Uchunguzi wangu wa awali kuhusu mgodi wa siri uliopo ndani ya pori la hifadhi Singida-Tabora

Sioni shida ya mgodi kuwa na ndege
Sio lazima kuwepo barabara
Kujenga barabara yaweza kuwa gjatama kubwa kulliko faida ya mgodi wenyewe
Nadhani hapa Key Word na Tatizo ni Usiri....; Kama hii ni Mali ya Mpaka vizazi vijavyo kwa wachache kuifisadi kwa faida ya wachache ni tatizo na shida kubwa sana...
 
Si unaona hata chawa wao wameshaanza kumshambulia mleta hoja.
 
Umekosea ungetaja huo mgodi unamilikiwa na Waarabu ungepata comments nyingi sana. Lakini hao Wazungu wafuasi wao wataweka ulimi puani.
 
Kizimkazi hajui na hana muda w kujua.yy ni kutengua na kuteua tu. Ndio anacho weza.
 
Mpaka muda huu navyosema watakuwa wameshaamrisha maaskari wakasake maeneo yote ndani na jirani ya hifadhi zilizotajwa ili kuwapata walioweka kambi ili kutoa taarifa za mgodi huo kisha kumsaka bwana mdude apewe kesi. 😁 af kwenye tv utasikia solidarity forever 🤪
 
Hivi hii nchi itaendelea kutafunwa hivi na wachache hadi lini. Jamani wananchi amkeni nchi imebaki mifupa tupu hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…