UCL FAINAL 2018: Liverpool baada ya kuwatoa AS Roma sasa kukwaana na Real Madrid katika mchezo wa fainali

sumbai

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
19,955
Reaction score
45,207
Liverpool FC sasa itakwaana na Real Madrid katika mchezo wa Fainali unaotarajiwa kupigwa katika dimba la Olympic National Sports Complex huko Jijini Kiev nchini Ukraine

Mchezo huo utapigwa tarehe 26 mwezi huu


======

Naiona fainali rahisi saaana kwa Real Madrid.

Kutokana na mapungufu makubwa katika safu ya ulinzi ya liverpool

Japo mpira ni dakika 90.

==========
Nilisema itakuwa fainali nyepesi saana. Pamoja ya kuumia mapema kwa Mo Salah.

Hongera saana Real Madrid
 
May 26th, 2018 I hope utakuwa mchapo wa nguvu wenye ushindani mwanzo mwisho kwa dakika zote 90, kama itabidi extra time na maguu 12 ya mtu mzima mwenye akili timamu.
Dj BAKI hamna hiyo kitu. Sioni nafasi ya liver.

Kwa madrid hii iliyokuwa sirias na UEFA.

Fainali rahisi saana
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…