Udaku Special 2nd Edition!! Limesheheni....

Na mie naruhusiwa kukuomba Mentor

Wewe unaruhusiwa kunitaka Honey Faith!!!

aisee bora nisinngeuliza duu,hakuna kitu kinauma kama kujua lahazizi anamkumbuka x wake lol.

Pole shemeji...

Nilikuwa sina mpango wa kuloga mtu mwaka huu. Kuna mtu hapa atabadilishwa jinsia soon afu kimwaga upepo chake nakihamishia usoni.

Watch me...

Shikamoo babu,,na wewe ushakuwa wa kushikwa sharubu kama Mtambuzi!??
 
Last edited by a moderator:
Mchukue na dada yake kabisa. Mi simtaki tena. Mwanamke kıgeugeu kama dola ya Zimbabwe. Nimeamua kwa moyo wa dhati kuhamishia mapenzi yangu kwa miss neddy.

hahahaha ukiwa na njaa ndo unakumbuka kiporo eeeeh
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…