Mkuu una pwenti kubwa sana na ndo hivyo tuko on point of no return, hamna kurudi.
UOVU NA UENDELEE azawaiz biblia itakuwa inasema uongo.
ZILE NYAKATI ZA TAABU ZILIZOTABIRIWA NA ZISHAMIRI ili neno litimie.
Eeh ubinafsi
tamaa ya fedha,
majivuno,
kujiona,
kumtukana Mungu,
kutotii wazazi,
kutokuwa na shukrani,
uovu,
kutokuwa na upendo moyoni,
kutokuwa na huruma,
uchongezi,
ulafi,
ukali,
kuchukia chochote kilicho chema,
uhaini,
ukaidi,
kujaa kiburi,
kupenda anasa kuliko kumpenda Mungu....
Wooote na muendelee kwaaana imeandikwa:
"Msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa namna yoyote ile, Maana siku hiyo haitakuja mpaka kwanza ule uasi utokee na yule Mwovu aonekane, ambaye mwisho wake ni kuangamizwa kabisa.
(2 Wathesalonike 2:3 BHN)
Jamani mwisho hauji mpaka uasi utokee kwahiyo mliochagua fungu hilo tunawaoomba mpambe moto Ili Mwokozi wetu arudi!
Yes it was written:
"Let the evildoer still do evil, and the filthy still be filthy, and the righteous still do right, and the holy still be holy.”
(Revelation 22:11 ESV)