Uchunguzi wangu wa awali kuhusu mgodi wa siri uliopo ndani ya pori la hifadhi Singida-Tabora

Hebu mtu afuatilie hizo coordinates 6°49'03.8"S 34°13'07.9"E kwenye ramani za maeneo yenye madini kutoka GST. Tuone kuna aina gani ya madini yako hapo
 
Hayo mambo ni kuangalia na kuacha kwa salama wa uhai wako. Sehemu x marehemu alikua na mgodi wake kabisa na ulikua ndani ya hifadhi lakini kwenye tv na redio anatupia episode za uzalendo
Alikuwa na mgodi kule Mlimba Morogoro sijui kama bado upo hai.
 
Kuna vitu vya hovyo vinafanyika katika huo mgodi wenyewe wanaita kitunda mgodini ni mpaka kati ya Tabora na katavi
Huko siko mzee, unazungmzia kitunda ya kiwele ni tofaut na huko anakokuzungmzia mtoa mada, ni sehem moja hivi unapita njia ya itigi kwenda migandu/ mitundu huko kama sikosei
 
Hujui kitu wew uliza kwa wanaojua uambiwe, mgodi upo na hiyo sehem wananchi ndo walianzisha kuchimba kwa siri baada ya serikali kugundua wakatuma maaskali game kwenda kuzuia na kuwakamata wananchi tena kama hujui roho za watu wengi zimepotezwa humo porini juu ya hilo sakata la hayo machimbo [emoji119]
 
Huko siko mzee, unazungmzia kitunda ya kiwele ni tofaut na huko anakokuzungmzia mtoa mada, ni sehem moja hivi unapita njia ya itigi kwenda migandu/ mitundu huko kama sikosei
Sasa hiyo sio kitunda mkuu yeye anazumzingia mwamagembe?
 
Hivi hii nchi itaendelea kutafunwa hivi na wachache hadi lini. Jamani wananchi amkeni nchi imebaki mifupa tupu hii.
Me nadhani tugawane tu maeneo kama kila mtanzania mita kumi basi akiuza atajua pa kwenda 😂😂
 
CC: Robert S Gulenga hebu aisome..

Mimi nadhani hii kitu ni rahisi tu. Ni kiasi cha wahusika (serikali) kutoka na kutoa ufafanuzi ili kama ni uzushi basi uishie hapo..

Kukaa kimya ni ishara kuwa, tuhuma hizi zinazotolewa ni za kweli tupu..

Na kwa tunavyofahamu viongozi wa serikali hii chini ya CCM ni walafi na ni wezi walioubuhu na wanaweza kufanya lolote kuhujumu nchi na wananchi ili mradi wanapata pesa..
 
Sawa mkuu S A Y I lakini thibitisheni maelezo yenu, kusema tu hujui kitu haitoshi, Sheria za Tanzania zinazuia watu kuchimba Madini bila kuwa na kibali/leseni, sasa kama waliofukuzwa hawakuwa na leseni shida iko wapi? Mkuu mimi najua issue zote kuhusu PL na MPL, kwahiyo eneo hilo unalosema kama ni kweli walifukuzwa itakuwa kwa sababu hawakufuata utaratibu
 
Hivi kwanini huwa unatetea mambo mabaya? Jambo likiwa linapigiwa kelele na wengi wewe unatetea! Why
Huyo tatizo lake ni udini tuu wala usihangaike na kibwengo huyo ,huyo hata muislam mwenzie akimnyea mavi mdomoni atakwambia sio mavi ni urojo
 
Hizo picha zinaonyesha kama kambi ya utalii hivi. Bado hatujaona picha za mgodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…