Uchunguzi wangu unaonesha wanaume tunaongoza kuwafanyia ukatili, kuwaumiza na kuwasaliti wanawake

Uchunguzi wangu unaonesha wanaume tunaongoza kuwafanyia ukatili, kuwaumiza na kuwasaliti wanawake

cjui kama nakupata vizur ....Me nafkir hulka ya kimungu huwa haina makosa ndo mana mungu akikuumba na macho mawil tnasema yupo sawa lakn akikufanya kipofu pia tnasema mungu hakosei ..Kwa mantiki hii mwanaume kama mwakilish wa mungu hawez kuw n ushetani vinginevyo kanuni yako ianze kushughulika na mungu aliewapa mikono hawa na kuwanyima chakula wale.

Shetani ni Baba wa uongo. Shetani hajawahi kuwa Mama wala Mwanamke
Kama ilivyo kwa Mungu.
 
Mkuu nafikiri haya mambo yanahitaji uwe mzuri wa falsafa.
Acha kujificha, acha kujiwekea uzio.
Ubongo/akili ndio hutoa tafsiri, hutambua, husikia, huonja, hunusa
Tafiri hutolewa na ubongo ndio lakini macho ndio huona, au kiswahili kigumu ndgu??

Hoja iliyopo hapa ni wewe kuandika kua wasiomtaja Mungu hawana akili!!

Ukaenda mbali kwa kusema kua hawajaweza kuona kua Mungu yupo, kwahiyo kujua kua Mungu yupo ni kithibitisho kua mtu huyu ana akili, asieamini hilo basi mtu huyu hana akili sivyo??

Na je hii ni kwa mujibu wa falsafa yako, imani yako au ni akili yako tu jinsi "inavyoona" mambo kama uaminivyo??
 
Msimamo sio kitu kibaya.
Hasa msimamo katika mambo Mema.
Lakini sio mambo ya kipuuzi na akili za kijinga.
mtibeli leo hilo lishangazi lililokutoa out hakika limekwapua IQ yako!!mwanamke bila mwongozo wa mwanaume ni mpotofu alietukuka!angalia wanawake single uone how they behave,au wale jamaa zao hawana ukali na misimamo,ni wa hovyo kupindukia!
 
Haki ipi Unazungumzia?
Kutambua uwepo wa Watu wasio na akili kwani sio Haki?
Kutambua watu wasio na akili ni kuminya Haki zao?

Labda sijui Unazungumzia Uhuru upi?
Mimi sijakataa wala sijazuia Watu wengine kumkubali au kumkataa aliyewaumba.

Ikiwa wapo wanaowakataa wazazi wao waliowazaa wanaowaona sijashangaa sembuse wanaomkataa aliyewaumba ambaye hawamuoni.
Wana haki kwa sababu hawana ile akili ya kuona uwepo wa Mungu.

Zingatia, kinachoona ni akili(Ubongo) na sio macho.
[emoji107]
 
  • Thanks
Reactions: 511
Nakubali mkuu.
Hawa dada zetu ni balaa, wengi wanajilengesha tu sasa mimi kama me niliekamilika naanzaje kumkwepa.
Hapa JF pekee nimekula 78 (hit and run) kama revenge kwa nilichofanyiwa na mmoja wao way back.
Mhhh!
 
Kwema Wakuu!

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa linapokuja swala la kupasuana, kuumizana, kutesana, kukatiliana na kusalitiana kati ya mwanaume na mwanamke basi sisi wanaume ndio tunaongoza.

Sio habari mwanaume kumcheat Mwanamke. Hiyo sio habari. Wanaume tuna ubinafsi katika suala la kihisia. Kwamba sisi ndio tunaumia tuu lakini wanawake hawaumii. Kwamba sisi tunaona sawa tunapofanya usaliti kwa kulala na wanawake wengine. Lakini wanawake wakifanya hivyo inakuwa ni habari ya swala kula simba.

Sio habari Mwanaume kumfukuza mkewe au mwanamke wake nyumbani tena mikono mitupu tena wakati mwingine bila sababu ya msingi.
Ni unyama, ukatili, ushetani, ubaya, roho chafu ya giza.
Lakini Mwanamke akifanya hivyo ni habari.

Ni kitu cha kawaida kwa sisi wanaume kuwafukuza wanawake ambao labda wameshindwa kutuzalia watoto, au baada ya kuzaa maumbo yao yamebadilika na kuwa tukunyema.
Lakini sisi ndio tunakuwa wakwanza kupiga kelele pale Mwanamke anapotukimbia tunapofilisika.

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa hakuna kiumbe mnyanyasaji na mkatili kama sisi wanaume. Sisi wanaume tunapopata vijisenti au kwa kigezo cha kuhudumia familia. Tunataka tuabudiwe kama miungu fulani. Hata tunapokosea hatuonyeshi kujishusha na kuwa wanyenyekevu. Tunaona ni kujidhalilisha. Ni kama tunageuka Mashetani maana shetani ndiye anakiburi cha uzima.

Unapokuwa mnyenyekevu au kuomba msamaha haiathiri uanaume wako, ubaba wako na ufalme wako. Isipokuwa unazidi kuonyesha wewe ni Mwanaume bora uliyekamilika. Unayejiamini na mwalimu bora wa kuigwa.

Hivi wewe ukikosea alafu badala ya kutafuta suluhu na kuomba msamaha hautaki, unategemea huyo mkeo au hao watoto wanajifunza nini? Unategemea mkeo naye akikosea akuombe msamaha? Thubutu! Labda huyo mke awe boya fulani, lakini Binti za Tibeli Wana react vile unavyowachukulia na kuwa-treat.

MKE mwema na bora hawezi kuwa mnyenyekevu kwa mwanaume mwenye kiburi na Mpumbavu. Binti za Tibeli nilishawaagiza nini chakufanya wanapokutana na Scenario za namna hiyo.

Kiburi cha uzima ndio unaita uanaume.
Uanaume ni akili na maarifa, upendo na Haki na kuhakikisha mambo yanaenda Sawa.

Hamtaki Wanawake washike amri ya Mungu mkuu ili wawe watumwa wenu. Amri ya kufanya kazi ndio amri pekee ambayo inamfanya mtu aweze kumwabudu Mungu katika roho na kweli. Kwa sababu mtu atajitegemea na kuwa huru kuitenda haki na Kweli.

Binti za Tibeli nilishawaeleza na kuwaagiza kuwa ni lazima wafanye kazi ili waweze kumuabudu Mungu kwa roho na kweli kuliko kuabudu Wanaume wasio na Akili.

Binti Elewa, kama hutofanya kazi kuna hatihati ya kunyanyaswa na kuabudu mwanaume badala ya kumwabudu Mungu wa kweli.

Kupata Wanaume bora wa viwango vya juu ambao wanaupendo, Haki, akili na Kweli ni nadra.
Najua kuna Watu hawatanielewa!

Vijana wa Tibeli tunajua hatukuumbwa wanaume ili tuabudiwe. Hatukuumbwa wanaume ili kuwatesa wanawake kwa uanaume wetu.
Tunahudumia Wake zetu sio kwa sababu sisi ni Wanaume bali kwa sababu ya Upendo. Kama wao wanavyotuhudumia sio kwa sababu ya uanamke wao bali kwa sababu ya upendo.

Unam-cheat na kumdhulumu haki Mkeo alafu hapohapo unategemea awe anakupa tendo la ndoa. Hivi hizo akili mnatoleaga wapi?
Elewa mapenzi kwa mwanamke ni Hisia.
Mwanamke ukishaziumiza hisia zake hupoteza hisia za mapenzi. Ni lazima apone ili zirudi.

Yaani kwa akili zako ndogo, umekutwa na sms ya mchepuko, au amekufumania akaumia unategemea vile ulivyoomba msamaha na maneno yako mawili matatu basi ndio moyo wake umetulia na imeisha. Unaumwa wewe!

Usijepe Haki ya kufanya makosa. Usijepe uhalali wa kumuumiza mtu mwingine.
Usije haki ya kufanya makosa kwa Mkeo.
Kwamba kwa vile wewe ni mwanaume unaruhusiwa kuoa au kulala na wanawake wengi zaidi ya huyo uliyenaye. Kwa vile wewe ni mwanaume unahaki ya kuongea neno lolote bila kujali zuri au baya mbele ya mkeo, kwa vile umwanaume basi unarudi nyumbani utakavyo alafu muda huohuo umeweka sheria ya mkeo arudi saa ngapi. Ukiona wapi utawala wa hivyo kama sio kwa mashetani tuu? Huo ni Ushetani na kutokujali hisia za mtu mwingine. Ni ubinafsi.

Jambo lolote ambalo linakuumiza chukulia pia litamuumiza Mkeo.
Kama wewe hutaki mkeo awe na wanaume wengine, elewa hata yeye hataki. Mwanamke ni mfano wa mwanaume. Vile ulivyo ndivyo naye alivyo. Utofauti upo lakini ni mdogo. Ukilinganisha na mambo mnayofanana.

Wanawake wamejifunza tabia mbaya ya ubinafsi kutoka kwetu Wanaume. Ukisikia wanawake ni makatili au wanyanyasaji au matapeli elewa kuwa mwanaume ni mara mbili yake. Sisi wanaume ndio tumewafundisha hizo tabia za kutu hawa wanawake.

Walionielewa waendelee kunielewa. Wale ambao hawajanielewa na hawataki kunielewa hiyo ipo juu yao.

Acha nipumzike

Nawatakia maandalizi mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
ukweli mtupu!
 
Kwema Wakuu!

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa linapokuja swala la kupasuana, kuumizana, kutesana, kukatiliana na kusalitiana kati ya mwanaume na mwanamke basi sisi wanaume ndio tunaongoza.

Sio habari mwanaume kumcheat Mwanamke. Hiyo sio habari. Wanaume tuna ubinafsi katika suala la kihisia. Kwamba sisi ndio tunaumia tuu lakini wanawake hawaumii. Kwamba sisi tunaona sawa tunapofanya usaliti kwa kulala na wanawake wengine. Lakini wanawake wakifanya hivyo inakuwa ni habari ya swala kula simba.

Sio habari Mwanaume kumfukuza mkewe au mwanamke wake nyumbani tena mikono mitupu tena wakati mwingine bila sababu ya msingi.
Ni unyama, ukatili, ushetani, ubaya, roho chafu ya giza.
Lakini Mwanamke akifanya hivyo ni habari.

Ni kitu cha kawaida kwa sisi wanaume kuwafukuza wanawake ambao labda wameshindwa kutuzalia watoto, au baada ya kuzaa maumbo yao yamebadilika na kuwa tukunyema.
Lakini sisi ndio tunakuwa wakwanza kupiga kelele pale Mwanamke anapotukimbia tunapofilisika.

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa hakuna kiumbe mnyanyasaji na mkatili kama sisi wanaume. Sisi wanaume tunapopata vijisenti au kwa kigezo cha kuhudumia familia. Tunataka tuabudiwe kama miungu fulani. Hata tunapokosea hatuonyeshi kujishusha na kuwa wanyenyekevu. Tunaona ni kujidhalilisha. Ni kama tunageuka Mashetani maana shetani ndiye anakiburi cha uzima.

Unapokuwa mnyenyekevu au kuomba msamaha haiathiri uanaume wako, ubaba wako na ufalme wako. Isipokuwa unazidi kuonyesha wewe ni Mwanaume bora uliyekamilika. Unayejiamini na mwalimu bora wa kuigwa.

Hivi wewe ukikosea alafu badala ya kutafuta suluhu na kuomba msamaha hautaki, unategemea huyo mkeo au hao watoto wanajifunza nini? Unategemea mkeo naye akikosea akuombe msamaha? Thubutu! Labda huyo mke awe boya fulani, lakini Binti za Tibeli Wana react vile unavyowachukulia na kuwa-treat.

MKE mwema na bora hawezi kuwa mnyenyekevu kwa mwanaume mwenye kiburi na Mpumbavu. Binti za Tibeli nilishawaagiza nini chakufanya wanapokutana na Scenario za namna hiyo.

Kiburi cha uzima ndio unaita uanaume.
Uanaume ni akili na maarifa, upendo na Haki na kuhakikisha mambo yanaenda Sawa.

Hamtaki Wanawake washike amri ya Mungu mkuu ili wawe watumwa wenu. Amri ya kufanya kazi ndio amri pekee ambayo inamfanya mtu aweze kumwabudu Mungu katika roho na kweli. Kwa sababu mtu atajitegemea na kuwa huru kuitenda haki na Kweli.

Binti za Tibeli nilishawaeleza na kuwaagiza kuwa ni lazima wafanye kazi ili waweze kumuabudu Mungu kwa roho na kweli kuliko kuabudu Wanaume wasio na Akili.

Binti Elewa, kama hutofanya kazi kuna hatihati ya kunyanyaswa na kuabudu mwanaume badala ya kumwabudu Mungu wa kweli.

Kupata Wanaume bora wa viwango vya juu ambao wanaupendo, Haki, akili na Kweli ni nadra.
Najua kuna Watu hawatanielewa!

Vijana wa Tibeli tunajua hatukuumbwa wanaume ili tuabudiwe. Hatukuumbwa wanaume ili kuwatesa wanawake kwa uanaume wetu.
Tunahudumia Wake zetu sio kwa sababu sisi ni Wanaume bali kwa sababu ya Upendo. Kama wao wanavyotuhudumia sio kwa sababu ya uanamke wao bali kwa sababu ya upendo.

Unam-cheat na kumdhulumu haki Mkeo alafu hapohapo unategemea awe anakupa tendo la ndoa. Hivi hizo akili mnatoleaga wapi?
Elewa mapenzi kwa mwanamke ni Hisia.
Mwanamke ukishaziumiza hisia zake hupoteza hisia za mapenzi. Ni lazima apone ili zirudi.

Yaani kwa akili zako ndogo, umekutwa na sms ya mchepuko, au amekufumania akaumia unategemea vile ulivyoomba msamaha na maneno yako mawili matatu basi ndio moyo wake umetulia na imeisha. Unaumwa wewe!

Usijepe Haki ya kufanya makosa. Usijepe uhalali wa kumuumiza mtu mwingine.
Usije haki ya kufanya makosa kwa Mkeo.
Kwamba kwa vile wewe ni mwanaume unaruhusiwa kuoa au kulala na wanawake wengi zaidi ya huyo uliyenaye. Kwa vile wewe ni mwanaume unahaki ya kuongea neno lolote bila kujali zuri au baya mbele ya mkeo, kwa vile umwanaume basi unarudi nyumbani utakavyo alafu muda huohuo umeweka sheria ya mkeo arudi saa ngapi. Ukiona wapi utawala wa hivyo kama sio kwa mashetani tuu? Huo ni Ushetani na kutokujali hisia za mtu mwingine. Ni ubinafsi.

Jambo lolote ambalo linakuumiza chukulia pia litamuumiza Mkeo.
Kama wewe hutaki mkeo awe na wanaume wengine, elewa hata yeye hataki. Mwanamke ni mfano wa mwanaume. Vile ulivyo ndivyo naye alivyo. Utofauti upo lakini ni mdogo. Ukilinganisha na mambo mnayofanana.

Wanawake wamejifunza tabia mbaya ya ubinafsi kutoka kwetu Wanaume. Ukisikia wanawake ni makatili au wanyanyasaji au matapeli elewa kuwa mwanaume ni mara mbili yake. Sisi wanaume ndio tumewafundisha hizo tabia za kutu hawa wanawake.

Walionielewa waendelee kunielewa. Wale ambao hawajanielewa na hawataki kunielewa hiyo ipo juu yao.

Acha nipumzike

Nawatakia maandalizi mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
ukweli mtupu!
 
Sisi ni TRA wao ni wafanyabishara, wewe ulishawahi ona kodi inakusanywa kutoka kwa mfanyabiashara mmoja...??? Uliona wapi
 
Kwema Wakuu!

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa linapokuja swala la kupasuana, kuumizana, kutesana, kukatiliana na kusalitiana kati ya mwanaume na mwanamke basi sisi wanaume ndio tunaongoza.

Sio habari mwanaume kumcheat Mwanamke. Hiyo sio habari. Wanaume tuna ubinafsi katika suala la kihisia. Kwamba sisi ndio tunaumia tuu lakini wanawake hawaumii. Kwamba sisi tunaona sawa tunapofanya usaliti kwa kulala na wanawake wengine. Lakini wanawake wakifanya hivyo inakuwa ni habari ya swala kula simba.

Sio habari Mwanaume kumfukuza mkewe au mwanamke wake nyumbani tena mikono mitupu tena wakati mwingine bila sababu ya msingi.
Ni unyama, ukatili, ushetani, ubaya, roho chafu ya giza.
Lakini Mwanamke akifanya hivyo ni habari.

Ni kitu cha kawaida kwa sisi wanaume kuwafukuza wanawake ambao labda wameshindwa kutuzalia watoto, au baada ya kuzaa maumbo yao yamebadilika na kuwa tukunyema.
Lakini sisi ndio tunakuwa wakwanza kupiga kelele pale Mwanamke anapotukimbia tunapofilisika.

Uchunguzi wangu unaonyesha kuwa hakuna kiumbe mnyanyasaji na mkatili kama sisi wanaume. Sisi wanaume tunapopata vijisenti au kwa kigezo cha kuhudumia familia. Tunataka tuabudiwe kama miungu fulani. Hata tunapokosea hatuonyeshi kujishusha na kuwa wanyenyekevu. Tunaona ni kujidhalilisha. Ni kama tunageuka Mashetani maana shetani ndiye anakiburi cha uzima.

Unapokuwa mnyenyekevu au kuomba msamaha haiathiri uanaume wako, ubaba wako na ufalme wako. Isipokuwa unazidi kuonyesha wewe ni Mwanaume bora uliyekamilika. Unayejiamini na mwalimu bora wa kuigwa.

Hivi wewe ukikosea alafu badala ya kutafuta suluhu na kuomba msamaha hautaki, unategemea huyo mkeo au hao watoto wanajifunza nini? Unategemea mkeo naye akikosea akuombe msamaha? Thubutu! Labda huyo mke awe boya fulani, lakini Binti za Tibeli Wana react vile unavyowachukulia na kuwa-treat.

MKE mwema na bora hawezi kuwa mnyenyekevu kwa mwanaume mwenye kiburi na Mpumbavu. Binti za Tibeli nilishawaagiza nini chakufanya wanapokutana na Scenario za namna hiyo.

Kiburi cha uzima ndio unaita uanaume.
Uanaume ni akili na maarifa, upendo na Haki na kuhakikisha mambo yanaenda Sawa.

Hamtaki Wanawake washike amri ya Mungu mkuu ili wawe watumwa wenu. Amri ya kufanya kazi ndio amri pekee ambayo inamfanya mtu aweze kumwabudu Mungu katika roho na kweli. Kwa sababu mtu atajitegemea na kuwa huru kuitenda haki na Kweli.

Binti za Tibeli nilishawaeleza na kuwaagiza kuwa ni lazima wafanye kazi ili waweze kumuabudu Mungu kwa roho na kweli kuliko kuabudu Wanaume wasio na Akili.

Binti Elewa, kama hutofanya kazi kuna hatihati ya kunyanyaswa na kuabudu mwanaume badala ya kumwabudu Mungu wa kweli.

Kupata Wanaume bora wa viwango vya juu ambao wanaupendo, Haki, akili na Kweli ni nadra.
Najua kuna Watu hawatanielewa!

Vijana wa Tibeli tunajua hatukuumbwa wanaume ili tuabudiwe. Hatukuumbwa wanaume ili kuwatesa wanawake kwa uanaume wetu.
Tunahudumia Wake zetu sio kwa sababu sisi ni Wanaume bali kwa sababu ya Upendo. Kama wao wanavyotuhudumia sio kwa sababu ya uanamke wao bali kwa sababu ya upendo.

Unam-cheat na kumdhulumu haki Mkeo alafu hapohapo unategemea awe anakupa tendo la ndoa. Hivi hizo akili mnatoleaga wapi?
Elewa mapenzi kwa mwanamke ni Hisia.
Mwanamke ukishaziumiza hisia zake hupoteza hisia za mapenzi. Ni lazima apone ili zirudi.

Yaani kwa akili zako ndogo, umekutwa na sms ya mchepuko, au amekufumania akaumia unategemea vile ulivyoomba msamaha na maneno yako mawili matatu basi ndio moyo wake umetulia na imeisha. Unaumwa wewe!

Usijepe Haki ya kufanya makosa. Usijepe uhalali wa kumuumiza mtu mwingine.
Usije haki ya kufanya makosa kwa Mkeo.
Kwamba kwa vile wewe ni mwanaume unaruhusiwa kuoa au kulala na wanawake wengi zaidi ya huyo uliyenaye. Kwa vile wewe ni mwanaume unahaki ya kuongea neno lolote bila kujali zuri au baya mbele ya mkeo, kwa vile umwanaume basi unarudi nyumbani utakavyo alafu muda huohuo umeweka sheria ya mkeo arudi saa ngapi. Ukiona wapi utawala wa hivyo kama sio kwa mashetani tuu? Huo ni Ushetani na kutokujali hisia za mtu mwingine. Ni ubinafsi.

Jambo lolote ambalo linakuumiza chukulia pia litamuumiza Mkeo.
Kama wewe hutaki mkeo awe na wanaume wengine, elewa hata yeye hataki. Mwanamke ni mfano wa mwanaume. Vile ulivyo ndivyo naye alivyo. Utofauti upo lakini ni mdogo. Ukilinganisha na mambo mnayofanana.

Wanawake wamejifunza tabia mbaya ya ubinafsi kutoka kwetu Wanaume. Ukisikia wanawake ni makatili au wanyanyasaji au matapeli elewa kuwa mwanaume ni mara mbili yake. Sisi wanaume ndio tumewafundisha hizo tabia za kutu hawa wanawake.

Walionielewa waendelee kunielewa. Wale ambao hawajanielewa na hawataki kunielewa hiyo ipo juu yao.

Acha nipumzike

Nawatakia maandalizi mema ya Sabato

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Na wao waoe, Ili hao wanaume waliowaoa waki wa cheat wawafukuze!
 
Acha kujificha, acha kujiwekea uzio.

Tafiri hutolewa na ubongo ndio lakini macho ndio huona, au kiswahili kigumu ndgu??

Hoja iliyopo hapa ni wewe kuandika kua wasiomtaja Mungu hawana akili!!

Ukaenda mbali kwa kusema kua hawajaweza kuona kua Mungu yupo, kwahiyo kujua kua Mungu yupo ni kithibitisho kua mtu huyu ana akili, asieamini hilo basi mtu huyu hana akili sivyo??

Na je hii ni kwa mujibu wa falsafa yako, imani yako au ni akili yako tu jinsi "inavyoona" mambo kama uaminivyo??

😃😃
Kinachoona ni ubongo hiyo mbona hiyo ipo wazi
 
mtibeli leo hilo lishangazi lililokutoa out hakika limekwapua IQ yako!!mwanamke bila mwongozo wa mwanaume ni mpotofu alietukuka!angalia wanawake single uone how they behave,au wale jamaa zao hawana ukali na misimamo,ni wa hovyo kupindukia!

😃😃
 
Hapana Mimi binafsi Ninakataa Wala siungi mkono hizo harakati za haki za wanawake sijui unyanyasaji wa wanawake Kwa sababu ni siasa hamna kingine zaidi ya siasa ni kama ccm na chadema Kwa mtu ambaye
anajua nin maana ya siasa ananielewa

Ipo hivi Watu wengi au binadamu kiufupi yeyote yule bila kujalisha jinsia ni anaweza kutenda uovu na kufanya mambo ya kuhatarisha viumbe vingine Kwa ajili analotaka hii ndio reality human nature hakuna mtakatifu Wala malaika hapa wote bila kujalisha jinsia tuna makando yetu
Sasa swali kwanini kama wote sisi tunaonea na kuonewa iweje kundi Moja liamke kulaumu kundi kingine na kutafuta support na huruma public kama vile wenyewe ni kundi la malaika kama sio siasa nini hizo harakati zenu ni siasa full stop

Wote humu mnaishi mtaani mnaona hali halisi njinsi Kuna wanaume kwa wanawake ambao hufanya ukatili Kwa wapenzi wao Kwa ajili ya tamaa zao binafsi bila kujali utu labda kama wewe huelewi maana ukatili au unaishi mbinguni ambako labda Kuna wanawake wa takatifu ila kiuhalisia sisi tunaoitwa watu wote ni waovu ila kinachofanyika ni politics za blame shifting hakuna kingine Yani kila mtu anataka aonekane mtakatifu au victim Kwa kila jambo ila ukweli kazidiwa kete au maarifa ndio anaanza kutafuta huruma ambayo huruma hiyo akiipata ataitumia kumuangusha yule aliyemshida na hata kuanza kunyanyasa wengine ambao hawausiki

Ndio maana Mungu mwenyewe sometimes ajibu maombi ya hawo wanaojiita wanyonge Kwa sababu anajua ni binadamu ni walewale ni vile wamezidiwa ujanja ila wakipata nguvu hufanya Yale ambayo alikuwa akiyapinga
 
Hapana Mimi binafsi Ninakataa Wala siungi mkono hizo harakati za haki za wanawake sijui unyanyasaji wa wanawake Kwa sababu ni siasa hamna kingine zaidi ya siasa ni kama ccm na chadema Kwa mtu ambaye
anajua nin maana ya siasa ananielewa

Ipo hivi Watu wengi au binadamu kiufupi yeyote yule bila kujalisha jinsia ni anaweza kutenda uovu na kufanya mambo ya kuhatarisha viumbe vingine Kwa ajili analotaka hii ndio reality human nature hakuna mtakatifu Wala malaika hapa wote bila kujalisha jinsia tuna makando yetu
Sasa swali kwanini kama wote sisi tunaonea na kuonewa iweje kundi Moja liamke kulaumu kundi kingine na kutafuta support na huruma public kama vile wenyewe ni kundi la malaika kama sio siasa nini hizo harakati zenu ni siasa full stop

Wote humu mnaishi mtaani mnaona hali halisi njinsi Kuna wanaume kwa wanawake ambao hufanya ukatili Kwa wapenzi wao Kwa ajili ya tamaa zao binafsi bila kujali utu labda kama wewe huelewi maana ukatili au unaishi mbinguni ambako labda Kuna wanawake wa takatifu ila kiuhalisia sisi tunaoitwa watu wote ni waovu ila kinachofanyika ni politics za blame shifting hakuna kingine Yani kila mtu anataka aonekane mtakatifu au victim Kwa kila jambo ila ukweli kazidiwa kete au maarifa ndio anaanza kutafuta huruma ambayo huruma hiyo akiipata ataitumia kumuangusha yule aliyemshida na hata kuanza kunyanyasa wengine ambao hawausiki

Ndio maana Mungu mwenyewe sometimes ajibu maombi ya hawo wanaojiita wanyonge Kwa sababu anajua ni binadamu ni walewale ni vile wamezidiwa ujanja ila wakipata nguvu hufanya Yale ambayo alikuwa akiyapinga

Mwanamke akipata pesa ndio anakuwa na mapenzi ya kweli kwa Mumewe
 
Back
Top Bottom