Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Leo umefeli mtibeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mada zao humu ni ngumu kwelikweliANDIKO ZURI SANA.
..........ila sasa...........
Kwa wakuu wa humu ndani,
tuseme umetwanga maji kwenye Kinu ndugu mwandishi..
Kazi ya ubongo ni nini?😃😃
Kinachoona ni ubongo hiyo mbona hiyo ipo wazi
Kazi ya ubongo ni nini?
Sawa.Kazi ya Ubongo ni nyingi mno.
Kutambua (kuona, kunusa, kuonja, kuhisi, kusikia) ambapo ipo milango ya hivyo vitu.
Pia kazi ya ubongo ni kuratibu shughuli zote za mwili
Sawa.