutoka Poland ilieleza kuwa kombora lililotengenezwa Urusi limetua katika eneo la Przewodow, Lublin lililopo kilometa 6 kutoka mpaka wa Ukraine.
Ukraine bado inamiliki baadhi ya silaha ambazo zilitengenezwa na Urusi ikiwemo mfumo wa S-300 unaotumika kuzuia makombora.
=============
Poland missile was fired by Ukrainian forces at incoming Russian projectile, US officials say
A missile that hit Poland on Tuesday evening was fired by Ukrainian forces in their attempts to shoot down an incoming Russian projectile, US officials have been quoted as saying.
Three US officials, who spoke to the Associated Press on the condition of anonymity, said preliminary assessments suggested the missile was fired by Ukrainian forces during the Russian bombardment on energy infrastructure across Ukraine.
Polish officials said earlier that a “Russian-made missile” landed in a grain store in Przewodow, Lublin, about 6 km from the border with Ukraine.
Ukraine continues to maintain stocks of former Soviet and Russian-made weaponry, including the S-300 air-defense missile system.
The explosion within the borders of Nato-member state Poland killed two people, sparking an investigation and emergency meeting of the Group of Seven (G7) members who were in Indonesia.
Source: Independent