Udaku Special 2nd Edition!! Limesheheni....


I miss you too jaman
 
Last edited by a moderator:

vipi mkuu, umeadimika sana, rudi aisee..niliambiwa uko Vienna Austria. vipi hali huko?
 
Last edited by a moderator:
vipi mkuu, umeadimika sana, rudi aisee..niliambiwa uko Vienna Austria. vipi hali huko?
Nilisharudi mkuu.....niko zangu Ngarenaro kama kawaida naenjoy penzi la Chocs wangu tu sina jingine...!
 
Last edited by a moderator:
Miss u so much jamani....
Mi mzima sana sema mambo ya dunia mengi sana....

afadhali uko sawa mkuu..
yalizuka mengi sana hapa juu yako.
mara sembe mara sijui nini...
 
Hahahahah duuuh....mi silazimishi ndugu mwandishi nawakumbusha wajibu tu

hivi huyu mtoto me naweza kumkimbia kweli? mwandishi amedanganya hapo ila.... anachelewa sana huko shuleni nahisi anatakiwa kuja walau likizo aje kumwona mumewe!

mama mkwe lifanyie kazi hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…